ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. J

    Wagombea ubunge wa CHADEMA wale kiapo cha kutohama chama ndani ya miaka 5 vinginevyo ni bora wachaguliwe CCM

    Natoa angalizo na nina imani Mbowe na Mnyika mnanisikia popote mlipo. Ni kwamba kulikoni kutuletea sintofahamu katikati ya muhula ni bora hawa wagombea wenu wa Ubunge mkawalisha yamini au kiapo ili wasituache kwenye mataa katikati ya muhula na kukimbilia CCM. Tumechoka na habari ya kumchagua...
  2. F

    Yatakayoendelea kutoka sasa hadi Oktoba mwaka huu si mazuri kwa CCM

    Kwa haya yanayojiri katika kipindi cha miezi mitatu hivi hadi Watanzania waingie kwenye vyumba vya kupiga kura sio mambo mazuri kwa CCM na uongzi uliopo. Vitendo vingi sana vya unyanyasaji wa wana siasa vinaendelea wakati huu. Mnaojua ukweli ni kwamba vitendo hivi vitazidi kuongezeka hasa...
  3. Sky Eclat

    Miradi ya maendeleo China -Uganda inagusa wananchi moja kwa moja

    Wakati serikali ya CCM inatuamisha kuwa China ni rafiki zetu na kuwa tuna historia ya miaka mingi na nchi hiyo. Miradi ya maendeleo ya serikali ya watu wa China nchini Uganda inagusa maisha ya watu moja kwa moja. Mfano wa miradi hiyo ni Naguru Hospital yenye uwezo wa kuhudumia wagonjwa wa nje...
  4. J

    GE2020 Mkutano Mkuu wa CCM kukutana Julai 11 na 12 kumpitisha Mgombea Urais Dkt. Magufuli na kupitisha Ilani

    Katibu wa siasa na sekretarieti wa CCM kanali Lubinga amesema mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya CCM utakutana July 11 na 12 kupitisha jina la mgombea Urais wa JMT Dkt. Magufuli na mgombea Urais wa Zanzibar. Kadhalika mkutano huo utajadili na kupitisha Ilani ya uchaguzi ya CCM. Pia kanali...
  5. Cannabis

    GE2020 Joachim Marunda Kimaryo (maarufu kama Master J) atangaza nia ya kugombea ubunge Rombo

    Muandaji muziki maarufu Joachim Marunda Kimaryo (Master J) ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo akiwa kwenye mahojiano katika redio ya Clouds FM kwenye kipindi cha XXL. Master J amenukuliwa akisema "Mimi nipo CCM tangu zamani, natangaza nia, uchaguzi wa mwaka huu, Chama kikinipa...
  6. Influenza

    Namba 29: Shaame Simai Mcha achukua fomu kuwania kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM

    Shaame Simai Mcha ambaye ni Mwandishi wa Habari, ameingia katika mbio za Urais wa Zanzibar kwa kuchukua fomu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.
  7. The Sheriff

    Manyara: Mwenyekiti na Katibu wa CCM Mbaroni kwa Rushwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Manyara inawashikilia mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi tawi la Maisaka Katoi tawi la Babati Bakari Katibu na Katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe kwa makossa ya kuomba na rushwa ya Shilingi laki mbili(200,000). Kinyume na Kifungu cha 15 cha Sheria ya...
  8. Influenza

    Namba 28: Idd Hamad Idd achukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM

    Kada wa CCM, Idd hamad Idd amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa Zanzibar kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 - Idd Hamad anakuwa mwanachama wa 28 wa chama hicho kuchukua fomu hiyo ambapo tayari Wanawake 3 na Wanaume 24 wameshachukua
  9. J

    CCM kuna demokrasia pana wagombea 29 wachukua fomu kugombea Urais wa Zanzibar hadi sasa, CHADEMA ni 3

    Hadi sasa jumla ya wagombea 29 wamechukua fomu xa kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa urais Zanzibar kupitia CCM. Kwa upande wa wapinzani CHADEMA ina wagombea 3 na NCCR Mageuzi 1 CCM ni baba wa demokrasia Maendeleo hayana vyama!
  10. I

    Lazaro Nyalandu: CCM ya sasa haiheshimu Katiba

    Mheshimiwa Lazaro Nyalandu yupo mubashara Wasafi FM. Anasema CCM aliyoiacha si ile ya Mwalimu Nyerere. CCM ya sasa haiheshimu Katiba ya Jamhuri wala katiba ya chama chao. Anasema akiwa Rais wa Jamhuri, pamoja na mambo mengine mazuri, atahakikisha nchi inapata Katiba mpya. Anasema atahakikisha...
  11. Mystery

    GE2020 Je, utabiri wa Mwalimu Nyerere kuwa upinzani wa dhati nchini utatoka ndani ya CCM kuanza kutokea katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?

