Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Ukichambua vizuri kile kinachoitwa Ilani na sera za CCM 2025-2030. Utakuja na jibu moja tu kwamba, waandaji wamechomoa chomoa kwenye Ilani na sera zilizotumika zamani, wakaunda kakijitabu haka wanakokatumia Leo kuomba kura.
Waziri Mkuu wa zamani, marehemu Edward Lowassa aliwahi kuonya akiwa...
Miongoni mwa atakayozungumza:
1. Biashara za Rostam Aziz
2. Ziara ya Magufuli Morogoro, na mazungumzo yao kuhusu Rostam
3. Kashfa ya Uniform za Jeshi la Polisi ambayo kesi yake ilikuwa stori nyingine baada ya Magufuli kufariki
4. Wezi wanakoficha pesa
5. Kashfa ya kukomboa ndege Afrika Kusini
6...
Hawa wafanyabiashara wanaousapoti Ccm sio kwa Bahati Mbaya.
Kuna mambo mawili.
-Kuweka mazingira sawa ya biashara zao.
- kuendelea kushikililia Uchumi zaidi na kukua kibiashara.
Na mwisho Kupata tenda, kwakuwa inajulikana wazi kuwa tenda za Serikali zinalipa vizuri.
Kwahiyo hata wewe...
Kama mjamshtua hadija kopa anaweza kusema muhula alioshika kijiti alikuwa sio yeye kwa sasa kila haadi zitakuwa zake.
Maneno makande wakina lucas mwashamba mumetumia nguvu sana
Ilani iliyozinduliwa jana na mgombea wa CCM kuinadi, ni ilani dhaifu ambayo haijawahi kutokea naweza kusema hivyo
Je, hii ni kutokana na uwepo wa deni kubwa sana kama nchi au namna gani au ni umahiri na uthubutu na uduni wa kusimamia kwa mgombea wa CCM kuwa chini sana au ni nini?
Haiainishi...
Nilienda Zanzibar kufanya utafiti wa uchaguzi wa 2025. Nilikaa karibu miezi 4 kabla sijarudi Tanzania bara, lengo likiwa ni kuangalia siasa za upinzani Zanzibar. Kila uchaguzi hufanya hivyo.
Nilichogundua
Katika mwaka huu, tangu siasa Zanzibar zilipoanza, CCM itashinda kwa kishindo cha juu...
Mgombea Urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesikika kwenye hotuba ya ufunguzi wa kampeni zake akiahidi kuwepo kwa mazungumzo ya maridhiano katika siku 100 za utawala wake mpya.
Nataka sasa awaeleze waTanzania maana ya maridhiano hayo ni nini, ikiwa wakati ahadi hiyo ikitolewa hatua za maovu ya...
Kwa ile nyomi ya jana pale Tanganyika Packers, naiona dhahiri CCM ikitawala kwa zaidi ya karne moja tena.
Kwanini?
CCM ina wanachama wengi, zaidi ya milioni 13 na ndio chama chenye wafuasi wengi zaidi waliosajiliwa Barani Afrika na kimo kumi 10 ya vyama vyenye wafuasi wengi duniani.
CCM ina...
Sirari, Tarime – Mara
Tarehe 11 Agosti 2025, majira ya saa 8:27 usiku, tukio la kutisha liliripotiwa kutokea katika makazi ya aliyekuwa mgombea udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya Sirari, wilayani Tarime.
Mashuhuda wanasema kundi la watu wasiojulikana, wakiwa na silaha za moto...
Tunapoelekea kuzindua kampeni za uchaguzi unaotarajiwa kufanyika siku 61 zijazo, tume huru ya Taifa ya uchaguzi {INEC} ikiwa imeteua wagombea 17 wa kiti cha urais, chama cha Mapinduzi {CCM} kina silaha 3 muhimu katika uchaguzi mkuu huu wa 2025, ambazo ni;
1. Rekodi ya utekelezaji wa ilani ya...
Unajua ni sehemu tu tuliyobakisha ambayo uwezo wa JF ndio uwezi kufanya kufungia comment na tukawapa makavu mfano wakina chiembe Lucas Mwashambwa ChoiceVariable MamaSamia2025 October 2pm Tlaatlaah Niko pamoja na Samia @nicholasmari said: na wajinga member wengine ambao wanasupport uwovu na...
Kilichotarajiwa kuwa tukio kubwa la ufunguzi wa kampeni za CCM.. Kiligeuka karaha kwa wakazi wa Dar hasa wa maeneo yote kuelekea njia za Kawe, Bagamoyo, Bahari beach nknk.
Tukio lililopaswa kuwa na shamrashamra na amsha amsha za kila aina liligeuzwa kuwa taharuki ya kiusalama.
Nikiwa zangu...
Jana Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM ametoa ahadi nyingi za mambo ambayo Serikali yake itatekeleza katika kipindi cha siku 100 za mwanzo.
Moja kati ya mambo hayo ni kuhakikisha kuwa itaondoa utaratibu uliopo sasa wa kuzuia miili ya Marehemu ambayo haijalipiwa, kuchukuliwa na ndugu zao...
Wanajamvi
Kama kichwa cha uzi kinavyosema
Hivi kweli bila kupepesa macho wala unafiki CCM inayojinasibu kuwa ni wakubwa na wana wafuasi wengi wanakwenda kushindana na chama gani????
Ni kipi kitawafanya wajivunie ushindi?
Binafsi naona aibu
Nasoma comment.
Wazee wa kimila pamoja na Machifu mkoani Morogoro wamefanya tambiko maalum kwa ajili ya kumpokea na kumuombea mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono kampeni zake mkoani humo.
Akizungumza wakati wa tukio hilo...
Licha ya wapiga picha kujitahidi kutafuta Picha Kwa engo inayoweza kuonyesha Umati ni mkubwa
Licha ya Wasaniii wote kuwepo.
Licha ya matangazo kufanyika Kwa miezi na miezi.
Licha ya kutumia Mwamposa
Licha ya Kwamba Siku alipochukua Fomu na kurudisha Fomu bado hakua na Nyomi.
Licha ya...
Wakati ule walipomtoa katika Ile kazi ya Katibu Mwenezi.
Wakampeleka kwenye Kamati ya Maadili for no clear reason.
Baadaye CCM wakaamua kwamba they will rehabilitate him . Wakampeleka Malawi kuwa balozi halafu Cuba. Ile ilikuwa change of heart for CCM. Kwa Polepole ilikuwa restoration and...
Ni baada ya account hiyo ya serikali ku-post picha za uzinduzi wa kampeni za CCM ambapo asilimia 99 za comments ni mashambuli kwa kuhusisha ofisi hiyo na kazi cha chama cha siasa.
Watanzania wanajitambua sana na mitandao ni moja ya tool muhimu sana katika kuleta ukombozi wa pili wa Taifa hili...
Ikulu mawasiliano wanaendelea ku-update kinachoendelea kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM,
Swali la kujiuliza Ikulu ni mali ya serikali au ni mali ya CCM?
Je watapost kampeni za vyama vyote? Maana kwa sasa ikulu haina mwenyewe, kwanini iwe inapost kampeni za CCM? Watanzania hadi haya pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.