Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Hii inamaanisha nini?
Wanaofanya hivi wanajua Askari wa Usalama barabarani lazima "atamezea" kosa lolote watakalolifanya barabarani kwasababu ni gari la chama
Je, wahalifu hawawezi kutumia mwanya huu wakajinufaisha?
Kwanini CCM waache chama chao kitumike namna hii?
FYI: Ukiachana na gari hili, siku kadhaa nyuma nimeona magari yakikimbia maeneo ya Kawe yakiwa yamefunika namba za gari kwa bendera ya CCM