ceo

A chief executive officer (CEO), chief administrator, or just chief executive (CE), is one of a number of corporate executives in charge of managing an organization – especially an independent legal entity such as a company or nonprofit institution. CEOs find roles in a range of organizations, including public and private corporations, non-profit organizations and even some government organizations (notably Crown corporations). The CEO of a corporation or company typically reports to the board of directors and is charged with maximizing the value of the business, which may include maximizing the share price, market share, revenues or another element. In the non-profit and government sector, CEOs typically aim at achieving outcomes related to the organization's mission, such as reducing poverty, increasing literacy, etc.
In the 21st century, top executives typically have technical degrees in science, management, engineering or law.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Sababu za Simba kuachana na CEO wao ni zipi

    Klabu ya Simba imetangaza kuachana na CEO wake raia wa Rwanda bwana Regis Francos kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao je sababu hizo zaweza kuwa ni zipi? mbona Simba inafanya vizuri katika ligi?
  2. Magical power

    Hivi ndivyo CEO wa Capital Oil alivyorudishwa nchini Nigeria

    Hivi ndivyo CEO wa Capital Oil alivyorudishwa Nchini Nigeria, Sio kwenye Private Jet yake anayoimiliki wala sio kwenye Business Class ya Commercial Airline bali maiti yake imerudishwa kama Cargo kwenye Ndege. Funzo Tukumbuke kuishi na watu vyema tukiwa hai,haijalishi upo levo Gani ya...
  3. Kusini pride

    Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

    Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi...
  4. L

    Jemedari Said CEO mbabaishaji mkubwa asiejielewa

    JKT ilimpa kazi Jemedari ya kuwa mtendaji wake mkuu lakini pia jamaa ni mwajiriwa wa Crown FM, unajua being a CEO is a big task, mipango yote ya klabu iko kwako, Sasa huyu jamaa ukimsikiliza anapokuwa hewani anavyoshambulia watu personal badala ya issues unaweza sema ni msomi au pundit katika...
  5. D

    CEO Mpya wa Simba yupo wapi?

    I will be short Vipi CEO wa Rwanda yupo wapi? Simba announced there new ceo a Rwandan Where is the new CEO au kawakimbia? Source : Ricardo Momo
  6. Pascal Mayalla

    Watanzania wenye uwezo kuwa CEO's wa multilateral companies tunakwama wapi? Kama Helios Towers Watanzania wameweza huko, kwingine tunakwama wapi?

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la Jumapili ya leo. Huu ni muendelezo wa sisi Watanzania kujitathmini uwezo wetu wa uongozi kwenye corporate level, jee Watanzania tuna uwezo wa kuongoza makampuni makubwa profitability, kama ATCL, SGR, TAZARA etc na yaka oparate kwa...
  7. Pascal Mayalla

    Uwezo wa Watanzania Ma CEO Makampuni ya Kimataifa, Je Tunao?, Tuna Uwezo?. Big Up Helios Towers, Kuing’arisha Tanzania, Fursa kwa Watanzania!

    Wanabodi, Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa. Mara yangu ya kwanza kutinga New York, kutembelea Makao Makuu ya UN, nilitembezwa sehemu mbalimbali za UN, huku nikitambulishwa kwa staff wa UN ambao ni Watanzania, ukiondoa UN Radio, huko kuingine kote Watanzania ni wa...
  8. E

    Karin Rådström takes over as CEO of Daimler Truck

    Karin Rådström, currently responsible for Mercedes-Benz Trucks, will become the new CEO of Daimler Truck from 1 October. She takes over the position from Martin Daum and will head the world's largest truck manufacturer. Rådström has been on Daimler Truck’s Board of Management since 2021, after...
  9. Mkalukungone Mwamba

    Vipigo viwili mfululizo vyamng'oa CEO Namungo

    Klabu ya Namungo Fc imethibitisha kuridhia ombi la kujiuzulu la aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Omary Kaya kufuatia mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo iliyopokea vipigo viwili mfululizo kwenye mechi mbili za mwanzo wa msimu huu. Namungo FC imepoteza mechi hizo dhidi ya Tabora United na...
  10. J

