Asalam,
Mchakato wa Uchaguzi unaenda vema sana. Taarifa nyingi njema zinaendelea vema.
Naomba nijikite kwa habari hii iliyokuwepo kitambo lkn imekua kwa kasi katika kipindi hiki Cha uchukuaji form. Kichwa Cha habari kinajieleza vema.
Ikumbukwe Mkoa wa Iringa hasa Jimbo la Iringa Mjini...