Nina pinga kwa nguvu uhalali wa serikali , bunge , na uongozi wote kwa sababu ya wazi ya kukosekana kwa upigwaji kura halali. Serikali hii haijachaguliwa kwa njia za kidemokrasia, na hivyo kinyume na misingi ya uhuru na haki za kiraia za Watanzania.
Tunatambua haki yetu kama wananchi...