ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. JamiiForums Tanzania Kama Chadema hawataki Maridhiano CCM sii iliriadhane na Vyama 18 vilivyopo. Kuna haja gani ya kumsubiria "Mwenzao" waliyemfunga

    Nimemsikia samia akisema wanamsubiria mwenzao anatafakari mambo kadhaa. Na hawa wengine nmewaona wana furaha wakitabasamu kuwa pale. Sasa hawa si wapo tayari? Kuna Chauma, ACT, CUF,TLP,NLD,NCCR n.k kwa nini CCM na samia wasiamue tu kuridhiana na hawa mpaka wamsubirie Lissu? Je hawa wengine...
  2. K

    JamiiForums Tanzania CCM chaweza kuwa chama bora endapo kitashindana na kushinda kwenye box la kura

    Sio kwamba CCM kimepoteza imani kwa wananchi kwa kiasi hiki la khasha CCM kimebweteka baada ya kujitoa kwenye chama cha siasa na kuwa chama cha kidola Tunaihitaji CCM inayopenda kushindana na ili ishinde au ishindwe Hatuitaku CCM iliyojigeuza kuwa dola na kuviamrisha vyombo...
  3. K

    JamiiForums Tanzania CCM ikifanya haya itarudisha uhai wake lAKINI Kwa hali ilivyo itaweza

    Wadau habari zenu, Mimi sio mwanasiasa LAKINI naipenda nchi yangu na viongozi wake , nawapenda pia viongozi au wanasiasa wa upinzani ambao wana misimamo sio njaanjaa na ni wazalendo wanaowajibika kwa wananchi. Sio uzalendo wa kinafiki wa kuwasifia viongozi wakuu hata kama hawafanyi vizuri eti...
  4. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA haijaikosea CCM na dola popote. Ni upotoshaji kutumia neno "MARIDHIANO" bali Tunachotaka sio Maridhiano bali ni Nchi kurejesha mfumo wa haki

    Watu hutafuta Maridhiano baada ya kugombana au kuhujumiana ata kupigana. Kama ilivyokuwa kenya. Ulikuwa ugonvi kati ya Odinga na Kenyata. Watu wakakaa wakataka waridhiane. Lengo ni kuondoa tofauti zao. Tanzania ni tofauti kabisa, Tena mbali mno. Je kuna ugonvi binafsi kati ya Lissu na Samia. Au...
  5. L

    JamiiForums Tanzania CCM imefika mwisho, ndani ya miaka minne itaondoka,ikiondoka hairudi Tena

    Kwa Nini CCM imefika mwisho. Haitavuka 2030. Ongezeko kubwa la wanawake kua wapigania haki wakubwa hapa Tanzania. Ni kawaida wanaume kwa miaka mingi ulimwenguni ndio wamekua wapigania haki kwa jasho na damu. Zama zimebadilika,wanawake wamejiunga kwa wingi katika harakati za kudai haki,kwa...
  6. JamiiForums Tanzania Samia, Puuzia yote uwezavyo ila hakikisha unalinda UHAI WA Heche na LISSU kwa Gharama zote dhidi ya Makundi ya CCM

    Ninakuambia hapa na kukushauri, suala sio Urais , Wewe ni Binadamu!!. Huko CCM Kwako ni kwa moto, Kila Mtu anapambana kuzidi kukufanya uonekane ni Mbaya, Katili ,na dikteta usiye na Mfano ( japo nawewe unajipambania kuyafanya hayo). Sasa, Hakikisha Unalinda Uhai wa Heche, Lissu kama Uhai wa...
  7. JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    Hapa ni kuona ni kiongozi gani wa CHADEMA anaushawishi humu JF. Unaweza kutoa na maoni yako kwa nini unafikiri kiongozi uliyemchagua anaweza kushika nafasi hiyo. Upande wa CCM 1. Emanuel Nchimbi 2. Kassim Majaliwa Ndio wananguvu humu JF. Ingawaje nusu ya wapiga kura hawaitaki CCM. Karibuni
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ni kweli CCM ndio inayotawala, ila wanaotawaliwa hawapo isipokuwa kundi la wauwaji pekee na 2030 tutadili nao

    Huu ndiyo ukweli uliopo Chawa mpoo!! 2030 au kabla ya hapo, wauwaji wote hamtajitetea, Kila aliyeshiriki kufanya mauwaji au kuhusika kwa namna yoyote Ile, hatakaa salama! TANZANIA yenye matumaini na Amani, ipo yaja
  9. JamiiForums Tanzania Kila nikikumbuka Matukio ya Oktoba 29, Vijana walivyouliwa , Watanzania KAMWE Msikubali MARIDHIANO, CCM lazima tuindoe, Na Wahusika Wawajibishwe !!

