ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Wasira: Waliochoma moto Ofisi ya chama Oktoba 29, walijua wanaichoma CCM, CCM huwezi kuichoma, haichomeki

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema hayo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la ofisi za CCM Wilaya ya Bunda ambazo zilichomwa moto katika na vurugu za Oktoba 29, 2025. Aidha, alionya tabia...
  2. Mpango na mikakati ya maendeleo ifike hatua ione aibu. Wizara, wabunge! CCM oneni aibu!

    Wakuu sijawah kuongelea siasa, wala kutanabai uwezo wa viongoz wa CCM kutawala nchi na kuzitapanya kama si kuzibananga rasilimal za nchi kwa maslah yao binafsi. Ila kwa hili naomba niliseme tu! Kusini maenedleo hali sio nzuri, uchawi uchawi! Kila Ng'anya basi N'ganya, viongoz wanaotoka kule...
  3. Waliokufa October 29 ni Mifungo ila wakifa viongozi kama mawaziri ndo binadamu. Ni mda wananchi Maskini kuacha Shobo na Serikali ya awamu 6

    Wananchi maskini ni mda wa kuacha shobo na awamu ya 6 watoto wenu mliona walivyotandikwa risasi za kutosha na kufa kama kuku hiyo yote wananchi au watoto wa maskini kutimiza uwajibu wao kikatiba. Lakini watoto wenu wanasema walikua vibaka,wezi, majambazi...
  4. T

    Naomba tuwaorodheshee viongozi wetu sababu za kusherekea misiba ya makada wa CCM. Zisiporekebishwa sherehe zitazidi sana

    Ni wazi kwamba serikali ya ccm imetengeneza chuki miongoni mwa wananchi hasa kwa kuwatenga watu wasioamini katika ccm na kuwafanyia kila aina ya dhuluma ghiriba ubaguzi na hata ukatili wa waziwazi 1 Kuengua wagombea wa upinzani eti hawajui kujaza form 2. Kutesa wote walio na mawazo kinyume na...
  5. Stephen Wasira: CCM tuna matatizo ya kupata mbadala

    Wakuu, Akizungumza leo kwenye tukio la kuaga mwili wa William Lukuvi Stephen Wasira alisema kwamba tatizo kubwa linaloikumbwa CCM ni kwamba haina viongozi mbadala "CCM tuna matatizo kweli ya kumpata mbadala. Kwa sababu kupata mbadala wa mtu ambaye ameandaliwa na ameongoza kwa miaka zaidi ya...
  6. Singida: Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM na Familia yake wanahofiwa kufariki, baada ya gari yao kusombwa na maji Mto Mang’onyi

    Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami, mke wake, mtoto pamoja na dereva wao, wanahofiwa kufariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika daraja la Mto Mang’onyi, wilayani Ikungi mkoani Singida. Inna...
  7. Kwa nini kutaka kugombea urais imefanywa ni dhambi au mwiko ndani ya CCM?

    Nini hasa sababu za wana CCM kutotakiwa kutaka, kujipanga au kuonyesha nia ya kuutaka au kugombea urais 2030?
  8. Wasira: CCM Haibebwi, inafanikiwa kwa ukubwa wake na Imani ya Wananchi

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema Chama kinapata maendeleo kutokana na ukubwa wake, kusimamia, ahadi na imani kubwa ya wananchi kwa Chama. Kauli ya Wasira imekuja siku chache baada ya Kiongozi kutoka katika chama kimoja Cha Upinzani na kudai CCM...
  9. M

    Tegemea huu mwaka kuvunja rekodi ya vifo vya wabunge na mawaziri wa CCM wanaweza fika mpaka 30

    Mimi siyo mtabili ila ukweli mtauona hasa tunapoikalibia 2030, kama wewe waziri au mbunge anza kujichimbia kaburi kabisa
  10. K

    Tatizo kubwa CCM haijiamini kama Chama tena! ndiyo maana wanatumia dola

    Tatizo kubwa CCM haijiamini kama Chama tena! ndiyo maana wanatumia dola . Yaani wameshidwa kushindana kwa hoja za maendeleo na makada na viongozi wengi hawana vipaji vya kushinda kwa hoja. Kingine wamempa nguvu sana mwenyekiti kiasi kwamba sasa wanawekwa machawa na ndugu watupu na kwasababu...
  11. TANZIA Mwenyekiti Umoja Wa Wanawake CCM Mkoa Wa SIMIYU Afariki Dunia