    Katika moja ya hotuba zake muhimu kwa nchi hii wakati wa uhai wake Mwalimu Nyerere aliwahi kutoa utabiri kuwa upinzani wa dhati nchini utatoka ndani ya CCM. Kutokana na kujitokeza kwa mwanasiasa, Bernard Membe kudai kuwa amepania kuchukua fomu ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka...
  12. Mshumaa_Tz

    Je, ni kweli CCM wanaiba kura?

    Watanzania naomba tuzungumze ukweli kuhusu suala la wizi wa kura , Je, nikweli CCM wanaiba kura? Tujikite kwenye hoja maana kati ya sifa mbaya zinazitumika kuichafua ccm mojawapo niwizi wa kura je ? Cccm wanaiba kweli kura?
  13. J

    GE2020 Polepole: Kura ya maoni inaonesha Rais Magufuli anakubalika na wananchi kwa 90% na CCM inakubalika kwa 70%

    Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya 70% wanaikubali CCM. Komredi Polepole amesema hayo jijini Mbeya alikoendesha harambee ya kuichangia...
  14. Mshumaa_Tz

    CCM kuitoa madarakani kwa kura ni ndoto za mchana

    Watu , mnaosema kuitoa madarakani kwa kura ni ndoto za mchana. Kwanza Upinzani msipopata vitu viwili ccm itabaki madarakani sana (|) Independent committee (||) New constitution Mkiweza kupata hayo mambo basis Ikulu mnaingia bila nguvu. Binafsi siko tiyari kufanya demonstration kuitoa CCM...
  15. J

    Chadema ina mashabiki wengi lakini haina wapiga kura hata 2015 walibebwa na kura za CCM kupitia Lowassa na kupata wabunge wengi!

    Kiukweli kuna wakati huwa nasikitika na kushangaa ninapoona makomredi wanaihofia Chadema na ACT wazalendo. Katika uhalisia Chadema na ACT wazalendo havina wapiga kura wa kutosha bali vimesheheni mashabiki na wengine ni mashabiki maandazi tu wa mitandaoni. 2015 mzee Lowassa ndiye aliyezibeba...
  16. Don YF

    Tanzania Opposition leader Zitto Kabwe arrested ahead of October election

    Tanzania Opposition leader Zitto Kabwe arrested ahead of October election Police in Tanzania have arrested Opposition leader Zitto Kabwe during a political meeting that was held in the south-eastern region of Linde ahead of October 2020 elections. Kabwe was arrested along with seven other...
  17. mheshimiwamtemi

    Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo ------ Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi...
  18. Influenza

    Namba 25: Mwamamke wa pili, Hasna Attai Masoud achukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM. Arudisha fomu

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hasna Attai Masoud amekuwa mwanamke wa pili kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar. Hasna anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 25 visiwani humo CURRICULUM VITAE. Personal Particulars Surname...
  19. YEHODAYA

    Makamu wa Rais azungumza na Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Temeke

    Makamu Wa Raisi Azungumza Na Wajumbe Wa Kamati Ya Siasa Na Sekretarieti Ya CCM Wilaya Ya Temeke Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanachama wa...
  20. Mzukulu

    GE2020 Kama Kampeni tumeshazianza kwanini tunawataka TAKUKURU na CCM wawakamate na wawakate Wanaojipitisha wakati hata Sisi wa juu tunaendelea na Kampeni?

    WAZIRI MKUU- HUDUMA YA UMEME KUVIFIKIA VIJIJI VYOTE NCHINI: Waziri mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli imedhamiria kufikisha huduma ya umeme katika vijiji vyote nchini vikiwemo na vijiji 25 vya Wilaya ya Ruangwa ambavyo bado havijafikiwa na umeme...
Back
Top Bottom