ceo

A chief executive officer (CEO), chief administrator, or just chief executive (CE), is one of a number of corporate executives in charge of managing an organization – especially an independent legal entity such as a company or nonprofit institution. CEOs find roles in a range of organizations, including public and private corporations, non-profit organizations and even some government organizations (notably Crown corporations). The CEO of a corporation or company typically reports to the board of directors and is charged with maximizing the value of the business, which may include maximizing the share price, market share, revenues or another element. In the non-profit and government sector, CEOs typically aim at achieving outcomes related to the organization's mission, such as reducing poverty, increasing literacy, etc.
In the 21st century, top executives typically have technical degrees in science, management, engineering or law.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    CEO, are you comfortable to pay a penalty for failing to file the statement of estimated tax payable by instalment (provision tax 2026) which its due

    A person who fails to file a provision tax on or before the due date is liable for a penalty for each month or part of a month during which the failure continues. The penalty is; In case of an individual: 2.5% of the amount of tax assessable or TZS 100,000 whichever is higher. In the case of...
  2. Bullshit

    N haramu kumtakia heri ya xmas ndugu yako mkristo ila si haramu tumia iphone CEO Gay

    Ebu jaribu kunielezea ili nielewe.
  3. ChekoFagia

    ICPC yapokea malalamiko kutoka Aliko Dangote dhidi ya CEO wa NMDPRA

    Tume huru ya kuzuia rushwa na makosa mengine yanayohusiana (ICPC) inapenda kuthibitisha kuwa leo jumanne tarehe 16 desemba, 2025 imepokea rasmi malalamiko (petition) kutoka kwa alhaji aliko dangote kupitia wakili wake. malalamiko hayo yanamlenga mtendaji mkuu (CEO) wa nmdpra, Alhaji Farouk Ahmed...
  4. nkuwi

    Huyu CEO wa simba hana uwezo wowote, naomba ajiondoe mapema before too late

    Habari za jioni wanasimba, naomba niingie moja kwa moja kwenye hoja. Huyu bi dada zubeda shakuru tangu ameingia simba kuna lolote positive ameleta?? mbona timu inazidi kuzama?. nafikiri ajiondoe kabla hajatolewa kwa nguvu kwenye hiyo nafasi, amepelea hana uwezo, hajiwezi. simba inahitaji...
  5. M

    Wataje hapa CEOs walioleta mafanikio makubwa kwenye kampuni walizosimamia na CEOs waliozingua

    Nianze mimi Walioleta mafanikio CRDB - Charles Kimei (Aliondoka), Ndiye aliefanya crdb iwe giant wa sekta ya bank NMB - Ruth Zaipuna, kaikuta NMB ikiwa imejichokea kaifufua kwa kasi ya ajabu NALA - Benjamin Fernandes, kakimbilia Kenya akidai mazingira ya biashara yake kwa Tanzania magumu...
  6. A

    CEO, save the company’s money by avoiding indefinite penalties for not filing the 2024 income return.

    As of now, there are CEOs of the companies who have not yet filed their income tax returns for the year 2024. VERY INTERESTING… The company is going through the financial crisis still you’re paying unnecessary penalties for non-compliance with tax laws. The company is overwhelmed with debts...
  7. A

    As a CEO of a Company, are you complying by remitting NSSF contributions on time?

    Registration Section 11 (1) of NSSF Act. (Cap. 50) requires every registered company under Companies Act, 2002 is required to be registered by NSSF and issued a certificate of registration. Payment of Contributions All employers registered by NSSF are required to pay monthly contribution...
  8. A

    Are You a CEO of a Company That Has Not Yet Started Operations Since was incorporated? Here are What You Need to Know.

    Today, you may be asking yourself numerous questions that are giving you headaches without clear answers. Questions like: Why is TRA sending me tax assessments with interest and penalties when my company hasn’t even started operations? Why does TRA keep reminding me every year to file an annual...
  9. A

    Ewe CEO wa kampuni hakikisha unafanya haya kabla ya tarehe 30/6/2025 kuepuka faini ya TZS 300,000

    • Kulingana na Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Kodi ya Mapato ya mwaka 2004, pamoja na kifungu cha 39 na 48 ya Sheria ya Usimamizi wa Kodi ya mwaka 2015, kila kampuni iliyosajiliwa, biashara ya ubia, na biashara binafsi yenye mauzo ya kuanzia TZS milioni 100 kwa mwaka, inatakiwa kuandaa na...
  10. Alloyce PR

    Even a CEO Needs Hands

  11. ngara23

    CEO wa Yanga, Andre Mtine: Tunataka Pesa yetu ya Ubingwa ndio kitu tumewaambia TFF

