ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Iringa: Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM: Uchaguzi haufanyiki kwa matakwa ya CCM, CHADEMA ni Katiba

    Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Omary Chulla akizumguza katika Ziara ya kamati ya Utekelezaji ya UVCCM katika kata ya Kihorogota Tarafa ya Ismani, Wilaya ya Iringa leo, Tarehe 19 Aprili 2025. Kupata matukio na...
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Swali hili lijibiwe. Nani anaharibu Amani ya Tanzania. CHADEMA au CCM? CHADEMA wanataka mfumo ambao utatupatia viongozi kwa haki

    Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu. Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Niwaombe TEC , kwakua CCM ni Sikio la Kufa , TEC itoe waraka Rasimi kuwataka Waumini kutoshiriki Uchaguzi au Maandamano ya Amani

    CCM Kwa aina ya Maisha yao ya nyuma na Sasa, Hofu kuhusu nini kitakachotokea mbeleni ndio inayowafanya wawe wagumu wa Mioyo Kuruhusu Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi. Ofcoz Kuna mambo ambayo ni lazima yajulikane ilikuaje kuaje tukafikie hapa , Mauaji ya Mzee Kibao, Tundu LISSU Kupigwa Risasi...
  4. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Jua tofauti ya chawa uchwara na chawa Pro Max wa CCM

    Ndani ya CCM kuna Chawa uchwara na kuna Chawa Pro Max Chawa Promax ndio wale wanao kula nchi hawa wako kwenye Mashirika huko wanaompiga B zao huko, hawa ni wale wanao tajagwa kwenye report za CAG, hawa wanakula haswa hii nchi. Pia hawa Pro Max hata humu Jf hawapo huwezi wakuta na hawana muda wa...
  5. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wanaopaswa kuwa rumande muda huu ni mawaziri wezi na mafisadi ya CCM na sio Tundu Lissu

    Yaani nchi hii kwa Sasa inasikitisha sana. Yaani ccm kimekuwa chama Cha manyangany'i na mafisadi ya taifa hili. Kupitia kuwa mwanachama wa CCM, waziri, katibu mkuu, mkuu wa shirika, mkurugenzi wa halmashauri, rais wa nchi anaweza kuamua kuiba mali (rasilimali ) yoyote ya watanganyika na Bado...
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CCM imfute Uanachama Mwijaku Kwa kusababisha Udhalilishaji na Unyanyasaji

    Tabia ya Mwijaku Toka Kitambo inajulikana. Mpaka lini CCM itaendelea kua FICHIO LA WATENDA WA MAOVU???. Yan watenda Maovu ndio wanalibeba Jina la CCM na kumtangaza Mwenyekiti wa CCM????. Kwa Nchi zenye kufata misingi ya Demokrasia, Hilo tu ,linatosha Kwa Chama CCM kutoka hadharani kumkemea na...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Huyo ndio Mwijaku , ambaye CCM inamchukulia kama kioo chake Cha Jamii

    Kwa Chama kinachojitambua na kinachoamin katika UTU, Mwijaku alitakiwa kupigwa Marufuki kushiriki Shughuli zozote za kichama Kwa jina la chama. Ila Kwa kua ni CCM , ukiangalia CCM Kwa akili ya chekechea tu bila hata kuanza darasa la kwanza , utagundua ni chama ambacho asilimia Kubwa ya Watu...
  8. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya Jokate: Vijana 100 wa CCM wahamia CCM

  9. S

    JamiiForums Tanzania sisi tumesema no reform no election viongozi wa ccm wanatabiri vurugu mbona kila kiongozi anasitiza amani

    no reform no election sio vurugu wala nini kichatakiwa hapa ni mabadiliko
  10. Username 20

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je, kwa hili CCM wapo sawa?

    Toka naanza kufuatilia siasa miaka ile CCM wamekuwa wanatutisha kuwa tukichagua upinzani kutatokea machafuko Kuwa wao CCM ndo wanaoilinda amani ya nchi hii, upinzani hawawezi kuilinda aman, lkn hapa katikati kuanzia kwa Jakaya mwishoni kumekuwa na matukio kadhaa ya watu kuuliwa na kupotea mfano...
  11. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya ulinzi na usalama viko wapi wakati CCM wanahatarisha usalama wa nchi kwa kukataa reforms?

