chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Cyprian Musiba Aishauri Chadema Kuweka Mkazo kwenye Changamoto za Wananchi Badala ya Kuzuia Uchaguzi

    Mwanaharakati huru, Cyprian Musiba, amekishauri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuelekeza juhudi zake katika kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi, kama vile umaskini na mfumuko wa bei, badala ya kuendelea kusisitiza ajenda ya kuzuia uchaguzi, ambayo anaamini haitaweza...
  2. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wasira: Mbowe hajaaga dunia bali "yupo anauguza vidonda vilivyotokana na matusi wanaCHADEMA

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amepotea kutokana na matusi ya wanachama wa chama chake. Akizungumza katika mkutano wa hadhara Kata ya Kemondo, Wilaya ya Bukoba, mkoani Kagera...
  3. sinza pazuri

    Raila atoboa alichoongea na Chadema: Nimewashauri Chadema warudi kwenye maridhiano

    Kupitia ukurasa wake wa X nguli wa demokrasia nchini Kenya. Nilifanya majadiliano na viongozi wa upinzani kutoka Tanzania waliokuja kunitembelea kwa ziara ya heshima. Tulibadilishana mawazo kuhusu kuimarisha demokrasia barani Afrika, ikiwemo mchango madhubuti wa vyama vya siasa katika maendeleo...
  4. B

    Video: Tundu Lissu akifurahia kupiga Stori na Manahodha wa Boti kuelekea Zanzibar. Utapenda

    Sijajua kwa hakika yule Nahodha ama captain alikuwa anajisikiaje kwenye nafsi. Lakini jambo moja naloweza kusema nimeona Yeye na Wenzake wakiwa na Furaha isiyo na kifani. Huku wakiteta jambo na chombo kikiwa kinkata mawimbi basi wameonekna wakicheka na kufurahi pamoja. Bwana Asem palipo wawili...
  5. Gabeji

    PreGE2025 Sasa nimeamini CHADEMA wapo serious sana na sera ya "No reforms No election". Watanzania tuwaunge mkono

    CHADEMA chini ya mh Tundu Lissu, wameamua na wamejipanga sana na "No reform No election" Nimeona hatua wanazo zichukua ni peaceful means, well organized, and the best plans ever seen in Tanzania to uproot the ruling political party( ccm) Wameanza na tone kampeni, Wamewaita wahalili wa vyombo...
  6. Z

    Chadema ya Lisu haiwezi kuwa kama Chadema ya Mbowe.

    Hakuna ubishi kuwa tangu Lisu achukue nafasi hiyo kwa figisu kali dhidi ya Mbowe, Chama kimepoteza mvuto na ushawishi.....kadiri siku zinavyo zidi kusonga mbele ndivyo athari ya kukosekana kwa Mbowe inavyo zidi kuonekana, chama kimepwaya sana, kimepoteza nguvu na ushawishi. tuache masihara Mbowe...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 CHADEMA Mara yawasilisha ripoti ya vifo na upotevu kwa Kanisa Katoliki

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara kimewasilisha ripoti maalum kwa Kanisa Katoliki, ikielezea matukio ya watu waliouawa au kupotea katika mkoa huo. Sambamba na hilo, chama hicho kimetumia nafasi hiyo kueleza msimamo wake wa No Reform No Election, ukimaanisha kwamba kitazuia...
  8. Ojuolegbha

    PreGE2025 POTOSHI Uzinduzi wa Operation ya No Reforms, No Election Kanda ya Nyasa umebadilishwa kutoka 23 Machi 2025 hadi 1 Aprili 2025

    TAARIFA KWA WANACHAMA, WANANCHI NA WAPENZI WA CHADEMA TANZANIA Ndugu wanachama, Wananchi na wapenzi wa CHADEMA, Tunapenda kuwajulisha kuwa tarehe ya uzinduzi wa Operation #NoReforms, NoElection – Kanda ya Nyasa (Mbeya) imebadilishwa kutoka 23 Machi 2025 hadi 1 Aprili 2025. Marekebisho haya...
  9. T

    PreGE2025 CHADEMA warudisheni wabunge 19 mjenge Chama

    Kutokana na hali na mazingira mapya ya kisiasa ninashauri wale wabunge 19 warudishwe kujenga chama na kuongeza ushawishi kuelekea uchaguzi Mkuu kwa misngi ifuatavyo 1. Wabunge hawa pamoja na makosa waliyoyafanya lakini hawakuibagaza chadema wao waliendelea kujitetea uwemo wao bungeni na...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mtia nia wa Urais kupitia CHADEMA apinga vikali sera ya "No reform No Election"

