ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. U

    JamiiForums Tanzania CCM wana takwimu sahihi ya Wanachama kuanzia ngazi ya Shina hadi juu kabisa, Wanaingia kwenye Uchaguzi bila hofu, Wapinzani jifunzeni

    Ni ukweli wa kisayansi mfano wa kuigwa wanaenda kwenye vita Uchaguzi wakiwa na takwimu kamili, Wapinzani msione aibu njooni Lumumba mpewe Shule CCM ni Baba lao
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Benson Kigaila: Vijana wana uwezo wa kuipelekea CCM likizo ya bila malipo

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila, ametoa wito kwa watanzania, hususan vijana, kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwa kupiga kura ili kuleta mabadiliko ya kweli nchini. Akizungumza Agosti 10, 2025 katika kongamano...
  3. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Ccm inadumu kutawala kwa kukandamiza upinzani

    Ni miaka yote ila imejidhihirisha sana awamu hii kwamba tegemeo kubwa la ccm kuendelea kutawala ni kukandamiza upinzani. Suruhu ya hilo ni moja , nguvu ya Umma. Umma utakapokua tayari CCM ndipo wataondoka kwa nguvu.
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ninaishauri CCM irudie upya kura za maoni nchi nzima

    Kuna malalmiko mengi nchi nzima kuhusiana na kura za maoni zilizopigwa hivi karibuni. Wengi wamelalamika kuwa rushwa ilitawala sana na hasa wale walioshika namba moja hawakushika namba moja kwa haki. Ninaishauri CCM irudie zoezi hili kwa mara ya pili ili haki ipatikane. CCM inapiga vita...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Viongozi wa CCM Geita walalamikia kukithiri kwa rushwa kura za maoni

    Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Geita Mjini mkoani Geita wameeleza kusikitishwa kwao na namna mchakato wa kura za maoni za kupata wagombea ubunge na madiwani ulivyokwenda huku wakidai kugubikwa na rushwa kwa baadhi wagombea na wajumbe. Wakizungumza na JAMBO...
  6. M

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao na CHADEMA masalia kuna muunganiko. Nadharia za HP. Tujadili

    Nimemsikiliza Polepole kwa umakini mkubwa inaonekana ameibua dhana ya CCM mtandao na Chadema Masalia yaani G 55 waliokimbilia Chaumma je kuna uhusiano wa dhana au narration hizi mbili polepole tuambie tujadili nini kilichopo.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Sikutegemea Viongozi wa CCM kuweka Maslahi ya Tanganyika pembeni

    Hivi haya yanayofanyika yangewezekana kufanyika Zanzibar,atoke Mwanamke Tanganyika akagombee Urais Zanzibar na Wazanzibar wakamkubali,thubutu walahi isingetokea hata kidogo kwanza kwa msimamo wao wa kidini insingewezekana
  8. K

    JamiiForums Tanzania Upinzani Tanzania: Tishio kwa CCM uchaguzi 2025

    Sote tunakumbuka kuwa tangu nchi yetu ipate uhuru kumekuwa na ukuaji mkubwa wa siasa za upinzani. Hali hiyo ya ukuaji imeanza tangu uchaguzi wa mwaka 1958,tukazuia vyama vingi lkn bado ndani ya TaNU kukawa na tishio la upinzani mkubwa uliotishia falsafa za Hayati Nyerere. Wakaibuka akina...
  9. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Yaani Bilion 700 kwa uchaguzi wa CCM! Tunapigwa kweli

    Uchaguzi bila reform ni sawa na u chaguzi wa chama kimoja sasa Bilioni 700 ni za nini hasa
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Raisi Samia na Dr Nchimbi ni wagombea wa CCM ambao hawajawahi chukua fomu za kugombea urais za chama

    Tanzania ni nchi ya ajabu sana, ni watanzania TU tunapuuzia kila kitu paspo na sababu. Samia ni lini alichukua fomu kuomba ridhaa ya chama kimteue kugombea uraisi wa Tanzania? Kwenye mafaili ya maraisi wagombea kwa CCM Mwaka huu mtaweka nyaraka Gani? Je ni sehemu gan ya katiba yenu inasema...
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri kuwa CCM haiwezi kuzijibu hoja za Humphrey Polepole

    Hoja za Humphrey Polepole zimekaa kiweledi na ni hoja halisi zinazotokana na Katiba ya chama chao na Miongozo mbali mbali ya chama hicho. Polepole ni "muasi" msomi na mtu aliyewahi kuwa kiongozi mwandamizi wa CCM na mwenye maunganiko "Connections" na watu mbali mbali na watu wenye weledi, stadi...
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Narudia, Zitto kama CCM wamekwambia usimjibu Polepole aise umechafuka mno mno mno Sasa nani swaiba wako?Kikwete au Rostam?