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu kimepata pigo kufuatia kifo cha Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoani humo, Mariam Manyangu, aliyefariki dunia leo Jumamosi Machi 21, 2026. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa CCM Mkoa wa Simiyu...
  12. M

    Mabomu ya machozi yarindima kuwatawanya mashabiki Uwanja wa CCM Kirumba baada ya mchezo kuisha 1-1

    Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya mashabiki katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Mabomu hayo yamepigwa baada ya kumalizika mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Pamba Jiji dhidi ya Simba SC uliomalizika kwa sare ya bao 1-1. Baada ya mchezo kumalizika...
  13. K

    Kama Tulivyosema Hayati Magufuli kabaki kutumika tu kisiasa ni wachache ndani ya CCM walikuwa wanampenda kweli!

    Ukiacha wachache sana ndani ya CCM ambao kweli walikuwa wanampenda Magufuli kama mtu wengi ni wanafiki. Waliokuwa wanampenda kweli ni wakina Majaliwa, Ummy Mwalimu na Hata Raisi Mwinyi wengine wengine ni wanafiki na wanufaika wakubwa wa kuondoka kwake. Kuna ambao wapewa PHD na kujifanya...
  14. Naipenda CCM imejaa viongozi wazalendo kuanzia Mwenyekiti wa Chama Taifa Samia Suluhu Hassan

    CCM ni alama ya Utanzania wetu. CCM ni alama ya uzalendo CCM ni alama ya Uafrica. CCM ni maisha yetu ya Kila siku KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI. Nyinyi mawakala wa mabeberu mliotelekeza wake zenu na watoto wenu kwa mabeberu warudisheni.
  15. Tetesi: CCM wameanza kuchukua pikipiki zao

    Kuna msako wa kimya kimya ambao CCM wakishirikiana na jeshi la polisi wameanza kuzifuatilia na kuchukua pikipiki zao ambazo waligawa wakati wa kampeni almaarufu kama pikipiki za mama, Kwa taarifa za kawaida pikipiki hizo zilifungwa Tracker Gps ambapo wafuatiliaji imewawia vigumu kuzikamata kwa...
  16. M

    Chato: Jesca Magufuli hana ushawishi. Maandamano yamejaa greenguard wa CCM wenye njaa

    Watu wapo busy stand ya zamani wanapiga soga kwenye vijiwe vya kahawa na kile kijiwe maarufu cha mafundi viatu. Hawana habari na maandamano ya Jesca na CCM iliyojaa greenguard waliovaa buti zilizopauka Kwa ujumla hana ushawaishi na hawezi kuisaidia CCM
  17. Serikali ya CCM bwana

    Hivi kuzunguka kwa waziri mkuu nchi nzima kutatua kero ina maanisha idara zote zimeshindwa na yeye kajivika majukumu yote.
  18. Awamu ya sita imevunja record ya kufuturisha inaonekana ni Sehemu ya ilani ya CCM

    Hello. Aisee nimejaribu kufuatiliia namn̈a viongozi wa serikali wanavyoshindana kufuturisha. Kasi imekuwa kubwa utadhani ni sehemu.ya utekelezaji wa ilani ya chama. Siyo samia siyo mwinyi na mawaziri kila mmoja anapambana kuonyesha ufundi wa kufuturisha.
  19. B

    Waziri mkuu aagiza kiongozi wa CCM aliyetajwa kwenye mgogoro wa ardhi akikutwa na hatia avuliwe madaraka, siyo chama cha kunyang'anya

    Akiwa katika yake Nsimbo, Katavi Waziri Mkuu amepokea malalamiko ya mwananchi aliyedhulumiwa eneo lake na kumtaja kiongozi mmoja wapo wa CCM kuhusika katika mchakato huo ambapo Waziri Mkuu ameagiza kiongozi huyo achnguzwe na akibainika ameshiriki avuliwe uongozi. Amesema chama hicho siyo cha...
  20. M

    Pamoja na tofauti zetu, ikitokea Trump kasema anakuja Tz kufanya alichofanya Venezuela au Iran watanzania wengi tutaungana kumpinga

    Tunaweza kuwa na tofauti zetu lakini kuna mstari ukivukwa lazima utauona umoja wa watanzania hata wanaotofautiana Trump akithubutu kutuletea mambo yake aliyofanya Vendezuela na sasa Iran, atajutia uamuzi huo maana sio kwa aibu atayopata. Tanzania, Tanzania! Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…