chuma

Chukwuma Julian "Chuma" Okeke (born August 18, 1998) is an American professional basketball player for the Lakeland Magic of the NBA G League. A power forward, he was drafted 16th overall by the Orlando Magic in the 2019 NBA draft. He played college basketball for the Auburn Tigers.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Shikamoo Werrason kwa hiki Chuma na huyu Rapa kautendea haki huu Wimbo ambao sasa ni gumzo Congo DR na Kwingineko

  2. N

    JamiiForums Tanzania Isuzu tipa chuma kipo kazini

    ,
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wote JamiiForums na Kwingineko kuleni Chuma hiki cha Ukweli Mchungu

    Kudadadeki.....!!!!!!
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Aisee unakuta kuna mwamba anaendesha hii chuma. Aisee hongera sanaaa

  5. O

    JamiiForums Tanzania Ukijenga uswahilini hakikisha unakuwa ngangari kama chuma!

    Ni saa mbili na madakika, salaam ndugu wanajukwaa! Uswahilini kuna mengi! Kuna kupigana juju, umbea, majungu, na mengine mengi. Kuna shida moja ambayo huwapata wakazi wa uswahilini, na hii huwapata watu ambao wamejenga kwenye viwanja visivyopimwa! Yaani hivi ni viwanja vya vipimo vya macho na...
  6. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Chuma bado nyeupe hii, inatakiwa ishindiliwe zaidi.

    Oi bongo dasalama
  7. W

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu kuweka milango ya nje ya chuma

    Wadau nimeona kuweka mlango wa mbao na grill kwa milango ya nje kwenye nyumba ya kuishi haipendezi kama kuweka milango ya chuma hasa ya Uturuki na China. Naona kujua ni milango ipi imara ya chuma na naweza kuipata wapi. Ahsante.
  8. X

    JamiiForums Tanzania Mataifa yote duniani hata yaungane hayaifikii China kwa uzalishaji wa chuma

    Top 10 Steel-Producing Countries in 2024 🏗️ 1. 🇨🇳 China – 1,005 Mt 2. 🇮🇳 India – 149 Mt 3. 🇯🇵 Japan – 84 Mt 4. 🇺🇸 U.S. – 80 Mt 5. 🇷🇺 Russia – 71 Mt 6. 🇰🇷 South Korea – 64 Mt 7. 🇹🇷 Türkiye – 37 Mt 8. 🇩🇪 Germany – 37 Mt 9. 🇧🇷 Brazil – 34 Mt 10. 🇮🇷 Iran – 31 Mt 🌎 Rest of the World – 293Mt (in...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa Kitanzania, Wanawake na Mabinti wa Kitanzania hebu kuleni Chuma hiki cha Ukweli Mchungu

    Tafadhali mwenye namba ya Simu ya huyu Dada aje PM anipe ili nimpigie na nimtumie Zawadi kwa kusema huu Ukweli.
  10. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Jinsia ya kuzuia chuma ulete shambani au kwenye biashara.

    Chuma ulete ni aina ya uchawi unaoaminika kutumiwa kuharibu mazao au kuiba mazao shambani kwa njia za kichawi. Katika tiba asili na mila za Kiafrika, kuna dawa na mbinu mbalimbali zinazotumika kuzuia au kujikinga dhidi ya chuma ulete mashambani. Hapa kuna dawa na mbinu zinazotumika: --- 🧪...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kweli tunaizidi Uchumi maana sisi tunaringa na Tausi wa Ikulu halafu wenzetu wana chuma chakavu hiki😄

    Kabla Jaji aliyekimbia kesi hajapokea maagizo mengine hebu tufanye tena tafakuri ya jambo hili.. Hivi hoja ya kuizidi Uchumi Marekani ilikuwa ni hoja iliyotokana na fikra timilifu za binadamu au zilitokana na wenyeji kumlisha mgeni maharage ya Simiyu yalioungwq na mafuta ya pamba? Au ni upepo...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Ikiwa wanadamu wote wameumbwa kwa udongo, Hawa nusu udongo nusu chuma wametokea sayari gani?

