Nimeandika namba hizi; 27,000 na 20,007 nikamtaka aniambie kwa maneno katika lugha ya kiswahili. 😂 Aseee alikuwa anatoa jibu anajikosoa mwenyewe, ningiweka kwenye karatasi sijui ningejaza karatasi ngapi tu, mwishowe akaingia mitini bila kutoa jibu sahihi.
Jaribu hiyo uone kitakachotokea