CCM ni chama imara na siku zote huwa kinapima viongozi kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kesho, sio kwa ajili ya kelele za leo.
Kila mkutano wa Halmashauri kuu unapokaribia huwa kuna sauti nyingi zinaibuka. Kadiri mikutano mikubwa ya chama inavyokaribia, ndivyo uvumi huzidi na kuongezeka na...