Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 10,185
- 14,887
Ndani ya Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA hali si shwari baada ya baadhi ya wanachama kutaka kuingia kwenye Uchaguzi ili kumchagua Mwenyekiti baada ya Tundu Lissu kusota Rumande kwa mda mrefu ambapo kijana Makini John Mnyika huenda akashika wadhifa huo kwani anaungwa mkono nje ya Chama.
Awali iliibuka minong’ono kuhusu John Heche lakini hulka yake ya Uhuni. Misimamo yake na kutochagua maneno ya kuongea vimemuweka kando na Kundi kubwa la wanachama linaisukuma agenda hii ili Mwenyekiti wa Kuchukua nafasi ya Lissu apatikane kabla ya April 2026 .Tundu Lissu ambaye anasubiri vikao vya mahakama kuu ifikapo February 2026 ili kesi yake ya Uhaini iendelee.
John Heche pia analaumiwa kutofanya ziara zozote za kukijenga chama mikoani na Badala yake amekifanya Chama kuwa cha Mitandaoni tuu bila kuweka mizizi kwa wananchi hasa vijijini ambako hawana uelewa na masuala ya Mitandaoni
Awali iliibuka minong’ono kuhusu John Heche lakini hulka yake ya Uhuni. Misimamo yake na kutochagua maneno ya kuongea vimemuweka kando na Kundi kubwa la wanachama linaisukuma agenda hii ili Mwenyekiti wa Kuchukua nafasi ya Lissu apatikane kabla ya April 2026 .Tundu Lissu ambaye anasubiri vikao vya mahakama kuu ifikapo February 2026 ili kesi yake ya Uhaini iendelee.
John Heche pia analaumiwa kutofanya ziara zozote za kukijenga chama mikoani na Badala yake amekifanya Chama kuwa cha Mitandaoni tuu bila kuweka mizizi kwa wananchi hasa vijijini ambako hawana uelewa na masuala ya Mitandaoni