chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Matovu Godfrey

    Hesabu chini - zimebaki siku 10! kufika Oktoba 29

    !!! MIKAKATI YA KUPELEKA NA UTAWALA!!! _______________________ JE, UKO TAYARI Dokezo! Ujumbe kwa nafsi yako ✍🏿 Wapo baadhi ya viongozi mashuhuri kwa mfano wabunge wanaojifanya upinzani ambao wanaweza kutumika kuwanyamazisha wapiga filimbi, au mstari wa mbele wa mapambano. Siku zote...
  2. Dennis Robert Shughuru

    Serikali inawapa sana hype na kick zisizo za lazima viongozi wa CHADEMA

    Jioni hii heche kazuiliwa kwenda msibani habari imeenda viral kila mtu amejua mfano asingezuiliwa kwenda msibani ni watu wachache wangejua heche ameenda msibani wengi wasingejua ila kwa tukio la jana watanzania wengi sana wamejua Kuna mambo serikali inabidi iyapuuzie sababu yanawapa kick...
  3. Mafyangula

    GE2025 Katibu wa BAVICHA kanda ya Victoria ahamia CCM

    Kijana kakikacha chama chake bila shaka kafuata maokoto ya CCM ================= Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana Wa CHADEMA (BAVICHA Alon Kalomba amemuhakikishia Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Tarehe 29, Oktoba hakutakuwa na Maandamano. Alon ametoa kauli hiyo kwenye mkutano...
  4. Mafyangula

    GE2025 CHADEMA kinalaani vikali wimbi la ukamataji na utekaji wa viongozi na wanachama kanda Victoria, hususani mkoani Kagera

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinalaani vikali wimbi la ukamataji, utekaji na vitisho vinavyoendelea dhidi ya viongozi na wanachama wake katika Kanda ya Victoria, hususani mkoani Kagera. Tarehe 16 Oktoba 2025, viongozi na wanachama zaidi ya saba wamekamatwa na vyombo vya dola...
  5. kagoshima

    GE2025 Sipati picha maumivu CHADEMA wangepitia kama wangetia timu kwenye huu uchaguzi huu bila reforms

    Hivi tu hawashiriki uchaguzi lakini viongozi wao wanatekwa inchi nzima. Nini Kingetokea wangeingiza timu bila reforms? Ingekua massacre
  6. Carlos The Jackal

    CHADEMA / MISS SARUNGI anzisheni Mfuko wa Harambee Kwa MAMA POLEPOLE , Ndani yake ubebe na Wahanga wengineo ! Mlifanyeni hili haraka kabla ya MO29

    Palipo na Hazina ya MTU ndio Moyo wake ulipo Nafaham tunao Wahanga wengi sana mamia Kwa maelfu. Lakini ni lazima tuweke UPEKEE katika Uchaguzi wa Jina la Mfuko. Mh Polepole alikua Mwana CCM, Mbunge, Mjumbe wa Tume ya Katiba ya Jaji Warioba, Katibu Muenezi wa CCM, na BALOZI Nchini Cuba...
  7. Septemba 6AM

    Waambieni wanachama wa CHADEMA, Sukuma Gang na wakristo wa- download VPN tunajambo letu

    Aluta... Siku 13 zimebakia. Jambo letu linaenda kukamilika kikamilifu. Tunaenda kuonyesha ulimwengu Legacy ya Nyerere. Ukombozi. Ambia wanachadema, Sukuma gang, na Wakristo wote wenye smartphone wapakue VPN app zenye security nzuri. Tutafanya tofauti, maandamano yetu hayatafanana na mengine...
  8. MamaSamia2025

    Baada ya tarehe 29 wafuasi wa Mange wajiandae kutukanwa na kudhalilishwa na kiongozi wao

    Baada ya tarehe 29 wafuasi wa Mange watakutana na hasira kali za dada kutoka Marekani. Wataoga matusi ya nguoni toka kwa kiongozi wao Mange. Sababu kuu itakuwa ni wao kujitokeza kuandamana kama wanavyodanganyana sasa. Ikumbukwe Mange ana uzoefu mkubwa wa kumtukana yeyote. Huwa haangalii umri...
  9. W

    GE2025 Wenje: Rais Samia alitekeleza mapendekezo ya CHADEMA lakini bado wakasusia uchaguzi

    Aliyewahi kuwa Mbunge wa Nyamagana na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema Rais Samia Suluhu alitekeleza mapendekezo yaliyotolewa na CHADEMA, lakini bado chama kikasusia uchaguzi. Pia Soma GE2025 - Wenje: CHADEMA kutoshiriki uchaguzi ni hofu ya kushindwa GE2025 -...
  10. M

    GE2025 Tundu Lissu yuko ndani, Chadema hawaruhusiwi kuongea hata kujikusanya, vuguvugu na nguvu ya maandamano ni ya wana CCM?