    NARUDIA ukimnya wa Zitto na wenzake dhidi ya kauli za Zitto zitafanya tumwamini pole pole dhidi ya Act kuwa TAWI la CCM aise ni aibu kubwa sana. Kumbe ndio maana wagombea wa Act ni masalia ya CCM? Tena wale utengenezewa ngiriba dhen sisi ulagaiwa yakuwa wamekataliwa kumbe uwa ni mpango wa CCM...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Chadema achana na maigizo ya ccm, Lissu ukitoka jela nenda kahubiri injili ya ukombozi CCM washatepeta

    Hata msipoahiriki uchaguzi 2030 mtakuja mkiwa Moto ,,,nendeni mkahubiri injili ,,Lissu sina mashaka na uadilifu wake anaweza kuongoza chombo kwa uadilifu bila kutamani shekeli za watawala na hatimae kujenga uungwaji mkono utakaoleta kimbunga achana na akina Zitto nk. Wao Wana mission zao...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kondoa kiwewaka, wananchi wapinga mchakato wa kura za maoni CCM

    Wanachama wa CCM waomba Reforms zifanyike laa sivyo wanarudisha kadi
  15. H

    JamiiForums Tanzania Polepole ni CCM na CCM ni Polepole hakuna jipya

    Ukiwa na akili na uelewa wala huulizi nini anafanya polepole kwani iko wazi anachofanya ni kuwahamisha wananchi kutoka kwenye umakini na kuwachanganya wasahau yanayowasibu. Polepole hana jipya labda kama lakini kwa mdomo mtu kama Lissu,Silaa,Rungwe,nk t
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Msafara wa mabasi ya CCM takribani 20 yatinga Chamwino kumsindikiza Rais Samia, sio kodi zetu kweli hizi?

    Nimeuona msafara ambao wa mabasi takribani 20 yakimsindikiza Rais Samia akienda kuchukua fomu ya urais Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Aloooo, kweli kodi za wananchi zimewafaidisha sana hawa CCM! Naandika haya nikibubujikwa na machozi ya huzuni:catJAMCRY::catJAMCRY:
  17. funaku

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hata Chadema ilianza kama CHAUMMA na ilipandishwa na makapi ya CCM

    Wapo wanaojaribu kuvibeza vyama vidogo vya upinzani mfano CHAUMMA wakisahau kuwa walianza kinyonge na walipata umaarufu wao kupitia makada waliohama CCM. 29 OKTOBA Saa kuminambili asubuhi nitakuwa kwenye mstari tayari kabisa kuipiga kura yangu.
  18. F

    JamiiForums Tanzania Watanzania tusipoikataa CCM kwa nguvu zote tutaendelea kuchezewa na kutwezwa

    Watanzania tumefika mahali pa kuonekana hatuna akili nzuri na majirani zetu. Juzi nimekutana na mtu kutoka taifa jirani anashangaa sana kwa jinsi siasa za Tanzania zinavyoendeshwa kibabe huku Watanzania wakiwa hawana la kufanya mbele ya kikundi kidogo cha wanasiasa. Kwa kweli tuliongea mengi...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 John Mongella: Uteuzi wa mgombea Urais CCM haukukiuka katiba

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella amesema mchakato wa kumteua mgombea wa urais wa Tanzania ulizingatia Katiba ya chama hicho.
  20. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kufanya kampeni ni lazima,kwa nini CCM wasisubiri tu mpaka siku ya uchaguzi watu wakawapigie kura

    Niseme kwanza sitoshiriki kupiga kura,lakini naona ni jinsi gani viongozi wanamatumizi mabaya ya pesa,hii gharama ya kuzunguka inchi nzima kwa msafara wa viongozi na wapambe CCM wanashindwa kukaa nyumbani kuokoa gharama halafu wajitokeze tu siku ya kupigiwa na kupiga kura,maana kwa hayo...
Back
Top Bottom