    “Nani anaharibu amani, anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?..Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti” Askofu Pisa, Rais TEC
  12. Kekule Wa Benzene Ring

    JamiiForums Tanzania Mbinu saba zinazotumiwa na CCM kubaki madarakani na nini wapinzani wafanye kuiondoa madarakani

    Wakuu Habari! Heri ya siku kuu ya Pasaka Kwa Wakristo wote. Nitumie pia nafasi hii kuwatakia Kila la Heri watani zangu wa jadi Simba sc Kwenye Mechi Yao ya mkondo wa kwanza nusu fainali SHIRIKISHO barani Afrika hapo kesho dhidi ya Stellenbosch. Kabla sijaenda Kwenye mada ni declare interest...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Tangu nianze kupiga kura 2010 sijaona uchaguzi unaoongoza kwa kupoa kama huu, Watu wengi hawana mpango wa kupiga kura

    Tangu nianze kupiga kura 2010 sijaona uchaguzi ulipoa kama huu. Wapiga kura wa CCM wapo relaxed wana uhakika na matokeo hata wasipopiga kura. wapiga kura wa vyama pinzani hawana imani kabisa na tume ya uchaguzi wanaona kupiga kura ni kupoteza muda.
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwa Mshikamano Huu, Haki iendelee kuimbwa na Kila Kiongozi wa Dini , CCM wameanza kutoa kilio Cha chinichini karibu watalia Kwa SAUTI

    Niwashukuru sana Kwa dhati Viongozi wote wa DINI ambao wameamua kutoka hadharani na kusema juu ya HAKI. Kwa Tanzania ,HAKI imegeuka kua Chozi la Samaki. Mwaka 2020 , nilinyimwa HAKI ya kuchagua baada ya MTU Kupitishwa bila Kupingwa, iliniuma sana sana !!.
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Iwe marufuku kwa Makanisa kuwaruhusu watu aina ya Paul Makonda, kutumia Madhabahu kuelezea Siasa na CCM!!

    Watu wa aina hii hawapaswi hata kualikwa kua wageni rasimi. Dini iaachane na unafiki wa kuchangiwa Pesa na viongozi wenye Dhuluma. Biblía ninayoisoma toka nikiwa mtoto Mdogo, inachukia DHULUMA, UONEVU, WIZI NA WATAWALA WABAYA . Biblía hii hiii, sehem kubwa, Mungu anatumia Viongozi wa Dini...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Stephen Wasira: CCM tunahubiri amani kwa sababu ndani yake kuna haki

    MAKAMU Menyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema ni vema wananchi wakafahamu kwamba katika amani ndani yake kuna haki, hivyo Chama kitaendelea kuihubiri kuhakikisha inapatikana haki. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mjini Dodoma alipokuwa...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM yawapa angalizo Wabunge waliopewa nafasi wakashindwa kufanya vizuri majimboni

    CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema wabunge ambao hawakufanya vizuri katika majimbo yao wala kurudi kwa wananchi watambue Chama kuwa hakitakuwa ba namna ya kuwasaidia kwa sababu walipewa nafasi wakashindwa kuzitumia. Akizungumza na wanachama na viongozi wa Chama katika Wilaya Sikonge mkoani...
  18. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ni Sera za Serikali ya CCM ndizo zimewajaza Wachina Tanzania wanaoiba Ajira za Wazawa

    Serikali ya CCM kama zilivyo Serikali mbalimbali za Kiafrika zinazopokea misaada ya wachina , Shariti Kuu wanalopewa ni Hilo 'Kuruhusu Raia wa kichina watamalaki bila vikwazo ' . Ongezeko Hilo la utegemezi Kwa Wachina, Kuna uwezekano wa 100% Uchina kua na Uwezo wa kuamua Chama gani kiendelee...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CCM na Dola, Ndoa yao ilifungwa Mwaka 1961, Maisha waloyaishi na kuyaishi Sasa, Kila Mmoja ni lazima ambebe mwenzake Kwa Jasho na Damu hata Kufa

    Ukisikia Kuna Ufisadi wa Mabilioni Kadhaaa , sio CCM tu wanaogawana, ingekua hivo Wangeshakua wameondolewa madarakani Kitambo sanaaa !! DOLA isingeweza vumilia hayo !!. Kuna wanaCCM kupitia serikalini Kwa waloyafanya Nchi hii, hata wao wakikaa wanaiona Hatia. Kuna Watu wa DOLANI Kwa...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM Kilindi yawataka madiwani kuondoa hofu juu ya kurejea nafasi zao kwani Rais Samia amemaliza yote

    Mwenyekiti CCM wilayani Kilindi, Rajabu Kumbi amewataka madiwani kuondoa hofu juu ya kurejea nafasi zao kwa maelezo kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mambo makubwa katika kufanikisha miradi ya maendeleo ya wananchi. Kumbi ameyasema hayo leo Aprili 19,2025 alipokuwa akizungumza kwenye...
Back
Top Bottom