ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. S

    JamiiForums Tanzania CCM wawe makini vinginevyo wataingiza nchi kwenye udini au machafuko

    tumeona dini mbili kubwa Tanzania wanaonesha kutofautiana na waraka uliotolewabna Maaskofu kadhaa. wazee wa kobazi na wagalilaya wanaweza kuzichapa. na wagalilaya mapema watashinda
  2. C

    JamiiForums Tanzania CCM msiingize ajenda udini kwenye matamko ya TEC Kama mlivyo anza kufanya ili kutafuta huruma, hata MAGUFULI alionywa mara nyingi na TEC

    Naona vilaza wa ccm wamehsa anza kutengeneza hoja za udini dhidi ya tamko ta TEC acheni ujinga huo, msitafute huruma kijinga namna hiyo, pimeni madai yao na mjitafakari Kwa akili zenu zilivyo ndogo na chama kilivyo kosa washauri wazuri kwa sasa sio muda mtawatuma BAKWATA wajibu mapigo...
  3. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Ukiwaangalia Wanavyoshupaza shingo kutetea Palestina asionewe na Israel alafu ukiona Wanavyotetea Wauaji CCM utaelewa hakuna Masheikh pale.

    Dini ya kweli ni Dini inayosimamia kweli na haki. Dini ya kweli ni dini inayosema kweli haijalishi kweli hiyo inaumiza au inafurahisha. Viongozi wa Dini wa kweli ni Viongozi wanaosema ukweli wa Mungu bila kuogopa utawapendeza au kuwafurahisha Watawala. Viongozi wa kweli wa Dini ni wale...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti CUF wilayani Handeni aibukia CCM

    Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi,(CUF) wilayani Handeni mkoani Tanga Hilary Kitwanga ametangaza kuhama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi,(CCM). Akizungumza kwenye kikao cha halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Handeni kilichofanyika leo Jumamosi April 19,2025 kwenye ukumbi wa mikutano...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mjumbe wa Baraza Kuu Wazazi -CCM: Vijana tambueni na kuthamini haki yenu ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa

    MJUMBE wa Baraza Kuu la Wazazi - CCM Taifa kupitia Mkoa wa Mtwara, Ndg. Idrisa Yusuph Nannila, amehutubia katika kampeni kabambe ya kuhamasisha vijana kushiriki kikamilifu katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025,Kongamano hilo lenye Taswira ya KIJANA NA SAMIA SHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Iringa: Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM: Uchaguzi haufanyiki kwa matakwa ya CCM, CHADEMA ni Katiba

    Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Omary Chulla akizumguza katika Ziara ya kamati ya Utekelezaji ya UVCCM katika kata ya Kihorogota Tarafa ya Ismani, Wilaya ya Iringa leo, Tarehe 19 Aprili 2025. Kupata matukio na...
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Swali hili lijibiwe. Nani anaharibu Amani ya Tanzania. CHADEMA au CCM? CHADEMA wanataka mfumo ambao utatupatia viongozi kwa haki

    Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu. Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye manufaa kwa umma. Nani anaharibu?
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Niwaombe TEC , kwakua CCM ni Sikio la Kufa , TEC itoe waraka Rasimi kuwataka Waumini kutoshiriki Uchaguzi au Maandamano ya Amani

    CCM Kwa aina ya Maisha yao ya nyuma na Sasa, Hofu kuhusu nini kitakachotokea mbeleni ndio inayowafanya wawe wagumu wa Mioyo Kuruhusu Mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi. Ofcoz Kuna mambo ambayo ni lazima yajulikane ilikuaje kuaje tukafikie hapa , Mauaji ya Mzee Kibao, Tundu LISSU Kupigwa Risasi...
  9. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Jua tofauti ya chawa uchwara na chawa Pro Max wa CCM

    Ndani ya CCM kuna Chawa uchwara na kuna Chawa Pro Max Chawa Promax ndio wale wanao kula nchi hawa wako kwenye Mashirika huko wanaompiga B zao huko, hawa ni wale wanao tajagwa kwenye report za CAG, hawa wanakula haswa hii nchi. Pia hawa Pro Max hata humu Jf hawapo huwezi wakuta na hawana muda wa...
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wanaopaswa kuwa rumande muda huu ni mawaziri wezi na mafisadi ya CCM na sio Tundu Lissu

    Yaani nchi hii kwa Sasa inasikitisha sana. Yaani ccm kimekuwa chama Cha manyangany'i na mafisadi ya taifa hili. Kupitia kuwa mwanachama wa CCM, waziri, katibu mkuu, mkuu wa shirika, mkurugenzi wa halmashauri, rais wa nchi anaweza kuamua kuiba mali (rasilimali ) yoyote ya watanganyika na Bado...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania CCM imfute Uanachama Mwijaku Kwa kusababisha Udhalilishaji na Unyanyasaji

