China: Xi Jinping achaguliwa tena kuongoza Mhula wa tatu

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
107206288-1678407487077-gettyimages-1435835173-25.jpeg

Wajumbe 3,000 wa Bunge la Kitaifa la Wananchi (NPC) wamempitisha #XiJinping kuwa Rais ikiwa ni utekelezaji wa Mabadiliko ya Katiba yaliyoondoa ukomo wa mihula miwili wa kwenye nafasi hiyo.

Chama cha #NPC, ambacho wanachama wake huteuliwa na Chama Tawala cha Kikomunisti, kilimpigia Jinping Kura 2,952 ambaye pia ameteuliwa kwa kauli moja kuwa Kamanda wa Jeshi la Ukombozi la Watu Milioni 2.

Nguvu ya Xi inatokana na yeye kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti na Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Kijeshi (CMC) akiwa tayari amekabidhiwa nyadhifa zote mbili kupitia kongamano la Chama la Oktoba 2022.

==============

Chinese leader Xi Jinping gained an unprecedented third term as president of the country on Friday.

Xi was widely expected to stay on as president in this month’s largely ceremonial parliamentary meeting, known as the “Two Sessions.” The annual gathering marks the meetings of an advisory group and a legislature, the National People’s Congress.

Delegates to the congress on Friday also formally reappointed Xi as chairman of the Central Military Commission.

Xi rose through China’s political ranks, becoming president in 2013 and abolishing term limits in 2018.

At the Chinese Communist Party’s 20th National Congress in October, Xi consolidated his control of the ruling party by filling the highest circle of leadership with loyalists.

Zhao Leji, a member of that core group who’s overseen party discipline, on Friday formally became the chairman of the National People’s Congress’ standing committee.

After twice-a-decade party congresses, top leaders of the Chinese Communist Party then go on to fill government positions such as president and premier.

Delegates are set to approve China’s new premier on Saturday.

Xi is scheduled to speak at the parliamentary meeting’s closing ceremony on Monday. The new premier is set to speak with the press later that day.

Han Zheng, previously executive vice premier, on Friday formally became vice president. Wang Qishan previously held the role.

Delegates on Friday approved a proposal to restructure the State Council, the Chinese government’s top executive body.

A draft of the plan was released earlier this week, and comes as the ruling Communist Party of China is expected to significantly increase its direct control of the government.

CNBC
 
107206288-1678407487077-gettyimages-1435835173-25.jpeg

Wajumbe 3,000 wa Bunge la Kitaifa la Wananchi (NPC) wamempitisha #XiJinping kuwa Rais ikiwa ni utekelezaji wa Mabadiliko ya Katiba yaliyoondoa ukomo wa mihula miwili wa kwenye nafasi hiyo.

Chama cha #NPC, ambacho wanachama wake huteuliwa na Chama Tawala cha Kikomunisti, kilimpigia Jinping Kura 2,952 ambaye pia ameteuliwa kwa kauli moja kuwa Kamanda wa Jeshi la Ukombozi la Watu Milioni 2.

Nguvu ya Xi inatokana na yeye kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti na Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Kijeshi (CMC) akiwa tayari amekabidhiwa nyadhifa zote mbili kupitia kongamano la Chama la Oktoba 2022.

==============

Chinese leader Xi Jinping gained an unprecedented third term as president of the country on Friday.

Xi was widely expected to stay on as president in this month’s largely ceremonial parliamentary meeting, known as the “Two Sessions.” The annual gathering marks the meetings of an advisory group and a legislature, the National People’s Congress.

Delegates to the congress on Friday also formally reappointed Xi as chairman of the Central Military Commission.

Xi rose through China’s political ranks, becoming president in 2013 and abolishing term limits in 2018.

At the Chinese Communist Party’s 20th National Congress in October, Xi consolidated his control of the ruling party by filling the highest circle of leadership with loyalists.

Zhao Leji, a member of that core group who’s overseen party discipline, on Friday formally became the chairman of the National People’s Congress’ standing committee.

After twice-a-decade party congresses, top leaders of the Chinese Communist Party then go on to fill government positions such as president and premier.

Delegates are set to approve China’s new premier on Saturday.

Xi is scheduled to speak at the parliamentary meeting’s closing ceremony on Monday. The new premier is set to speak with the press later that day.

Han Zheng, previously executive vice premier, on Friday formally became vice president. Wang Qishan previously held the role.

Delegates on Friday approved a proposal to restructure the State Council, the Chinese government’s top executive body.

A draft of the plan was released earlier this week, and comes as the ruling Communist Party of China is expected to significantly increase its direct control of the government.

CNBC
Alikuwa anashindana na nani?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
107206288-1678407487077-gettyimages-1435835173-25.jpeg

Wajumbe 3,000 wa Bunge la Kitaifa la Wananchi (NPC) wamempitisha #XiJinping kuwa Rais ikiwa ni utekelezaji wa Mabadiliko ya Katiba yaliyoondoa ukomo wa mihula miwili wa kwenye nafasi hiyo.

Chama cha #NPC, ambacho wanachama wake huteuliwa na Chama Tawala cha Kikomunisti, kilimpigia Jinping Kura 2,952 ambaye pia ameteuliwa kwa kauli moja kuwa Kamanda wa Jeshi la Ukombozi la Watu Milioni 2.

Nguvu ya Xi inatokana na yeye kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti na Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Kijeshi (CMC) akiwa tayari amekabidhiwa nyadhifa zote mbili kupitia kongamano la Chama la Oktoba 2022.