    Mwanachama Wa Chama Cha Demokasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni mtia nia wa Urais kupitia Chama hicho, Ndugu Romanus Mapunda, amejitokeza Hadharani na kupinga vikali sera ya " No reform No Election" Kwa Kuwa unaweza kuzima ndoto yake kuwa Rais na Haina Afya Katika Demokrasia ya Nchi. Kupata...
  11. A

    PreGE2025 Hii slogan ya "No Reform, No Election" imetumiwa vizuri sana na wanachama wa CCM

    Hii slogan ya "No Reform No Election" imetumiwa vizuri sana na wanachama wa CCM.Wanachama na mashabiki wa CCM wakahamasishana na kuhamasishana kwenda kujiandikisha kwa wingi ili wawe na sifa ya kupiga kura. Wanachama na mashabiki wa CHADEMA wakahamasishana na kuhamasishana kutojiandikisha kwa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 ACT-Wazalendo: Hatukubaliani na CHADEMA katika ajenda ya ‘No Reform, No Election’

    Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ambaye ni Mtia nia nafasi ya Urais katika Uchaguzi wa Oktoba mwaka huu Dorothy Semu anasema kuwa wao hawakubaliani na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ajenda ya ‘No Reform, No Election’. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
  13. upupu255

    PreGE2025 POTOSHI Viongozi wa CHADEMA wamekiri kushindwa Uchaguzi, waogopa, wakubali ushindi wa kishindo CCM

    Wakuu Je, Ni kweli viongozi wa CHADEMA wamekiri kushindwa Uchaguzi, waogopa, wakubali ushindi wa kishindo CCM
  14. KING MIDAS

    Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu akijivua uanachama Chadema, nitampigia kampeni Tulia Ackson achukue ubunge wa Mbeya Mjini

    Nasikia kina Sugu na MBOWE wanataka kuanziaha chama chao ambacho kipo sponsored na CCM na wameahidiwa kwamba chama hicho kipya ndio kitabeba viti vingi vya upinzani. CHADEMA wameshasema No Reform no election, kina Sugu waroho wa madaraka wanadhani wataenda bungeni kirahisi, nawahakikishia...
  15. Ryan Holiday

    CHADEMA waache kutumia neno Kamanda bila sifa stahiki

    Habari, Nimekuwa kimya kwa miaka mingi, kutokana na miangaiko ya hapa na pale. Lakini kila ninapopita mitaani, vichochoroni na kwenye madimbwi ya maji na kutana na neno hili 'KAMANDA" nikirudi kwenye Uso kitabu, X, Insta, nikienda JF nakutana na neno hili "KAMANDA". Yaani mtu hata chakula chake...
  16. Waufukweni

    PreGE2025 Mgombea Urais wa Chama cha NLD, Hassan Doyo: No Reform, No Election CHADEMA wenyewe hawajaungana

    Wakuu Mtia nia wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha NLD Bw. Hassan Doyo kupitia Crown FM anadai "CHADEMA yenyewe hawajaungana kwenye ajenda ya No reform, No election kwahiyo ni ngumu kuungana nao" Pia, Soma Chama cha NLD champongeza Rais Samia kuteuliwa kuwa mgombea Urais CCM. Viongozi...
  17. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Saipulan Ramsey: CHADEMA yahitaji uchunguzi wa Afya ya Akili kwa Kauli yao No reform No Election

    Katibu mwenezi wa CCM Mkoa wa Arusha Saipulan Ramsey azungumza kuhusiana na kauli ya chama chademokrasia na maendeleo chadema No reform No Election nakusema kile chama kinahitaji kipelekewe daktari wa kupima afya ya akili Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025...
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Tabora: Wananchi watofautiana juu ya msimamo wa CHADEMA kutishia kuzuia uchaguzi mkuu

    Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Tabora wametoa maoni mseto juu ya msimamo wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema wa kudai watazuia uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu endapo hakutakuwa na mabadiliko ya kisheria, kikatiba, mageuzi ya kikanuni pamoja...
  19. figganigga

    Peter Msigwa kurudi CHADEMA Machi 23, 2025?

    Kuna kila dalili za aliyekuwa Mbuge wa Iringa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa Kamati kuu na Mkutano Mkuu Mchungaji Peter Msigwa kurudi CHADEMA 23/03/2025. Kashajitenga na CCM. Je, Urafiki wake na Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ndo unamfanya alambe matapishi yake? Mwingine...
  20. Cute Wife

    PreGE2025 Amani Golugwa: Wasira wewe siyo msemaji wetu, acha kutusemea kitu ambacho hukielewi

    Wakuu, Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Bara, Amani Golugwa amesema watu wa CCM wamegeuka kuwa wasemaji wao, lakini wao msemaji wao ni mmoja tu, Brenda. Anasema ukiwasikiliza wasemaji wa CCM kama wasira, makalla wamekuwa kama wasemaji wao, wanawasaidia kufikisha ujumbe lakini, wakome maana...
Back
Top Bottom