Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Wakili Fatma Karume amesema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI.
Huku akienda mbali kwa kusema atashiriki uchaguzi mkuu kwa kutumia haki yake ya kikatiba kupiga kura
Vile vile ameonya kuwa ni kosa la jinai kuzuia uchaguzi
Akijibu maswali mbalimbali katika mtandao wa X
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU KAULI ZA UCHOCHEZI ZILIZOTOLEWA KWENYE UZINDUZI WA KANISA LA "ARISE AND SHINE" SIKU YA TAREHE IJUMAA TAREHE 5 JULAI 2025.
Chadema tunalaani vikali kauli za kichochezi na za hatari zilizotolewa wakati wa uzinduzi wa Kanisa la Arise and Shine jijini Dar es Salaam tukio...
Hii hali siyo ya kawaida for the national stability.
Mitandao ya kijamii kunawaka moto Kisa utekaji, ubakaji, ufiraji, kupotea Kwa raia, na kubakwa kwa demokrasia Tanzania.
Watanzania wanaanza kuwashambulia Kwa maneno na kuwa unfollow wanaokipigia debe chama tawala. Millard Ayo amepoteza...
Wakuu,
Akiwa anazungumza leo mkoani Mbeya, Mwenyekiti wa BAVICHA Mbeya Elisha Chonya amesema kwamba CHADEMA wana haki ya kuendelea na mikutano ya kisiasa kwani katazo la Mahakama halikuwalenga viongozi wote wa CHADEMA bali viongozi wachache.
Akiwa anazungumza kwenye kikao chao mkoani Mbeya ...
Ukiona CCM wanakubali kufanya jambo ambalo hawalipendi ujue kuna mtego. Na hapa mtego ni kuwa wapiga kura wengi wa CHADEMA hawajajiandikisha wala kuhakiki taarifa zao kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.
Hivyo CCM wanaweza kukubali kufanya mabadiliko halafu wakaja kubana kwenye daftari la...
Husika na mada tajwa hapo juu:
Nashangazwa kuona slogan ya no reform no election ikiendelezwa na viongozi wakuu wa chadema ili hali wanaona kuna maelfu kwa maelfu ya watu wanachukua form za kugombea uongozi ndani ya Nchi yetu.
Hii ni ishara kuwa chadema hakuna viongozi kabisa na sidhani Kama...
Hivi karibuni kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 zitaanza. Tarehe ya kuanza itatangazwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi hivi karibuni. Vyama vyote vya siasa isipokuwa chadema viko kwenye harakati ya kupata orodha ya wagombea wao na kuiwakilisha INEC. Daftari la wapiga kura...
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa ukizoea kula nyama ya mwanadamu mwenzako huwezi kuacha.
Tumeshuhudia wakati wa uchaguzi, hata huu wa juzi uliosimamiwa na Mchengerwa, ushetani wa hali ya juu ukifanyika dhidi ya wagombea na wanaoiunga mkono CHADEMA. Zaidi ya ile ya kuenguliwa wagombea, kuna...
Nakuomba sana mama yangu mpendwa, Rais Samia suluhu Hassan. Uchaguzi wa mwaka huu ndiyo njia Yako pekee ya kukubaliwa na wananchi. Achana na misemo ya walioshindwa mfano: If you lose, lose big and also if you win, win big.
Taifa lipo kwenye ukimya mkubwa sana, naweza nisijue mawazo ya washauri...
Wakuu habari za siku mingi? Ni miaka kadhaa sasa imepita tangu niwepo JF kama member. Mara nyingi nimekuwa nikiitumia kusoma nyuzi za wadau tu bila kuweza kuchangia. Na kwa vile sio msikilizaji sana wa radio, wala kusoma magazeti au kuangalia TV (sipendi censored and fake news), JF imekuwa ni...
https://youtu.be/sjfPgpGxlPM?si=KotQLiYWJwasPFmS
Leo nimepata nafasi ya kumsikiliza mzee wa CCM, Jaji Joseph Warioba akishirikiana na wenzake kujaribu kuwaleta CCM na CHADEMA pamoja ili kunusuru mgogoro mkubwa wa kisiasa uliopo Sasa na nchi kuingia ktk uchaguzi ikiwa moja badala ya mgawanyiko na...
Kuna siku nilitoa ushauri kwa chama cha CHADEMA kijiwekee mkakati wa muda mrefu kuliko kukabia juu kuanza kurushiana maneno haijengi chama.
Cha kufanya wawekeze office kila kijiji taratibu vijana wataanza kuamini wakiwa na nafasi wakila ndani.si unaona CCM wanavyotumia mbinu ya mtaji na watu...
Kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu imefikia patamu na kwenye hatua ya muhimu sana
Iwapo DPP ataamua kuendelea na kesi, taratibu za kuhamisha shauri zitaanza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, na kesi itapelekwa Mahakama Kuu kwa ajili ya kusikilizwa.
Mahakama Kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.