china

  1. L

    JamiiForums Tanzania Tamthilia ya kichina “The Knockout” yajizolea umaarufu mkubwa wakati China ikiendelea na vita dhidi ya ufisadi bila kusita

    Siku hizi, tamthilia ya kichina “The Knockout” inayosimulia vita kati ya uovu na uadilifu imendelea kupata umaarufu mkubwa, na hadi sasa idadi ya watazamaji wa tamthilia hiyo katika China bara pekee imezidi milioni 320. Utayarishaji bora na ustadi mkubwa wa waigizaji ndio sababu zinazofanya...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa Cameroon atoa uzoefu wake wa kusoma nchini China

    Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Pili cha Yaounde nchini Cameroon imefanya mkutano wa hadhara wa “Soma nchini China, changamsha maisha yako", na kumwalika Joseph Olivier Mendo’o, ambaye ni mhitimu wa Taasisi hiyo kutoa uzoefu wake wa kusoma nchini China. Takriban watu 200, wakiwemo...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Marekani yapaswa kuacha wasiwasi wa kupita kiasi kuhusu China

    Hivi karibuni puto moja la uchunguzi wa hali ya hewa la China ambalo lilifika Marekani kwa bahati mbaya limefuatiliwa sana na Wamarekani. Kutoka kugundua puto hilo tarehe Mosi hadi kuiliangusha kwa makombora tarehe 4 mwezi huu, baadhi ya wanasiasa wa Marekani wametumia fursa hiyo kuchochea wazo...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Barabara kuu ya Nairobi iliyojengwa na China yafikisha watumiaji milioni 10

    Barabara ya mwendo kasi ya Nairobi yenye urefu wa kilomita 27.1, iliyojengwa na kampuni ya China kwa ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi, Jumanne iliwatambua madereva milioni kumi ambao wameitumia barabra hiyo tangu ilipozinduliwa rasmi Julai 2022. Maofisa wakuu, watendaji wakuu na...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kama Marekani itaiga inachofanya China barani Afrika, sio tu itajivunia heshima bali pia haitapata inachotaka

    Siku chache baada ya waziri wa mambo ya nje wa China Bw. Qin Gang kumaliza ziara yake ya mwaka mpya barani Afrika, waziri wa fedha wa Marekani na balozi wa nchi hiyo kwenye Umoja wa Mataifa walianza ziara zao barani humo mmoja baada ya mwingine. Na imeeleweka wazi kuwa lengo kuu la ziara hizo ni...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Watu wa kabila la Wamiao mjini Liuzhou mkoani Guangxi China washerehekea Tamasha la Manghao

    Februari 7, 2023, Kaunti ya Rongshui ya kabila la Wamiao, mjini Liuzhou, mkoani Guangxi, China ulikaribisha tamasha la kila mwaka la "Manghao." Mang Hao ni mungu wa milima katika hadithi ya kabila la Wamiao, ambayo inaashiria afya na maisha marefu, uadilifu na urafiki, bidii na ujasiri, na...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Kituo cha huduma za uchumi na biashara ya kidijitali kati ya China na Afrika cha Hunan chaanzishwa Changsha

    Kituo cha huduma za kidijitali za uchumi na biashara kati ya China na Afrika cha mkoa wa Hunan kimezinduliwa jana Jumatatu mjini Changsha. Kituo hicho kinatarajiwa kuunga mkono ujenzi wa uwezo wa kidijitali na TEHAMA kwenye ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara kati ya China na Afrika, na pia...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya joto lazidi kupanda

    Wiki mbili hizi zimekuwa muhimu sana kwetu sote hapa nchini. Tumesikia ya wanaotaka katiba mpya na ya wasiotaka katiba mpya. Wote kwa umahiri kabisa. "Ama Kwa hakika mwenye macho haambiwi tazama." Kwamba asiyetaka katiba mpya ndiye pia mficha mapesa ya dhuluma China? Kwa hiyo ni kusema...
  9. kalipeni

    JamiiForums Tanzania China spy/survaillance baloon

    Siku ya jumamosi tarehe4 jeshi la Marekani lilifanikiwa kuitungua baloon ya upelelezi, surveillance baloon/ spy baloon, kama ilivyoelekezwa na Rais Biden. Baloon hiyo inayosemekana ni ya jamuhuri ya watu wa China, japo serikali ya China inadai lengo la hiyo baloon ilikuwa kwa ajili ya masuala...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Miradi ya ujenzi wa miundombinu inayotekelezwa na China barani Afrika ni matokeo ya ushirikiano wa kunufaishana