    CEO wa Yanga na mtaalam wa masuala ya fedha wamehudhuria TFF kuhudhuria wito, Andre Mtine ameshangaa kuona TFF wanadai pesa ya ubingwa ilikatwa juu Kwa juu kufidia madeni ya vibali vya wachezaji Yaani Leo Madrid anyimwe pesa za ubingwa wake kisa anadaiwa TFF walipaswa kuwapa Yanga pesa Yao ya...
  12. kavulata

    CEO JKT Tanzania ameiabisha taasisi ya umma kwa uchawi michezoni, hafai

    Hakuna jambo kubwa linaloweza kufanyika ndani ya taasisi bila CEO kufahamu na kuruhusu lifanyike. Kama anafahamu anajua na kama hafahamu anajua pia kuajibika kuko palepale. JKT Tanzania wameonesha vitendo vya ushirikina michezoni kwenye mechi ya nusu finali na yanga. Hii sio sawa kwa timu ya...
  13. Roving Journalist

    Tanzanite CEO Roundtable - Zanzibar Chapter yazindua Mkutano wa kwanza wa Sheria za kazi Zanzibar

    Zanzibar leo Mei 8, 2025, imeweka historia ya kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa kwanza wa Sheria za kazi, Mkutano huo ulioandaliwa na Taasisi ya Tanzanite CEO Roundtable - Zanzibar Chapter kwa kushirikiana na Kamisheni ya Kazi Zanzibar (ZLC), mkutano huo wa siku moja umefanyika katika Ukumbi wa...
  14. R

    Tuko salama kiasi gani kwenye mitandao: Msikilize Maxcence Melo, JamiiAfrica CEO

    Kuna haja ya kuwa macho sana kama unataka ku maintain anonymity/usijulikane.
  15. Mikopo Consultant

    Hata BOT wameweka ukomo wa miaka 10 kwa ma CEO wa mabenki, miaka 20 kwa Mbowe kuongoza chama ni mingi sana.

    Kwenye uongozi wa taasisi, iwe ni biashara au kampuni au taasisi ya aina yoyote, huwa kuna swali moja huwa tunapenda kuliuliza, ambalo ni: 'Matokeo yapo wapi?'. Hili ni swali la kikatili sana, kwasababu huwa halihitaji kujiteteta wala kulaumu watu wengine, lenyewe linataka uoneshe matokeo yapo...
  16. Dabil

    CEO wa Simba Uwayezu Francois Regis ateuliwa na Kagame kuwa katibu wizara ya michezo nchini Rwanda.

    Hii imekaaje,CEO Mrwanda aliyeletwa na Simba amekula shavu katika serikali ya Rais Kagame ameteuliwa kuwa katibu waziri wa michezo. Ikumbukwe hakupata vibali vya kazi tangu Simba imlete,naona serikali hapa iliona mbali.
  17. NguoYaSikuKuu

    Yupi CEO wako bora kuwahi kutokea Tanzania? Nchi masikini zinafeli wapi!?

    Hodi Jamvini, Nawasilisha mada hapo juu kuhusu dhana ya MaCEO's ambayo huku ipo lakini naona bado ipo duni sana. Kwenye suala la utendaji hatupimani kabisa kuhusu performances. Unakuta mtu ni mtendaji mkuu wa kuajiriwa iwe ni sekta binafsi au serikali yupo miaka mingi lakini bado Shirika au...
  18. Dabil

    Simba mnatuleteaje CEO ambaye ni shabiki wa Yanga?

    Simba ijitathmini tena kuhusu huyu CEO mpya,haiwezekani shabiki wa Yanga aje kuwa CEO wa Simba,hatutaki mamluki kama alivyokuwa Manara,mbinu za kivita zinazojadiliwa Simba yeye anapeleka upande wa pili. Huyu CEO aondolewe mapema kwa maslahi mapana ya timu. Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda...
  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    Je, CEO mpya wa Simba ni shabiki wa Yanga?

    Ukienda kwenye mtandao wa X zamani Twitter, tafuta jina la CEO kisha search neno Yanga utapata tweets zote alizopost kuhusu Yanga. Je, Simba imeajiri mtu mwenye vinasaba na Yanga pasipo kujua? Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu
  20. JanguKamaJangu

    Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu

    Tunapenda kuutarifu umma kuwa Klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Ndugu Francois Regis, ambaye alikuwa ni Mtendaji Mkuu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu. Tunamshukuru Mr. Regis kwa kipindi alichohudumu katika Klabu yetu. Bodi imefanya uteuzi wa Bi. Zubeda...
Back
Top Bottom