china

  1. Atlast nimempata

    Ni mustakabali wa internet na mitandando ya kijamii kama wenye mamlaka wanaweza kuizuia na kuruhusu tuone au kusikia wanachokitaka? Case China/Korea

    Mustakabali wa intaneti unapokuwa chini ya mamlaka yenye uwezo wa kuzuia mitandao ya kijamii na kuwaruhusu wananchi kuona au kusikiliza kile tu wanachotaka—kama ilivyo kwa China na Korea Kaskazini—huenda ukawa na sifa zifuatazo: 1. Intaneti ya Kitaifa, Siyo ya Dunia Kutengwa na Dunia...
  2. Fbn

    Kumbe ndio maana uraisi ni mtamu sana yani mshahara wa raisi wa tanzania ni mkubwa kuliko raisi wa china.

    Kuna orodha nimepata hapa ikionesha dunia nzima maraisi na mishahara yao.Samahani hizi sio benk statemnt za CRDB ni zadunia. raisi wa china mshahara wa mwezi ni USD 20000 na wa raisi wa tz ni usd 47300. Na hapo kumbuka ni mwakajana ukisikiwa watumishi na walimu mumeongezewa mshahara mkaanza...
  3. N

    China ilipeleka msaada Gaza ikiusindikiza na ndege 6 za kijeshi

    Kwanini hizi taarifa hazitangazwi kwenye vyombo vya habari vya mataifa ya magharibi? Check video ina maelezo ya kiswahili
  4. itakiamo

    Reliable Air Cargo Services from China to Tanzania at $11.5/Kg

    Dear Customers We are excited to introduce our reliable and efficient air cargo service from China to Tanzania, designed to meet your shipping needs at an affordable rate of $11.5 per kilogram. Why Choose Our Service? Speed: Timely delivery of your goods using efficient air transport routes...
  5. Ojuolegbha

    Watalii kutoka China na India wameongezeka nchini

    WATALII CHINA NA INDIA WAMEONGEZEKA Kupitia mikakati mahsusi ya kutangaza utalii kwa kushirikiana na balozi za China na India, Serikali imefanikiwa kuvutia masoko mapya ya utalii. Filamu ya Amazing Tanzania iliyomshirikisha Rais Samia na nyota wa China Jin Dong imechangia ongezeko la watalii...
  6. President of China

    Kampuni ya Meli ya China na Tanzania (SINOTASHIP): Nguzo ya Usafirishaji wa Mizigo Baharini

    KUNA WATU WANAUMIA WAKONA MAENDELEO YA TANZANIA Serikali ya Tanzaniaimeendelea kushirikiana na wadau mbalimbaliikiwemo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Chinakatika kuboresha huduma za uchukuzi katikaBahari. Mkakati huo umeendelea kutekelezwa naKampuni ya Meli ya China na Tanzania(SINOTASHIP)...
  7. L

    Ushirikiano wa China na Afrika kuimarika kutokana na athari ya ushuru uliowekwa na Marekani

    Ushuru uliowekwa na Marekani unaweza kuwa na athari mbaya kwa nchi zinazoibuka kiuchumi kama China nan chi za Afrika, lakini wakati huohuo, hatua hiyo ya Marekani itawezesha ushirikiano wa nguvu zaidi kati ya China na Afrika katika biashara na uwekezaji kwenye seta muhimu za uzalishaji, nishati...
  8. L

    Pale uponyaji unapohitaji sindano tu, matibabu ya akyupancha ya China yaleta nafuu kwa wagonjwa wa Zanzibar

    Kwa Mtanzania Hassan Jumbe mwenye umri wa miaka 26, matatizo ya kukosa usingizi siku zote wakati usiku ilikuwa ni maumivu na mfadhaiko mkubwa kwake. Usiku mmoja baada ya mwingine, maumivu makali ya kichwa yasiyoisha yalimwandama mfanyakazi huyu mbichi wa ujenzi, na kumfanya ashindwe kupumzika...
  9. L

    Wapiga ngoma wa China na Senegal wawasiliana kwa mdundo wa masikilizano

    China na nchi za Afrika zimekuwa na urafiki wa jadi ambao umedumu kwa miongo mingi. Urafiki huu unagusa sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya utamaduni. Hivi karibuni, onyesho lililopewa jina la “Masikilizano ya Ngoma na Muziki” lilifanyika Dakar, mji mkuu wa Senegal, ambapo wapiga ngoma kutoka...
  10. President of China

    Gavu asisitiza kuimarishwa ushirikiano Tanzania na China

    Na Mwandishi Maalumuu, Shandong - China KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Idara ya Oganaizesheni, Issa Gavu, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza uhusiano baina ya Tanzania na Jamhuri ya Watu wa China kwa maslahi ya nchi hizo na watu wake. Pia, amehimiza kudumisha uhusiano wa...
  11. B

    Ziara ya Ruto nchini China yajadiliwa na wabunge wa Seneti Marekani, wahoji uaminifu wake kwa Taifa lao

    Wabunge katika Seneti ya Marekani wahoji kuhusu uaminifu wa Kenya kwa Marekani kufuatia ziara ya hivi karibuni ya Rais William Ruto nchini China. Katika muktadha wa vita vya kibiashara kati ya Marekani na China na mvutano mkubwa kati ya Mashariki na Magharibi, Ruto mwezi uliopita alitembelea...
  12. L