    CEO wa Telegram ana watoto zaidi ya 100 ana miaka 39

    Durov CEO wa Mtandao wa Telegram Alikamatwa na kunaripotiwa kuhusiana na kutodhibitiwa kwa kutosha kwenye Telegram. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumatatu kwamba kukamatwa kwa “haukuwa uamuzi wa kisiasa kwa vyovyote.” Msemaji wa polisi alifafanua kuwa uchunguzi unahusu Telegram...
  11. Suley2019

    Simba wamtangaza CEO mpya, mrithi wa Imani Kajula

    Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imemteua Raia wa Rwanda, Uwayezu Francois Regis kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 baada ya Mkurugenzi aliyekuwepo, Imani Kajula kujiuzulu miezi michache iliyopita UwayezuFrancoisRegis amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...
  12. K

    Mbowe hapedwi na CCM kwasababu ni CEO mzuri

    Tuache unafiki Mbowe hapedwi na watu wa CCM kwasababu moja tu anajua kuongoza, street smart, haongeki, ana heshimika na anajua kuongoza. Kuna wanasiasa wengi sana ni wazuri wa kuongea tu lakini huwezi kuwapa hata mradi wa kuku.
  13. aka2030

    CEO wa JKT, Jemedari Said ataweza kuikosoa timu hiyo redioni Crown FM?

    Nauliza tu huyu jamaa ambaye huku ni mchambuzi wa mpira Crown FM huku ni CEO wa JKT Tanzania ataweza kutofautisha vipi haya mawili? Asije kuongea kwa hisia akajikuta amefungiwa muda mrefu TFF
  14. Jaji Mfawidhi

    Je, unaweza kuajiri CEO na Wakurugenzi toka mashirika haya?

    DODOMA: Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amefanya Ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa mwaka wa fedha 2022-23 na kuorodhesha mashirika 99 ambayo yanadaiwa zaidi ya Sh trilioni 3.49. Je, kama Mtu ni mkurugenzi kwenye hili shirika, amekaa hapo miaka 10 na...
  15. Lycaon pictus

    Badala ya kubinafsisha mashirika yanayotushinda kwa kampuni za nje kwanini tusitafute ma CEO kutoka nje, wenye uzoefu na kazi hizo?

    Inaonekana wazi serikali haiwezi kuendesha shirika lolote. Mwendokasi na hasara za ATC ni mfano wa karibuni juu ya kushindwa huko. Mwendokasi unaenda kutafutiwa muwekezaji kutoka nje!! Huku ni kujirudisha nyuma maana muwekezaji huyo hata kama atatoa huduma nzuri namna gani lakini atachota uchumi...
  16. D

    CEO wa Open AI ambayo inamiliki Chat GPT kaolewa na dume jenzake

    Dunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa. Haya mambo haya baada ya...
  17. snipa

    Kampuni ya Open AI imetangaza kuwa aliyekuwa CEO Sam Altman amekubali kurudi kazini

    Aliyekuwa CEO wa Kampuni ya Open AI ambayo imejikita katika masuala ya akili Bandia Bwana Sam Altman Amekubaki kurudi Tena kuiongoza Kampuni hiyo baada ya kufukuzwa kazi siku chache zilizopita. Ikumbukwe baada ya Sam Altman kufukuzwa kazi Kampuni hiyo imejikita ktk changamoto kubwa ikiwemo...
  18. Cybergates

    Founder na aliekua CEO wa Open AI (chatGPT) Sam Altman amafukuzwa kazi na management

    Haya sasa Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO ) Ikumbukwe kwamba idea nzima ya chatGPT ilikua yake, development na programming amefanya yeye na rafiki zake Kiufupi amafukuzwa kwenye...
  19. GENTAMYCINE

    Kama CEO Popat na Msemaji Ibwe watakuwepo Azam FC hadi tarehe 25 Oktoba, 2023 wakicheza na Yanga SC basi Watafungwa

    Kwa 95% Kiongozi wa Azam FC ( ambaye Watu wa Mpira Tanzania tunajua ni mwana Yanga SC lia lia ) CEO Popat ndiyo huwa Silaha Kuu ya Yanga SC kuifunga Azam FC muda wowote na inavyotaka. Na hiyo 5% iliyobaki ni ya Msaliti mwingine mdogo Msemaji Ibwe ( ambaye ni mwana Yanga SC kindakindaki ) hadi...
Back
Top Bottom