ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Bongo Movie wana vitu vingi vya kujifunza kupitia Trailer ya Mbosso ya MAD MAX kuliko kukaa kusifia viongozi na CCM

    Steve Nyerere na genge lake la machawa wanabidi watumie muda mwingi kutafuta Maarifa na mbinu nyingi za kutengeneza filamu nzuri kama za enzi za kanumba kuliko kujikita na uchawa tu wa kusifia CCM na viongozi serikalini. Mbosso ambae ni msanii wa mziki kuachia trailer ya MAD MAX iliyofanywa kwa...
  2. 888I

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo tumekubaliana vipi kuhusu hoja ya Polepole ya NIDA, Kadi ya Kura na Kadi ya CCM kuunganishwa?

    Nimewahi kumsikia Ndg. Humphrey Polepole (aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania Cuba) akisema pale chamani walikwisha kuanza michakato ya kuunganisha kadi mbili muhimu — Kadi ya NIDA na Kadi ya mpiga kura — na hatimaye kuunganishwa na kadi ya Chama Cha Mapinduzi. Kwa tafsiri rahisi, kama kweli...
  3. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Miss Tanzania wa mwaka 2022 na Wadudu wakizisaka kura za CCM Arusha

    Harakati za kusaka kura za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 Miss Tanzania 2022 Halima Kope na wadudu wanakiwasha
  4. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mimi hadi sasa sielewi CCM wanashindana na Chama gani?

    Ukweli ni kwamba CCM wanatumia nguvu kubwa sana ya kufanya kampeni na kushawishi umma kuhusu uchaguzi kama vile wako vitani. Wameshadhibiti miiba na mizumari sijui kwanini wanahangaika sana na tunajua kwamba hivyo vyama vingine ni kama matawi yake tu. Hadi sasa CHADEMA hawashiriki kwenye...
  5. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya Simba jana Kuvimba, CCM kuandaa Mamluki Tamasha la Yanga

    GT Jana lilikuwa ni bonge la suprise CCM hawakutegemea kabisa walidhani simba wamesombwa ķwa malori kufika taifa. Sasa ili kufuta makosa kesho camera man ataonyeshwa angle ya kuweka camera yake kwa kikundi ambacho kitakuwa kimeandaliwa kupiga vigelegele. Mpaka sasa CCM wamenunua tickets 5000...
  6. Think2

    JamiiForums Tanzania Wanasimba waikataa live CCM jana

    Wanasimba jana wamefanya tukio ngumu sana ni mara baada ya msigwa kumtwangia simu mgombea urais wa CCM Samia watu waligoma kabisa kuitikia salamu ya mgombea huyo. Kwangu ni jambo zuri sana tuko tunaenjoy zetu mpira wewe unatuletea siasa Conclusion: Akili za watz zimeanza kuchangamka sasa...
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuwa mimi ni mnufaika wa CCM sana ila nashauri Tundu Lissu anapaswa alindwe sana

    Watu kama Tundu Lissu ni adimu sana. Hawapatikani mara nyingi. Nashauri tutumie akili zao kwa manufaa ya nchi. Chadema msiwe wabinafsi. Akili ya Lissu msitake itumia ninyi peke yenu. Inatakiwa ifaidishe Taifa. Tunaomba Nchi nzima ipambane kuhakikisha Lissu anatumika kuisaidia kwenye mambo mengi...
  8. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Watanzania mkataeni yule mstaafu wa ACT kutoka Magharibi anapokuja kuomba kura. Huyo ni mradi wa CCM

    Watanzania msikubali kurubuniwa na huyo anayetoka kanda ya magharibi mwa ziwa Tanganyika tambueni kuwa huyo siyo mpinzani bali ni mradi halali wa chama tawala( CCM). Wapinzani halisi ni chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ambao wanadai reform zifanyike ndio washiriki uchaguzi...
  9. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajue Audience wa CCM na Chadema

    GT. Naanza na fans wa CCM 1. Mafisadi/Wezi 2. Mama ntilie 3. Boda boda na machinga 4. Wakulima/wafugaji wa kujikimu 5. Wasiokuwa na kazi maalumu (wazururaji) Audience wa Chadema 1. Wasomi 2. Wafanyakazi That is Why Chadema wanaonekana wako smart kwa kila kitu kuwazidi CCM waporipori na...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baadhi ya watu watakavyotembea baada ya CCM kushinda