    Tabia ya Mwijaku Toka Kitambo inajulikana. Mpaka lini CCM itaendelea kua FICHIO LA WATENDA WA MAOVU???. Yan watenda Maovu ndio wanalibeba Jina la CCM na kumtangaza Mwenyekiti wa CCM????. Kwa Nchi zenye kufata misingi ya Demokrasia, Hilo tu ,linatosha Kwa Chama CCM kutoka hadharani kumkemea na...
  12. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Huyo ndio Mwijaku , ambaye CCM inamchukulia kama kioo chake Cha Jamii

    Kwa Chama kinachojitambua na kinachoamin katika UTU, Mwijaku alitakiwa kupigwa Marufuki kushiriki Shughuli zozote za kichama Kwa jina la chama. Ila Kwa kua ni CCM , ukiangalia CCM Kwa akili ya chekechea tu bila hata kuanza darasa la kwanza , utagundua ni chama ambacho asilimia Kubwa ya Watu...
  13. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Maigizo ya Jokate: Vijana 100 wa CCM wahamia CCM

  14. S

    JamiiForums Tanzania sisi tumesema no reform no election viongozi wa ccm wanatabiri vurugu mbona kila kiongozi anasitiza amani

    no reform no election sio vurugu wala nini kichatakiwa hapa ni mabadiliko
  15. Username 20

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je, kwa hili CCM wapo sawa?

    Toka naanza kufuatilia siasa miaka ile CCM wamekuwa wanatutisha kuwa tukichagua upinzani kutatokea machafuko Kuwa wao CCM ndo wanaoilinda amani ya nchi hii, upinzani hawawezi kuilinda aman, lkn hapa katikati kuanzia kwa Jakaya mwishoni kumekuwa na matukio kadhaa ya watu kuuliwa na kupotea mfano...
  16. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya ulinzi na usalama viko wapi wakati CCM wanahatarisha usalama wa nchi kwa kukataa reforms?

    “Nani anaharibu amani, anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?..Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti” Askofu Pisa, Rais TEC
  17. Kekule Wa Benzene Ring

    JamiiForums Tanzania Mbinu saba zinazotumiwa na CCM kubaki madarakani na nini wapinzani wafanye kuiondoa madarakani

    Wakuu Habari! Heri ya siku kuu ya Pasaka Kwa Wakristo wote. Nitumie pia nafasi hii kuwatakia Kila la Heri watani zangu wa jadi Simba sc Kwenye Mechi Yao ya mkondo wa kwanza nusu fainali SHIRIKISHO barani Afrika hapo kesho dhidi ya Stellenbosch. Kabla sijaenda Kwenye mada ni declare interest...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Tangu nianze kupiga kura 2010 sijaona uchaguzi unaoongoza kwa kupoa kama huu, Watu wengi hawana mpango wa kupiga kura

    Tangu nianze kupiga kura 2010 sijaona uchaguzi ulipoa kama huu. Wapiga kura wa CCM wapo relaxed wana uhakika na matokeo hata wasipopiga kura. wapiga kura wa vyama pinzani hawana imani kabisa na tume ya uchaguzi wanaona kupiga kura ni kupoteza muda.
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwa Mshikamano Huu, Haki iendelee kuimbwa na Kila Kiongozi wa Dini , CCM wameanza kutoa kilio Cha chinichini karibu watalia Kwa SAUTI

    Niwashukuru sana Kwa dhati Viongozi wote wa DINI ambao wameamua kutoka hadharani na kusema juu ya HAKI. Kwa Tanzania ,HAKI imegeuka kua Chozi la Samaki. Mwaka 2020 , nilinyimwa HAKI ya kuchagua baada ya MTU Kupitishwa bila Kupingwa, iliniuma sana sana !!.
  20. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Iwe marufuku kwa Makanisa kuwaruhusu watu aina ya Paul Makonda, kutumia Madhabahu kuelezea Siasa na CCM!!

    Watu wa aina hii hawapaswi hata kualikwa kua wageni rasimi. Dini iaachane na unafiki wa kuchangiwa Pesa na viongozi wenye Dhuluma. Biblía ninayoisoma toka nikiwa mtoto Mdogo, inachukia DHULUMA, UONEVU, WIZI NA WATAWALA WABAYA . Biblía hii hiii, sehem kubwa, Mungu anatumia Viongozi wa Dini...
Back
Top Bottom