Kama kuna mtu anaepitia magumu ya maisha kwenye awamu hii ataipa kura CCM basi ni sikio la kufa. Hakuna mpinzani akili itamkaa vizuri hali ya maisha ndio itaongoza mgombea kupewa kura au la, kama kuna mtu anakula flyover na ndege ataipigia kijani.Baada ya matokeo upinzani lazima akili itawakaa vzr
Uzuri utawala huu joto ya jiwe limempata kila mtu. Kama si kwa mikopo ya elimu ya juu basi ni tozo la TRA, Kama si kikokotoo basi ni ongezeko la mishahara au korosho na mazao mengine.Kama kuna mtu anaepitia magumu ya maisha kwenye awamu hii ataipa kura CCM basi ni sikio la kufa. Hakuna mpinzani akili itamkaa vizuri hali ya maisha ndio itaongoza mgombea kupewa kura au la, kama kuna mtu anakula flyover na ndege ataipigia kijani.
Kila mtu kaguswa hata kwenye familia ukibahatika kuwa na kibarua wenzio hawana utakuta kile kidogo mnachangia tena, Kama kuna familia haijaguswa sijui, lakini hizi familia zetu za chini tunapumulia mashine.Uzuri utawala huu joto ya jiwe limempata kila mtu. Kama si kwa mikopo ya elimu ya juu basi ni tozo la TRA, Kama si kikokotoo basi ni ongezellig la mishahara au korosho na mazao mengine.
Ishu siyo matokea, ishu wamemuonyesha kuwa hawampendi. Inafahamka ataiba kura kama alivyokwisha aanza, lkn msg sent na hujui kesho inaweza kuwaje!Baada ya matokeo upinzani lazima akili itawakaa vzr
🤣 🤣 🤣 🤣 balaa na nusuView attachment 1565937
Hawa ndiyo wamehubiriwa ujenzi wa flyover, barabara, reli ya standard gauge na bwawa la Stiglers George.
Kwa kwa kwa kwaaaaaa...... 🤣🤣Watoto wa darasa la pili kuelewa umuhimu wa standard gauge rail ndiyo sayansi yenyewe
Kama mtu atampa kura Lissu ni kichaaKama kuna mtu anaepitia magumu ya maisha kwenye awamu hii ataipa kura CCM basi ni sikio la kufa. Hakuna mpinzani akili itamkaa vizuri hali ya maisha ndio itaongoza mgombea kupewa kura au la, kama kuna mtu anakula flyover na ndege ataipigia kijani.
Na hawa wanjaa sana sky hebu wasaidaieView attachment 1565937
Hawa ndiyo wamehubiriwa ujenzi wa flyover, barabara, reli ya standard gauge na bwawa la Stiglers George.
Hawakupita kwa Rungwe?Wazazi wao walipewa 5,000 kabla ya mkutano, hapo wana uhakika mama ameshapika ubwabwa nyumbani.
Ikiwa ni kweli CCM kuitoa ni miaka 20 mbele kumbe inawekeza.View attachment 1565937
Hawa ndiyo wamehubiriwa ujenzi wa flyover, barabara, reli ya standard gauge na bwawa la Stiglers George.