==============

Chinese leader Xi Jinping gained an unprecedented third term as president of the country on Friday.

Xi was widely expected to stay on as president in this month’s largely ceremonial parliamentary meeting, known as the “Two Sessions.” The annual gathering marks the meetings of an advisory group and a legislature, the National People’s Congress.

Delegates to the congress on Friday also formally reappointed Xi as chairman of the Central Military Commission.

Xi rose through China’s political ranks, becoming president in 2013 and abolishing term limits in 2018.

At the Chinese Communist Party’s 20th National Congress in October, Xi consolidated his control of the ruling party by filling the highest circle of leadership with loyalists.

Zhao Leji, a member of that core group who’s overseen party discipline, on Friday formally became the chairman of the National People’s Congress’ standing committee.

After twice-a-decade party congresses, top leaders of the Chinese Communist Party then go on to fill government positions such as president and premier.

Delegates are set to approve China’s new premier on Saturday.

Xi is scheduled to speak at the parliamentary meeting’s closing ceremony on Monday. The new premier is set to speak with the press later that day.

Han Zheng, previously executive vice premier, on Friday formally became vice president. Wang Qishan previously held the role.

Delegates on Friday approved a proposal to restructure the State Council, the Chinese government’s top executive body.

A draft of the plan was released earlier this week, and comes as the ruling Communist Party of China is expected to significantly increase its direct control of the government.

CNBC
Lete habari kamili bwashee, uchaguzi ulifanyika lini, wapinzani wake walikuwa hakina nani?

Na je alitoa uwanja sawa kwa vyama vingine vya upinzani kufanya kampeni zao? Waangalizi wa kimataifa waliruhusiwa ktk uchaguzi huo?

China, North Korea, Russia, Equatorial Guinea, Uganda, Iran, Syria, Venezuela, turkey level yao moja tu bwashee hakunaga uchaguzi huko ni mapicha picha tu

Husiwe unatuletea mataka taka hapa et uchaguzi kutoka katika moja ya hizo nchi ok
 
Na yeye ameshaingia kwenye historia ya viongozi ving'ang'anizi wa madaraka duniani kama Pierre Nkurunzinza, Robert Mugabe, Vladmir Putin, nk.

Na bila shaka na mwisho wake pia hautakuwa mzuri. Ni suala tu la muda.
 
Lete habari kamili bwashee, uchaguzi ulifanyika lini, wapinzani wake walikuwa hakina nani?

Na je alitoa uwanja sawa kwa vyama vingine vya upinzani kufanya kampeni zao? Waangalizi wa kimataifa waliruhusiwa ktk uchaguzi huo?

China, North Korea, Russia, Equatorial Guinea, Uganda, Iran, Syria, Venezuela, turkey level yao moja tu bwashee hakunaga uchaguzi huko ni mapicha picha tu

Husiwe unatuletea mataka taka hapa et uchaguzi kutoka katika moja ya hizo nchi ok
Una ufahamu wowote kuhusu mfumo wa siasa wa China ?
 
107206288-1678407487077-gettyimages-1435835173-25.jpeg

Wajumbe 3,000 wa Bunge la Kitaifa la Wananchi (NPC) wamempitisha #XiJinping kuwa Rais ikiwa ni utekelezaji wa Mabadiliko ya Katiba yaliyoondoa ukomo wa mihula miwili wa kwenye nafasi hiyo.

Chama cha #NPC, ambacho wanachama wake huteuliwa na Chama Tawala cha Kikomunisti, kilimpigia Jinping Kura 2,952 ambaye pia ameteuliwa kwa kauli moja kuwa Kamanda wa Jeshi la Ukombozi la Watu Milioni 2.

Nguvu ya Xi inatokana na yeye kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti na Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Kijeshi (CMC) akiwa tayari amekabidhiwa nyadhifa zote mbili kupitia kongamano la Chama la Oktoba 2022.

==============

Chinese leader Xi Jinping gained an unprecedented third term as president of the country on Friday.

Xi was widely expected to stay on as president in this month’s largely ceremonial parliamentary meeting, known as the “Two Sessions.” The annual gathering marks the meetings of an advisory group and a legislature, the National People’s Congress.

Delegates to the congress on Friday also formally reappointed Xi as chairman of the Central Military Commission.

Xi rose through China’s political ranks, becoming president in 2013 and abolishing term limits in 2018.

At the Chinese Communist Party’s 20th National Congress in October, Xi consolidated his control of the ruling party by filling the highest circle of leadership with loyalists.

Zhao Leji, a member of that core group who’s overseen party discipline, on Friday formally became the chairman of the National People’s Congress’ standing committee.

After twice-a-decade party congresses, top leaders of the Chinese Communist Party then go on to fill government positions such as president and premier.

Delegates are set to approve China’s new premier on Saturday.

Xi is scheduled to speak at the parliamentary meeting’s closing ceremony on Monday. The new premier is set to speak with the press later that day.

Han Zheng, previously executive vice premier, on Friday formally became vice president. Wang Qishan previously held the role.

Delegates on Friday approved a proposal to restructure the State Council, the Chinese government’s top executive body.

A draft of the plan was released earlier this week, and comes as the ruling Communist Party of China is expected to significantly increase its direct control of the government.

CNBC
Siasa zao ni bora kwa nchi yao kwa kuzingatia historia ya nchi yao ni sisi tu, tusio jua kipi ni sahihi kwa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom