KERO LATRA Mbeya simamieni changamoto ya Daladala kukatisha ruti

KERO LATRA Mbeya simamieni changamoto ya Daladala kukatisha ruti

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
879
Reaction score
814
Yaani Jiji la Mbeya kuna mambo ambayo siyo mazuri na tukikaa kimya yataendelea, mojawapo ni hili suala ninaloenda kulizungumza leo.

Hivi LATRA Mbeya mmeshindwa kabisa kutatua hii kero ya Daladala kukatisha route?

Yaani Daladala inatoka Uyole inaishia Kabwe, abiria wanapata shida huku wengine wakipoteza mizigo yao.

Mbaya zaidi Askari wa usalama Barabarani wanajua shida hii na wanashuhudia Abiria wanavyopata shida lakini wanaangalia tu.

Abiria analazimika kulipa zaidi ya shilingi 1,500 badala ya Sh 800 ambayo ndiyo nauli sahihi ya kutoka mwanzo wa safari Hadi mwisho.

DSC_0957~2.JPG
DSC_0959~2.JPG
 
Yaani Jiji la Mbeya Kila kitu kinaenda hovyo hovyo tu.
Hivi LATRA Mbeya mmeshindwa kabisa kutatua hii kero ya Daladala kukatisha route?

Yaani Daladala inatoka Uyole inaishia Kabwe, Abiria wanapata shida huku wengine wakipoteza mizigo Yako.

Mbaya zaidi Askari wa usalama Barabarani wanajua shida hii na wanashuhudia Abiria wanavyopata shida lakini wanaangalia tu

Abiria analazimika kulipa zaidi ya shilingi 1500 badala ya 800 ambayo ndiyo nauli sahihi ya kutoka mwanzo wa safari Hadi mwisho
huku DAR inabidi ugeuze na gari ndo usafiri kwa amani -
 
Yaani Jiji la Mbeya Kila kitu kinaenda hovyo hovyo tu.
Hivi LATRA Mbeya mmeshindwa kabisa kutatua hii kero ya Daladala kukatisha route?

Yaani Daladala inatoka Uyole inaishia Kabwe, Abiria wanapata shida huku wengine wakipoteza mizigo Yako.

Mbaya zaidi Askari wa usalama Barabarani wanajua shida hii na wanashuhudia Abiria wanavyopata shida lakini wanaangalia tu.

Abiria analazimika kulipa zaidi ya shilingi 1500 badala ya 800 ambayo ndiyo nauli sahihi ya kutoka mwanzo wa safari Hadi mwisho.

View attachment 3414859View attachment 3414861
Inasikitisha sana ni kama serikali kwa ujumla haipo Mbeya! Route zinavyoandikwa kwenye magari ni tofauti na uhalisia. Gari zimeandikwa Inyala stendi kuu, lakini zinaishia uyole!
 
Inasikitisha sana ni kama serikali kwa ujumla haipo Mbeya! Route zinavyoandikwa kwenye magari ni tofauti na uhalisia. Gari zimeandikwa Inyala stendi kuu, lakini zinaishia uyole!
Yaani sijui wanatuonaje
 
Jini la Mbeya ni moja ya jiji lenye kero nyingi ndogo ndogo kuanzia za kitumishi hadi za kawaida sijui kuna matatizo gani, mfano kuna maeneo maji hayatoki karibu mwezi sasa lakini wahusika wapo na wakipogiwa simu hawaendi kusolve tatizo.
 
Jini la Mbeya ni moja ya jiji lenye kero nyingi ndogo ndogo kuanzia za kitumishi hadi za kawaida sijui kuna matatizo gani, mfano kuna maeneo maji hayatoki karibu mwezi sasa lakini wahusika wapo na wakipogiwa simu hawaendi kusolve tatizo.
Ni hatari sana kaka
 
Back
Top Bottom