    CCM hamna la kuwaambia Watanzania juu ya hili kweli? Tuliyedhani ni shida kubwa katika kufanya uchaguzi uwe wa Amani, katiwa ndani, hana ushawishi tena Chama ambacho tulihofia kwamba kitakuwa chanzo cha vurugu katika uchaguzi wetu, kimeminywa kwa namna zote na kila sababu, hakiruhusiwi...
  11. R

    Baada ya Wenje, naona wameisha, Bado Mbowe sasa. Au mnasemaje kuna " vigogo" bado Chadema watahama?

    Bado Mbowewe. Namshauri Mbowewe asifanye hivyo. Bado akitubu na kumrudia Mungu anaweza akawa na mawazo chanya. Najua haitajiki na walio wengi, but time heals! Akienda CCM ni uchuro! Ya Chauma yameisha....DEAD ALREADY
  12. Idugunde

    GE2025 Tukatae huu upotoshaji, CHADEMA hawakuweka mpira kwapani. Walitaka mabadiliko yenye manufaa kwa taifa

    CHADEMA walitaka kuwa na Katiba ambayo italeta misingi thabiti kwa taifa letu. Kuwa na uchaguzi huru na wenye haki. Kuwa na sheria madhubuti ambazo zingesimamaia uchaguzi huru. Mfano kuwa na nafasi ya kupinga matokeo ya urais ikiwa kuna mizengwe kwenye uchaguzi. Hili la kusema waliweka mpira...
  13. Matovu Godfrey

    GE2025 OKTOBA 29 tunatoka

    INUKA TANZANIA! 🇹🇿 AMKA TANZANIA! TANZANIA HURU! SAMIA LAZIMA AENDE! ACHA UTEKAJI MIMI MTANZANIA! POLE POLE BURE! TUNDU LISU BURE! HAKUNA MAREKEBISHO HAKUNA UCHAGUZI! #Oktoba29Tunatoka 📍 Watanzania lazima wainuke na kupigania uhuru wao, dhuluma lazima iishe 💪🏿
  14. Inside10

    GE2025 John Heche: Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Bukoba Mjini, Chifu Kalumuna, achukuliwa na Polisi bila kuambiwa kosa

    Ameandika Heche, Nimepokea simu kutoka kwa mdogo wake Chifu Kalumna ambae ni Mwenyekiti wetu wa wilaya ha Bukoba mjini. Anasema polisi wakiwa na silaha za moto na magari mawili, wamevamia nyumbani kwa Chifu mda huu na kuondoka nae bila kumwambia wanamhitaji kituo cha polisi bila sababu yoyote...
  15. figganigga

    John Heche amtembelea Mabele Marando nyumbani kwake

    Leo tarehe 11 Oktoba 2025, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA John Heche amemtembelea nyumbani kwake aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Mabere Marando. Ziara hii imebeba maana kubwa ya kuthamini mchango wa viongozi waliotangulia na kuendeleza mshikamano ndani...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 John Heche: CHADEMA tunapiga kelele Polepole arudi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche akieleza namna chama hicho 'kilivyoapa' na kupinga matukio ya utakaji na watu kutoweka kwenye mazingira tatanishi, akitoa wito kwa Watanzania kutambua thamani ya binadamu wenzao
  17. Penguinelli Cactussini

    GE2025 Ni kweli kwamba Tar 29-10 watu watatoka kweli?

    Maandamano aliyoitishaga Mange Kimambi yalileta badiliko lolote wakati ule? Je, kipindi hiki NDIO tuseme chuki dhidi ya serikali iko kwenye peak kuliko miaka yote TANGU uhuru? Gen Z wa wakati huu ni bora na wanataka mabadiliko tofauti na miaka ya nyuma? Enyi watu wazima ambao mliona...
  18. Cute Wife

    GE2025 CHADEMA: Toka Oktoba 1 hadi 9, 2025 wametekwa watu 13! Ni karibu watu wawili kila siku!

    Salam Wakuu, Hali imezidi kuwa mbaya nchini aisee! Yaani kila siku wanatekwa watu wawili, tumekuwa nchi ya ajabu sana! Na hawa ni wale wanaorekodiwa, halafu kuna wale ambao wanapotea kimyakimya taarifa hazifiki mtandaoni! Tuendelee kuchukua tahadhari na kujilinda huku tukikosoa yanayofanyika...
  19. R

    SI KWELI Sugu: CHADEMA imekimbia kupiga kura, inashambulia Upinzani

    Wakuu, Huu ni ujumbe wa Sugu kweli?
  20. M

    Haitashangaza pia kuona CHADEMA ikimtetea Mafwele siku zijazo

    Kwa sasa jina la Askari Mafwele ndo habari ya mjini kwenye mambo yanayoendelea. Wanaharakati na wafuasi wengi wa CHADEMA wanamtuhumu kuhusika na utekaji. Kwa sasa wanamtuhumu kumteka Polepole. Hakuna uthibitisho wa madai yao ila wahenga walishasema lisemwalo lipo. Kama ni kweli Mafwele anahusika...
Back
Top Bottom