    Mara nyingi nchi za Magharibi zimekuwa zikitoa kauli ambazo haziendani na ukweli kuhusiana na ushirikiano na uhusiano kati ya China na nchi za Afrika. Nchi hizo zimekuwa zikidai kuwa, China inaibebesha Afrika mzigo mkubwa wa madeni, na hata kufikia kusema kuwa, China inaendeleza ukoloni mamboleo...
  11. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania China: Yeyote akijaribu kutenganisha Taiwan na China, tutaingia vitani

    Wiki chache baada ya Rais wa Marekani kutuma onyo kwa China kuhusu Taiwan, serikali ya Beijing ilitoa jibu kali zaidi kuwahi kutokea. Taarifa iliyotolewa na serikali ya China ilisema kwamba "itashinda jaribio lolote" la kutafuta uhuru kutoka kwa Taiwan. Waziri wa Ulinzi wa China, Jenerali Wei...
  12. Trubarg

    JamiiForums Tanzania Marekani yashindwa kutungua balloon la China

    Licha ya kujinadi kwamba Marekani ndiyo nchi inayoongoza kwa silaha za kila namba, Marekani wameonyesha week was Yao dhidi ya balloon la wachina ambalo linaendelea kuvinjari na kukatiza maeneo mbalimbali yakuwemo maeneo nyeti kama kambi za jeshi. Licha ya kutuma makombora mazito kutungua...
  13. Raphael Thedomiri

    JamiiForums Tanzania China yatuma puto la kijasusi Marekani!

    Ni uchokozi ama ni nini?! ============= Habari za puto la kijasusi la China kuelea juu ya Marekani zimewaacha wengi wakishangaa kwa nini Beijing ingetaka kutumia chombo kisichokuwa cha kisasa katika uchunguzi wake wa eneo la Marekani. Uwezo wa puto hili hauko wazi, lakini wataalam wanasema...
  14. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania U.S. detects suspected China spy balloon hovering over Montana

    Greetings! The United States has detected what it says is a Chinese surveillance balloon that has been hovering over the northwestern United States, the Pentagon said on Thursday, a discovery that comes days before Secretary of State Antony J. Blinken's visit to Beijing. President Biden has...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Kuneemeka kwa China ndio kuneemeka kwa nchi za Afrika

    Watu husema mwaka mpya huleta matumaini mapya. Lakini kwa uchumi wa dunia wa mwaka 2023, inahofiwa kuwa matarajio hayo sio mazuri sana, wasomi wengi wanakadiria kuwa kasi ya ukuaji uchumi itaendelea kupungua. Kwa Afrika haswa ukanda wa kusini mwa Sahara, watu wanaendelea kulalamikia bei kubwa ya...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Je, Gwajima anatumiwa na China au haelewi anachosema?

  17. L

    JamiiForums Tanzania Wachina washerehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China baada ya wimbi la maambukizi ya COVID-19 kumalizika

    Mkesha wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China ulifanyika tarehe 21 Januari mwaka huu, ambapo wanafamilia kutoka sehemu mbalimbali walikusanyika pamoja na kukaribisha Mwaka Mpya wa Sungura. Sikukuu hiyo kwa mwaka huu ilikuwa ni ya kwanza kufanyika baada ya China kutangaza mapema Januari kuwa, inapunguza...
  18. ASIWAJU

    JamiiForums Tanzania Marekani kupigana vita na China 2025, Jenerali wa Marekani bw. Mike

    Jenerali wa jeshi la anga la Marekani Bw. Mike Minihan ameliandikia ujumbe jeshi la Marekani kuwa tayari kwa ajili ya kupambana na China mwaka 2025. Vyanzo vya habari: Swali kutoka kwa lieutenant katika jeshi la marekani hili hapa : Maswali yangu: 1. Ipi ni athari kubwa ya ujumbe wa jenerali...
  19. I

    JamiiForums Tanzania Je, huu ndio mwisho wa ukuaji wa juu kwa uchumi wa China?

    Wakati sehemu kubwa ya dunia ilipopitia mdororo mkubwa wa uchumi mwaka 2008-2009, China, kupitia juhudi kubwa za matumizi ya serikali, iliweza kukabiliana na dhoruba na kuinua uchumi wa dunia. Huku ulimwengu ukitetereka "karibu hatari" kwa mdororo wa ulimwengu kwa nyuma ya vita vya Urusi huko...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Samia nchini China yazaa matunda mapema sana

    Baada ya ziara ya Rais Samia nchini China, 98% ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda China zitaingia bila kutozwa ushuru. Hii itatoa fursa kubwa kibiashara kwa wakulima, wafugaji na wafanya biashara wetu kulisha soko jipya la China. China inaidadi kubwa ya watu kuliko nchi zote duniani hivyo hii ni...
Back
Top Bottom