    Huyo Comedian wa Malawi anacontent makini sana za kisiasa. Hii ni response yake kwa Kasesela aliyetaka watu waache kutumia huduma kama hawatampigia kura mgombea wa CCM
  11. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Matrekta tuliyoahidiwa yameshuka kutoka milioni 10 hadi elfu 10. CCM mnatuchanganya

    Ikumbukwe Agosti 31, 2025 Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliahidi mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo kwa kuhakikisha serikali inanunua matrekta milioni 10 pamoja na zana nyingine za kisasa ndani ya kipindi cha miaka mitano ijayo...
  12. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ethiopia, Bwawa la Umeme kubwa zaidi kwa fedha za ndani na michango huku CCM wakichangisha Bil.86 kwa ajili ya Kampeni alafu tuunanuna Umeme Ethiopia

    Siku zote nasema. Bila kuwaondoa CCM madarakani, Tanzania tutakuwa tunacheza biashara ya pata potea kila siku. Nchini Ethiopia, Serikali yao wamekamilisha ujenzi wa Bwawa la Umeme kubwa zaidi Afrika kwa kutumia fedha za ndani na michango ya Wananchi wao hasa Diaspora. Hayo yakifanyika, hapa...
  13. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 KISHOA: Najilaumu nilichelewa wapi kujiunga CCM

    MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Iramba Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jesca Kishoa, amesema anajilaumu kuchelewa kujiunga na CCM baada ya kutumia muda mrefu akiwa Chama cha CHADEMA. Soma pia: Aliyekuwa diwani wa CCM kata ya Themi, lobora ahamia CHAUMMA Agosti 16 Chanzo: Daily News...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hivi hii miradi kama SGR pamoja na Mv Mwanza ni mali ya CCM?

    Nimeshangaa sana huyu mwanaCCM kuongea namna hii. Kwamba wasiompigia kura Rais Samia wasipande SGR au kutumia barabara zilizojengwa kwa kodi za Watanzania. Hajui kuwa kila mtanzania awe CCM au sio CCM analipa kodi? Soma >> GE2025 - Kasesela: Kama unataka kumnyima kura Rais Samia, usiende...
  15. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Babu Tale: Mimi sina Mpinzani Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Wapinzani hawaiwezi CCM

    "Katika jimbo la Morogoro Kusini Mashariki mimi ni mgombea pekee,wapinzani wamechimba,hii ni breaking news,mwenyewe nimeijua leo,wamechimba hawaiwezi CCM.Mimi shughuli yangu ni kumtafutia kura Mh. Rais Samia” Hamisi Shaban Taletale- Mgombea wa kiti cha Ubunge Jimbo la Morogoro Mashariki Kusini
  16. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la CCM: Utamaduni wa Chama Vs Utamaduni wa Watanzania

    Tatizo la CCM: Utamaduni wa Chama Vs Utamaduni wa Watanzania. Bila kujua utamaduni wa Watanzania unabadilika hasa nyakati hizi badala ya kubadilika nao CCM bado wana fikiri Watanzania ndiyo watafuata utamaduni wao. Ili kufanikisha hili ni lazima kwanza uwe na watu wa aina mmoja kama China kitu...
  17. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Devotha Minja: CCM wakiingia Madarakani wanatuletea maisha magumu zaidi, wanatuletea kausha damu

    Mgombea Mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema endapo chama hicho kitapata ridhaa ya kuunda Serikali, mikopo ya asilimia 10 kutoka mapato ya ndani ya halmashauri haitatolewa kwa upendeleo. Minja amesema hayo...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Edward Kinabo wa CHAUMMA ataka mdahalo wa wazi na Anjellah Kairuki Jimbo la Kibamba

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Edward Kinabo, Septemba 8, 2025, ameendelea na kampeni zake za mtaa kwa mtaa katika Kata ya Goba, mtaa wa Matosa, akihamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura. Kinabo amemuita mgombea Ubunge wa CCM...
  19. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Cecilia Pareso: Awaki alinishawishi nitoke CHADEMA nirudi CCM

    Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Arusha, Cecilia Pareso, ambaye pia aligombea Ubunge wa Jimbo la Karatu lakini hakufanikiwa kupata kura za kutosha katika uchaguzi wa ndani uliompa ushindi Daniel Awaki, ameonesha ukomavu wa kisiasa kwa kupanda jukwaani kwa mara ya pili kumuombea Awaki...
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio viongozi wa CCM hutuchekea kujifanya wapo pamoja na wananchi, angalia comment

Back
Top Bottom