    Tukomae, Tupambane, ni mwendawazimu pekeee ambaye anaweza ku normalize Mauaji ya Oktoba 29, na kukaa na Samia, na kupiga Picha eti 'Tumeyamaliza'. Vijana waliuliwa kwa Risasi za Kivita , Snipers walipasua watu Vichwa vyao, bongo za Vijana zilimwagwa . Watanzania Msikubali kabisa Huo Upuuzi...
  10. JamiiForums Tanzania Pamoja na Uwepo wa Ilani ya CCM bado nakataa suala la katiba mpya!

    Tafakuri yangu ni moja na ya msingi sana. Kama Taifa hatuna ushahidi usio na mawaa eti matatizo au changamoto tulizonazo zinatokana na katiba kuwa ya zamani.Hakuna ushahidi wa kisayansi ulioweza kunishawishi eti katiba yetu ni mbovu. Nilichoshuhudia na nilichosikia na nilichokifuatilia katika...
  11. JamiiForums Tanzania Malema: CCM, na vyama vya ukombozi vinakufa kifo cha asili

    Mwenyekiti wa chama cha EFF, Julius Malema, alisema kuwa vyama vingi vya kihistoria vya ukombozi barani Afrika vimekamilisha dhamira yao ya awali ya kupata uhuru wa kisiasa, na vinapaswa kukubali kwamba kila vuguvugu la kisiasa lina ukomo wake wa kiasili. Alivitaja vyama kama vile CCM cha...
  12. JamiiForums Tanzania Aggrey Mwanri ateuliwa Kuwa Naibu katibu Mkuu wa CCM, RC Chacha kuwa Katibu wa Oganaizesheni CCM

    Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC), imemteua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora na mbunge wa zamani wa Siha, Mkoa wa Kilimanjaro, Aggrey Mwanri kuwa Naibu Katibu Mkuu- Bara akichukua nafasi ya John Mongella. Aidha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), imemteua Mkuu wa...
  13. JamiiForums Tanzania Alichofafanua Dk Nchimbi ni kuwa katiba ya sasa haifai sababu haikutungwa na wananchi. Ilitungwa na wanaCCM ishirini ni mali ya CCM.

    Hii ndio tafsiri sahihi ya ujumbe wa Dk Nchimbi. Kwamba watanzania wapambane ili kupata katiba ambayo ni mali ya wananchi. Mwaka 1977 baada ya Asp na Tanu kuungana Mwl Nyerere kwa udikteta wake aliunda kamati ya watu 20 ikiongozwa na Thabiti Kombo. Wakatunga hii katiba ya sasa ya mwaka 1977...
  14. JamiiForums Tanzania Samia Aongoza Kamati Kuu ya CCM Zanzibar

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika mapema leo mjini Zanzibar.
  15. JamiiForums Tanzania Dkt. Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, Zanzibar, Julai 2, 2026

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Zanzibar Jumatano tarehe 29 Julai, 2026.
  16. JamiiForums Tanzania Wizara ya fedha,mambo ya ndani na CCM project msikitini.Hii project mnapeleka taifa kubaya.

    Hapa ikulu wanashindwa kuelewa nani ni mvujishaji wa taarifa. Ukiona raisi kakimbilia kwao znz kuna maagizo sasa wanao muunga mkono kila mambo ya serikali yapitie msikitini. Sio kwa ubaya ni kwamba amefanya haya kuona kashindwa.
  17. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje

    Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje. Maoni yakisha kusanywa wataalamu pekee ndiyo waandike sio makada wala Bunge fake la katiba. Bunge la katiba nalo ambalo sio ya kivyama ipigie kura bila mabadilisho . Tukifanya kama wakati wa Kikwete...
  18. JamiiForums Tanzania Ukiangalia kundi kubwa la CCM hivi vyote wamekosa Akili na elimu

    Embu fikiria hivi vitu viwili akili na elimu wamekosa. Wameishia kuwa watu wa ajaabau tokea kuumbwa mwanadamu yani hata wale wanaofanya kama CCM mfano china nchi yao imefika mbali. Sasa hawa uwezi kutofautisha makalio na njia ya kinyeo utanuzi wa vipenyo kuanzia mpaka wa ikweta mpaka kuingia...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Je wale CCM walio zuia katiba mpya wakati wa Kikwete ni wazalendo nao?

    Je wale CCM walio zuia katiba mpya wakati wa kikwete ni wazalendo nao?
  20. K

    JamiiForums Tanzania CCM mkipigana kuzuia upinzani ipo siku IGP atakuwa na nguvu kuliko mwenyekiti wenu!

    Mnaweza kufanya jitihada za kuzuia upinzani kwa kila njia ili tu wasipate wawakilishi ingiwa wanakubaliwa lakini mjiulize je mpo tayari chama chenu kikategemea kupata maagizo kutoka kwa IGP. Maana itafika sehemu mtakuwa mnategemea Polisi kwa kila kitu na IGP atagundua ana nguvu kuliko hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…