chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Erythrocyte

    Dodoma: Chadema yaadhimisha Sikukuu ya Eid na Watoto yatima wa Kituo cha Rahman Orphanage centre

    Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo 07/06 2025, Chadema badala ya kuita Matajiri wenye uwezo wa kuchinja chochote na kula nao Idd, ili kutafuta sifa kama wanavyofanya viongozi wengine, Wao wamechagua kupeleka Mkono wa Idd kwa Watoto Yatima. Huyu hapa ni Maalim Heche akiwa na viongozi wengine...
  2. The Burning Spear

    Mtanzania Aliyeshuhudia Bunge la 2010 Mpaka 2015 Lazima Akubaliane na No reforms No Election

    GT. Katika Bunge lililovutia kuliko wakati wowote ule ni hilo la 2010/2015 Bunge lilikuwa la moto hatari hoja nzito znito zilikuwa zinatolewa. CCM wakaona hayo yalikuwa ni makosa kuweka Wapinzani wengi bungeni Lakini kiukweli ndio bunge liliokonga nyoyo za watz wote na kuwaamusha hadi leo...
  3. Huihui2

    Heche muombe radhi Suzan Kiwanga Mbunge wa zamani wa Mlimba kupitia CHADEMA

    Upinzani utachelewa sana kuchukua madaraka hii nchi, sijawahi sikia Heche akisema wakipata madaraka watafanya nini zaidi ya kukosoa, sasa Suzan Kiwanga kuhama chama imekuwa uadui?
  4. sinza pazuri

    Diamond ni mkubwa kuliko Chadema.... Mashabiki wa Chadema mtaaibika na hii kampeni yenu

    Nawapa taarifa wafuasi na mashabiki wa Chadema kuwa diamond platnumz ni mkubwa kuliko chama chenu. Naona sasa hivi mnaendesha jaribio la mtandaoni kumzuia Diamond kufanya shughuli zake za muziki, baaada ya kupewa maelekezo na saviour wenu mange kimambi. Haya ni marudio ila kwa kuwa hamnaga...
  5. figganigga

    CHADEMA inachopitia CCM ndicho Afrika inapitia Urusi. Kudogosha..

    Bara la Afrika ni kubwa kuliko Urusi. Lakini kwenye Ramani inaonekana Urusi ni kubwa kuliko Bara la Afrika. Huku ni kudogosha kwa manufaa ya Wazungu. Kwa upande wa Tanzania, CHADEMA ina wanachama wengi kuliko CCM, lakini CCM wanadai wana Wanachama wengi kuliko CHADEMA. Twende Taratibu. Pamoja...
  6. M

    Mashabiki wote wa mwamba John Pombe Magufuli (JPM), twendeni CHADEMA

    Mimi ni shabiki kindakindaki wa Mwamba wa Afrika, John Pombe Joseph Magufuli. Kutokana na Mwamba kutuacha, nimeamua kuelekeza ushabiki wangu kwa CHADEMA. Hapo mwanzo sijawahi hata kufikiri juu ya CHADEMA, lakini nadhani niliwanukuu vibaya CHADEMA. Nilidhani ni watu wa shari tu, kumbe siyo...
  7. Hismastersvoice

    Kuzuiwa Lema kutoka nje ya nchi ni dalili viongozi wa Chadema wapo kifungoni.

    Mamlaka ya uhamiaji siku ya jana hapo Namanga ilimzuia Lema kwenda Kenya, Lema anakuwa kiongozi wa pili kizuiwa kutoka nchini na kunyang'anywa hati yake ya kusafiria, hii ya hati ni kauli ya Lema mwenyewe. Je, viongozi wa Chadema wapo kizuizini?
  8. M

    PreGE2025 Wale wabunge 19 watakaoomba kurudi CHADEMA wapokeeni, watakuwa na nia safi kwa sasa

    Mimi siyo mwanachama wa chama chchote lakini kwa hali ilivyo ya Chadema ni vyema kuwarudisha wabunge 19 wenye nia ya kufanya siasa ndani ya chadema. Nadhani Lisu aliwahi kutoa hata utaratibu wa kuwarejesha fanyeni hivyo, Mtu kama Halima, Bulaya, ni asset mbali na mambo yaliyotokea tumeona Komu...
  9. Genius Man

    Kwa haya mafuriko ya wananchi kwenye mikutano ya CHADEMA ni wazi uchaguzi ukiwa wa haki CHADEMA itanyakua bunge zima na ikulu

    Kwa haya mafuriko ya wananchi kwenye mikutano ya chadema ni wazi uchaguzi ukiwa wa haki chadema itanyakua bunge zima na ikulu yote sema amina. chadema sio tu chama cha siasa ni imani ya kidini.
  10. Erythrocyte

    Chadema yalaani Kuzuiliwa kwa Gobless Lema mpakani Namanga

    Ikumbukwe kwamba kuna amri ya Haramu iliyotolewa na viongozi wa Tanzania ya kuzuia Viongozi wa Chadema kusafiri Nje ya Nchi. Nabii huyo wa Mungu amenyang'anywa Passport yake na kutakiwa kuripoti Uhamiaji Makao Makuu Dodoma ikiwa ana Malalamiko yoyote. Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote...
  11. SankaraBoukaka

    PreGE2025 Yawezekana Boniface Mwangi na Agather Atuhaire wakawa waongo, ila Mbunge aliyesema "Walitakiwa warudishwe wakiwa kwenye gesi" kachukuliwa hatua gani?