    Salaam, Shalom! Wanadamu wote asili yao ni Adam na Eve, walitokana na udongo. Sasa Leo kuna mtu ameponyokwa neno la Siri na kutudokeza kuwa tuna kiongozi nusu udongo nusu chuma. Je mtu huyu amepata maono kusema jambo hili? Au tuseme naye ameota ndoto kama Mfalme Nebuchadnezzar aliyeona...
  13. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Bila kuzivunja amri kumi za Mungu hauwezi katu kumiliki hii chuma

    Wakuu, kama mada inavyojieleza hii chuma kwa sisi ngozi nyeus,i bila kuzivunja amri kumi za Mungu tutaendelea tu kuiona barabarani.#noreformnoelection🇹🇿🇹🇿
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania “Mauaji ya Kikatili Kabla ya Kuanguka kwa Utawala wa Iddi Amin: Hofu, Mashaka na Utawala wa Mkono wa Chuma”

    Kabla ya kuanguka kwa utawala wa Iddi Amin Dada nchini Uganda (aliyetawala kutoka 1971 hadi 1979), kulikuwepo na kipindi cha mauaji ya kikatili yaliyofanywa dhidi ya watu aliowahisi au kuwashuku kuwa ni wapinzani wake. Iddi Amin alitawala kwa mkono wa chuma na alihofia sana mapinduzi dhidi...
  15. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Tumia Mkaa Kuzuia Chuma Ulete

    Kumekuwa na malalamiko mengi ya wafanyabiashara kuwa, wanauza pesa nyingi lakini mwisho wa biashara hawaoni kitu. Lawama imetupiwa katika maeneo mengi, lakini eneo mojawapo ni eneo la uchawi wa chuma ulete. Inaaminika kwamba, uchawi wa chuma ulete ni aina ya uchawi ambao mtu huja dukani kwako...
  16. Kant Ombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake ni janga mwanaume ukiwa dhaifu utachenyentewa wazwaz na dharau juu, akisaliti muache on the spot vuta chuma mpya using'ang'ane

    Wanaume wezangu mwanamke akikusaliti achana nae hakuna kubembeleza hata kama mna watoto 10 mmeishi miaka 12 usisamehe daima utajutia baadae, usaliti ni sawa na mchawi akianza kula nyama tu haachi kamwe. Yangu hayo tu.
  17. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Tanzania tuna chuma lakini inashangaza tupo bize kukusanya skrepa

    CCM imetuzuia kufikiri? Yaani nchi iliyojaliwa kuwa na madini ya chuma, lakini wananchi wake wapo bize kukusanya skrepa mitaani. Yaani hawa waiba misalaba na Kengele za makanisani, au wang'oa vyuma vya madaraja na waokoto vyuma mitaani, kama madini ya chuma tuliyo nayo yangechimbwa wangeishi...
  18. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Nahisi leo ndo nimeona chuma ulete live

    Yaani nineenda dukani (kutoa hela kwa wakala maana ni muuza duka na wakala hapo hapo.nimekuta anahudumia watu wengine ikabidi nikae pembeni kwanza amalizane nao, sasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika nimemsalimia hajaitiika hata.akamwuliza yule...
  19. Akotia

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Chuma, Mwenye Moyo wa Dhahabu,Tusimfanye Adui kwa Sababu ya Neema Yake

    Wana JF Wakati mwingine, tunahitaji siasa za kimya. Siasa zenye kutafakari, kusamehe, kuponya, na kujenga. Dunia imejaa kelele, vurugu, na giza . Tanzania bado ni kisiwa cha amani. Hii si bahati. Ni hekima ya viongozi wetu na kwa sasa, hekima hiyo imevaa sura ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kuna...
Back
Top Bottom