Stendi ya daladala Morogoro

Stendi ya daladala Morogoro

Ngurumbizi

Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
97
Reaction score
114
Kwani Sisi waafrika tuna laana gani jamani?

Hivi ni akili gani pale Morogoro kugeuza kituo cha daladala parking na kuacha daladala zishushe abiria sehemu ambayo hakuna kituo?

Ni nani aliyeturoga jamaniiiiiii!!!!!!!
 
Back
Top Bottom