    Matokeo ya mazungumzo ya kibiashara kati ya China na Marekani yaleta utulivu kwa uchumi wa dunia

    Mazungumzo ya ngazi ya juu ya uchumi na biashara kati ya China na Marekani yamefanyika hivi karibuni huko Geneva, na kupata matokeo muhimu. Hali ambayo inaonyesha kuwa baada ya mvutano mkali wa zaidi ya mwezi mmoja, nchi hizo mbili zimechakua njia ya mazungumzo kutatua maoni yao tofauti. Matokeo...
  13. I

    Je, China ilitoa zawadi au iliweka mtego kwa Afrika? – Siri ya wizi wa taarifa katika makao makuu ya Umoja wa Afrika

    Je, China Ilitoa Zawadi au Iliweka Mtego kwa Afrika? – Siri ya Wizi wa Taarifa Katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika Mwandishi: MalekoGJ On X @GoodluckMalekoJ Utangulizi Mwaka 2012, bara la Afrika lilishuhudia “zawadi” ya aina yake kutoka kwa China — jengo la kifahari la Makao Makuu ya...
  14. X

    Hatimaye China imeshinda vita vya ushuru dhidi ya Marekani. Mkutano uliofanyika Geneva kati ya mataifa hayo mawili lilikuwa ni ombi la Marekani

    “All imperialists are nothing but paper tigers.” - Mao Zedong Dunia itakumbuka jinsi siku ya Ijumaa 4, April, 2025 Trump alivyopandwa na wazimu. Na kuongeza ushuru kwa kila taifa duniani hadi visiwa vya Herd na McDonalds vya bara la Antarctica wanapoishi Penguins tu. Siku hiyo kwa tambo na...
  15. Teknolojia ni Yetu sote

    China imevunja rekodi ya ujenzi kwa kujenga nyumba yenye ghorofa 10 kwa Saa 28hrs

    💡China wako mbele ya muda Aiseeeh!!!!! 💭 China imefanikiwa kuweka rekodi ya kipekee ulimwenguni baada ya kuwa nchi ya kwanza kujenga nyumba ya ghorofa 10 yenye ndani ya saa 28 imekamilika na kuanza kutumika. 💭 Walitumia njia za kisasa moja wapo ni kuweza kutengeneza sehemu moja moja na...
  16. L

    Miaka 50 ya timu ya madaktari wa China nchini Niger

    China ni nchi kubwa zaidi inayoendelea duniani, na ni nchi ya pili kwa ukubwa wa uchumi duniani, ikiifuata Marekani. Pamoja na maendeleo makubwa, China imekuwa mstari wa mbele kuzisaidia nchi nyingine zinazoendelea duniani, zikiwemo za Afrika, kujipatia maendeleo kwa njia na mazingira...
  17. L

    Madaktari wa China Wawazawadia Watoto wa Zanzibar Tabasamu Jipya Kupitia Upasuaji wa Mdomo

    Timu ya 34 ya Madaktari wa China waliopo Zanzibar hivi karibuni imekamilisha upasuaji mitano ya midomo iliyopasuka juu na upasuaji 19 ya matatizo ya kaakaa kwa watoto ndani ya siku tano tu, huku kila upasuaji ukifanywa bila shida yoyote na hatimaye kurejesha afya na kuwapatia zawadi ya tabasamu...
  18. L

    Mradi unaodhaminiwa na China waibua maisha mapya katika Hifadhi ya Jiolojia ya Ngorongoro Lengai nchini Tanzania

    Kwenye ukingo wa Bonde la Ngorongoro nchini Tanzania, ukungu unaonekana kutanda kwenye uwanda huku makundi ya nyumbu na pundamilia wakirandaranda chini. Kutoka kwenye jukwaa jipya la kuangalia wanyama, wageni kutoka duniani kote sasa wanapata fursa ya kutazama kwa kina pamoja huku pembeni kukiwa...
  19. Mi mi

    Trump afikiria punguzo la ushuru la 80% kwa china tofauti na awali

    Donald Trump ni kama anataka kuja na mpango mpya wa punguzo la ushuru kwa China kutoka 145% kwa sasa mpaka 80% huku kazi nzima akiachiwa waziri wa fedha Scott Bessent. Pia ni kama anaiomba au kuisisitiza China kufungua soko kwa Marekani japo yeye Trump anasema itakuwa ni vizuri kwa China ila...
  20. Meneja Wa Makampuni

    Kuruhusu wachina kuuza bidhaa kutoka China kunaweza kusababisha matumizi ya dolla kuongezeka (Import itakuwa kubwa)

    Kuruhusu Wachina au makampuni ya kigeni kuuza bidhaa kutoka nchini mwao moja kwa moja katika soko la Tanzania, kunaweza kuwa na athari kadhaa kiuchumi mojawapo ikiwa ni kuongezeka kwa matumizi ya dola za Kimarekani (USD). Hii hutokana na mambo haya: 1. Kuongezeka kwa uagizaji (imports); Bidhaa...
Back
Top Bottom