Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,425
- 17,739
Kwamba miaka 25 ijayo ndiyo tutaweza kuwa low middle income country, ndiyo tutaweza kujilisha, yaani miaka 25 ndiyo tuanze kuwa China ilipokuwa miaka ya 70? Mambo mengi hiyo dira yanaweza kutatuliwa ndani ya miaka 5 tu with a good leadership kwanini tusuburi miaka 25 ?
Kwa hiyo mpaka tufike huko ni mwendo wa kumuachia China ale keki yetu huku tukiagiza kila kitu kutoka China na kuneemesha GSM & co. ? kwa maana CCM kila kitu wanaagiza China kuanzia kofia zilizoandikwa CCM, tisheti mpaka baiskeli walizogawa juzi kati wakati kiwanda cha baiskeli kilichotengeneza baiskeli kama hizo hizo kilikuwepo hapa tanzagiza.
Nafikiri hiyo ajenda 2050 ni conspiracy na labda imeandikwa na China ili tuendelee kuwa nyuma na kuwapa China red carpet, kuwaachia uwanja.
Kwa hiyo mpaka tufike huko ni mwendo wa kumuachia China ale keki yetu huku tukiagiza kila kitu kutoka China na kuneemesha GSM & co. ? kwa maana CCM kila kitu wanaagiza China kuanzia kofia zilizoandikwa CCM, tisheti mpaka baiskeli walizogawa juzi kati wakati kiwanda cha baiskeli kilichotengeneza baiskeli kama hizo hizo kilikuwepo hapa tanzagiza.
Nafikiri hiyo ajenda 2050 ni conspiracy na labda imeandikwa na China ili tuendelee kuwa nyuma na kuwapa China red carpet, kuwaachia uwanja.