    Mjadala mkubwa kwa sasa ni habari zinazowahusu Boniface Mwangi kutoka Kenya na Agather Atuhaire kutoka Uganda walipokuwa Tanzania. Wakati serikali ilikanusha madai ya ukiukwaji wa haki zao, baadhi ya raia na mashirika ya kiraia walitilia shaka mazingira ya tukio hilo. Lakini hata kama...
  12. S

    Godless Lema: Nimekwama kwenda Nairobi kutokana na zuio la Viongozi wa CHADEMA kusafiri nje ya nchi

    Godbless Lema, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amedai kuzuiwa kusafiri nje ya nchi leo mchana katika mpaka wa Namanga wakati akielekea Nairobi, Kenya. Lema amesema akiwa katika ofisi za Idara ya Uhamiaji aliambiwa kuna zuio kwa viongozi wa CHADEMA kusafiri...
  13. The Burning Spear

    Ukweli ni kwamba Chadema wanaona Mbali sana,Tume huru ya uchaguzi itatupatia viongozi wawajibikaji na wenye kuheshimu wapiga kura

    Rasmi sasa kile chadema wanahubiri CCM wameanza kuelwa ila sema tu ndiyo hivyo. Jamani mwenye wimbo wa kanyagakanyaga CCM ni waongo atupoie hapa,
  14. Fbn

    CCM ni vigeugeu sana ni kipi mnashida kwa CHADEMA kama mnapendwa wananchi

    Kuna mambo ya kitoto sana ndani ya utawala wa CCM. Bado wanasiasa zile za maisha ya ujamaa miaka ya nyerere. Mikutano yao uwezi kusikia wanajidili mustakabali wa taifa wala maono wao kutwa nzima kuiongelea chadema na wapinzani. Uwezi kuona wanafatilia CCm ili kurekebisha mapungufu yao wao...
  15. Waufukweni

    Dereva wa gari la CHADEMA adakwa kwa kusababisha ajali Morogoro

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva Yahaya Bakari Idd (43) mkazi wa Gongo la Mboto Mkoa wa Dar es salaam baada kusababisha ajali iliyotokea Juni 5, 2025 katika eneo la Mataa ya Tumbaku kata ya Mafisa Manispaa ya Morogoro. Taarifa ya leo Juni 6, 2025 iliyotolewa na Kamanda wa...
  16. Just Pray

    PreGE2025 Halima Mdee: Sitamani kuiacha CHADEMA. Kama itanifungia milango, basi nitaangalia mbadala mwingine

    "Waliokwenda CHAUMMA zao lao ni CHADEMA ni watu waliojenga CHADEMA kwa jasho na damu waliobaki CHADEMA kuna watu ambao waliijenga lakini kuna watu wapya ambao wamekuja wamekuta matunda yapo tayari na wakafikiria wamefika kama vile hakuna watu waliojenga kwahiyo mimi zile zote mbili ni familia...
  17. Crocodiletooth

    Chadema inapoomba kushiriki uchaguzi, huku ikiendeleza kampeni yake ya N. R. N. E, Tuielewaje?

    Nimepata dondoo za chadema kufungua shauri mahakamani kuomba huruma itumike waruhusiwe kujaza form ya maadili ili washiriki uchaguzi, infact nimeshindwa kuwaelewa? Mkazo na dhamira zao haziendani na yale wanayoyafanya kwa sasa, Tunataraji msimamo imara toka kwenye Tume yetu ya uchaguzi juu ya...
  18. Mshana Jr

    Kuna uwezekano mkubwa wa CCM kuja kukubaliana na CHADEMA juu ya NO REFORMS NO ELECTION

    Upinzani juu ya hili unaweza kuwa mkubwa lakini kwa hali ilivyo na inavyoendelea watakuwa hawana option bali kukubaliana na CHADEMA ili walau wapate nafasi ya kujipanga upya kwa yafuatayo 1. Vikao vya usuluhishi na mapambano ya ndani.. Kama ikitokea leo CHADEMA wakakubali kwenda kwenye...
  19. Common Folk

    CHADEMA imeshakuwa imani kamili, watu wanatoa "Tone Tone" kama wanavyotoa "Sadaka" makanisani na misikitini, tena kwa moyo mkunjufu

    Hii level ya imani hakuna chama cha siasa imeifikia kwenye hii nchi na majirani zake. Isingekuwa polisi nk, basi kijani wangekuwa hawana chao siku nyiiiingii.
  20. chiembe

    Sheikh Ponda kuacha kujiunga na Chadema ni ishara mbaya kwa chama hicho, watu wenye busara na nia ya kutunza heshima wanakikataa

    Katika mambo ambayo Mbowe alifanikiwa, ni kuvutia watu wenye heshima kubwa sana ndani ya CHADEMA. Lakini hivi karibuni wana CHADEMA wamegeuka watu wa matusi mazito ya nguoni. Hii imekimniza watu muhimu sana katika chama hicho ambao wangesaidia kukijenga. Sheikh Ponda kaondoka na kundi kubwa...
Back
Top Bottom