uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,703
- 38,005
Ni saa 10 na nusu alfajiri na nimewaza sana usiku Huu, Kwa hiyo ninatamani kuwauliza wanachama wa CCM maswali machache!
Kuna wamachama wengi sana wa CCM wenye akili, busara, Ufahamu na uwezo lakini ninaona kama wameacha uwezo wao wa kufikiri mahali!
Maswali:
- Mmekuwa na dola (serikali kwa miaka 5 ); kwa nini mnakosa cha kuonyesha jamani mlichofanya mpaka mlete fujo na kweli dhuluma za Wazi kwa vyama vingine?
- Mmekuwa na fedha za kodi zetu, Kwa nini mnazichezea kwa kiwango hiki na kweli Hakuna namna mnatusaidi, Hivi kweli wana CCM mnaamini ndege za Rais zina mchango wowote ki uchumi?
- Kwa nini mlizulumu korosho za watu na hamtaki kuwalipa? Hapa kweli nawaza mpaka basi, watu walime, wavune, muwakataze wasiuze, muwapore, then msiwalipe?
- Hivi chadema wamewakosea nini? Lissu kawafanya nini kibaya jamani? Mpaka mnawatesa namna hii, na mnajipanga kuleta fujo na kuvuruga uchaguzi? Kwa nini tusigombane kwa Hoja?
- Kwa nini Mmeua sector binafsi jamani? Je serikali inataka kufanya biashara? Hamuoni kwamba uchumi ni Imara mkifanya kazi bega kwa bega na sekta binafsi? Kwa pamoja?
- Kwa nini mliua biashara za bureau De change? Kwa nini hapa Kuwa na uwazi kabisa katika ile operations ndugu zangu wana CCM!
Sisi ni Watanzania, nyie na sisi wote na tunaisoma namba pamoja, maisha magumu sana kwetu wote, Hebu kwa moyo wa ukweli niambieni haya:
- Hivi mnajua Mungu yupo kweli? Na anawalipa watu kadri ya matendo yao?
- Hivi mnajua mkisimama na ukweli mtakuwa na aman na kuishi vyema?
- Hivi mnajua future na ustawi wa hii nchi Upo mikononi kwenu?
Kuna wamachama wengi sana wa CCM wenye akili, busara, Ufahamu na uwezo lakini ninaona kama wameacha uwezo wao wa kufikiri mahali!
Maswali:
- Mmekuwa na dola (serikali kwa miaka 5 ); kwa nini mnakosa cha kuonyesha jamani mlichofanya mpaka mlete fujo na kweli dhuluma za Wazi kwa vyama vingine?
- Mmekuwa na fedha za kodi zetu, Kwa nini mnazichezea kwa kiwango hiki na kweli Hakuna namna mnatusaidi, Hivi kweli wana CCM mnaamini ndege za Rais zina mchango wowote ki uchumi?
- Kwa nini mlizulumu korosho za watu na hamtaki kuwalipa? Hapa kweli nawaza mpaka basi, watu walime, wavune, muwakataze wasiuze, muwapore, then msiwalipe?
- Hivi chadema wamewakosea nini? Lissu kawafanya nini kibaya jamani? Mpaka mnawatesa namna hii, na mnajipanga kuleta fujo na kuvuruga uchaguzi? Kwa nini tusigombane kwa Hoja?
- Kwa nini Mmeua sector binafsi jamani? Je serikali inataka kufanya biashara? Hamuoni kwamba uchumi ni Imara mkifanya kazi bega kwa bega na sekta binafsi? Kwa pamoja?
- Kwa nini mliua biashara za bureau De change? Kwa nini hapa Kuwa na uwazi kabisa katika ile operations ndugu zangu wana CCM!
Sisi ni Watanzania, nyie na sisi wote na tunaisoma namba pamoja, maisha magumu sana kwetu wote, Hebu kwa moyo wa ukweli niambieni haya:
- Hivi mnajua Mungu yupo kweli? Na anawalipa watu kadri ya matendo yao?
- Hivi mnajua mkisimama na ukweli mtakuwa na aman na kuishi vyema?
- Hivi mnajua future na ustawi wa hii nchi Upo mikononi kwenu?


