ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Bams

    JamiiForums Tanzania Nyakati Zinakuja Ambapo Hakuna Atakayependa Ajulikane Aliwahi Kuwa Mwanachama Wa CCM.

    Uovu hata ulindwe namna gani, hauwezi kudumu. Utawala wa makaburu ulikuwa na kila kitu, kuanzia silaha, tekinolojia, vituo vya tafiti za kisayansi mpaka utajiri wa pesa. Makaburu walifanya tafiti mpaka kuja na dawa ambazo watu weusi waliofika kwenye hospitali za Serikali walipewa ili wasiweze...
  2. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mtutura: ACT haijasajiliwa ili iwe mapambio kwa CCM

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo, Mtutura Abdallah Mtutura, amedai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitamani ACT Wazalendo kisusie uchaguzi, ili waweze kushinda kwa urahisi, lakini ACT imekataa na kuamua kuwakabili vilivyo. Akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Mtina, kata ya...
  3. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ACT- Wazalendo: Tungesusia uchaguzi, CCM wangefanya sherehe, Chama pekee kinaikosesha usingizi CCM ni ACT- Wazalendo

    Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, kwenye ziara yake katika mkoa wa Ruvuma wilayani Tunduru ambapo amesema kuwa "Kama ACT Wazalendo wangesusia Uchaguzi wa 2025, CCM wangefurahia sana hadi kuchinja ng'ombe."
  4. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania CCM ilipofikia ipo tayari kufanya lolote ili Tu iendelee kuwepo madarakani

    Nadhani ndugu zangu Wana jamii forum mnajionea kwa Haya yanayoendelea..mwanzoni ccm walijificha kwenye kichaka Cha 'amani" amani' amani" waliiminya haki huku wakiimba wimbo wa amani na yeyote yule ambae alionekana kuidai haki moja kwa moja alionekana ni mvujifu wa amani. Sasa gia hii kipindi...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kauli hii ya Wasira ni matokeo ya CCM kukataa tamaa na kuwa na hasira hivyo kuongea tu kutokana na frustrations

    Nimeona clip ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wasira katika akaunti ya Godbless Lema kwenye mrandao wa X ambapo Wasira anasikika akisema maneno haya: "CCM haitatoka madarakani mpaka Yesu arudi". Msingi wa kauli hii na ile ya hivi karibuni ya Waziri Mchengerwa na nyinginezo za aina hii...
  6. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais na watawala wezanko kutoka CCM, sauti ya viongozi wa Dini ni sauti ya Mungu

    NIMEAMBIWA na mizimu ya kwetu kyaibumba niwambie yakuwa viongozi wa Dini hawaongei wakiwa KWENYE MILANGO ya Gest house Bali wanaongea wakiwa KWENYE Madhabau ambayo hata wao watawala hawawezi Ikanyaga Madhabau bila ruhusa ya viongozi wa Dini. Mh Rais na watawala WENZAKO kutoka chama Cha...
  7. M

    JamiiForums Tanzania CCM wakitaka wabaki madarakani wazingatie yafuatayo

    Mpka sasa hivi CCM wakitaka wabaki madarakani wazingatie yafuatayo. 1. Waufute mfumo wa kutumia CHAWA kwasababu wamekinaiwa na wananchi na hawapendwi tena kwahiyo hawana ushawishi no more. 2. Katika kura za maoni wawapitishe wagombea ambao ni wapya madarakani wasiwe wale ambao wameshahudumu...
  8. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Prof. Eginald PAN Mihanjo: CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani

    25 Aprili 2025 https://m.youtube.com/watch?v=wbk2XLS77j8 Ushindi haupatikani kwa kutegemea 'chawa' wala wingi wa kadi. Watu wana kadi na mapenzi kwa vyama hata vitatu. CCM iwe makini wanatakiwa wasiwe na mazoea. CHADEMA kimekaa muda mrefu kama chama cha siasa, sasa kimekuja kivingine kama...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ohoo! CCM waanza kumkana Samia juu ya ubabe wake kwa Chadema.

  10. Kachina95

    JamiiForums Tanzania CCM wanaogopa sana haki kwanini?

    Tumefikia mahala watawala kutoka CCM hakuna kitu wanaogopa kama haki. Wako tayari kuteka, kuua ama kupoteza watu ili kuzuia haki. Tumefikaje hapa? Hali itakuwaje kama wataendelea kutawala miaka 15 au 20 ijayo? Kwanini hawataki kabisa haki itamalaki hapa nchini?
  11. N

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Sheikh Yahya na hofu kubwa ya Rais Samia na CCM yake upinzani kuchukua nchi

    Wakati taifa likiwa kwenye mtanzuko mkubwa wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2025,tunashuhudia uminywaji mkubwa wa demokrasia, utawala wa mabavu usiofuata sheria, matumizi mabaya ya pesa za umma na ukosefu wa haki kuliko wakati wowote ule. Hofu hii inazidi kuchagizwa zaidi na kushuka kwa...
  12. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania CCM ni chama cha waoga wanaojifanya hawagopi

    Ukiwasikia wanavyojitapa hadharani utadhani ni chama kilichojaa watu mahiri na jasiri, lakini ni chama kilichojaa watu waoga kupindukia. Sheria wanazotunga nyingi zake ni kwa ajili ya kujihami na kuhami madaraka yao kiharamu. Hizi sarakasi zote za kutokuwa na Tume huru ya uchaguzi na...
  13. Dp800

    JamiiForums Tanzania Nani atawaambia Dola na CCM kwamba wapinzani ni Watanzania

    Kuna kila aina ya vitisho na hisia hasi juu ya upinzani na wapinzani. Mimi ni kijani niliyesomeshwa kwa fedhg za serikali kuanzia sekondari hadi chuo kikuu. Sioni ubaya wala sina uadui na CCM lakini mtizamo wangu ni kwamba tunahitaji kwa namna moja au nyingine kuongozwa na akili mpya maana...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ubaya ubwela ndiyo huu: Wananchi wanaimba bora corona kuliko CCM

    Ukisika ubaya ubwela ndiyo huu baada ya kusikia wimbo ukiibwa na baadhi ya wanachama wa CCM wakisema wapinzani wakifa atulii bali tunawatupa mtoni waliwe na mamba! Sasa kwenye video hii inaonyesha kundi la baadhi ya wananchi ambao kwa asilimia kubwa ni vijana wakiimba wakisema bora corona...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema: Hakuna chama kingine tofauti na CCM kinachoweza kuwapatia wananchi maendeleo

    Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu, amewataka wananchi wa Buchosa kuendelea kumuunga mkono Dk. Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine walioko madarakani ili waendelee kuwaletea maendeleo. Kauli hiyo ameitoa katika Kata ya Kalebezo, kwenye mkutano wa hadhara uliotishwa na Mbunge...
  16. Mdude_Nyagali

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha anguko la CCM kiko njiani

    Binafsi naamini mwaka huu kuna anguko kubwa la CCM. Ndio maana tangu January mwaka huu nilianza uandishi wa kitabu kinachosimulia anguko la CCM. Ndani ya kitabu hicho nasimulia siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995. Ndani ya kitabu hiki kuna simulizi ya mabaya na...
  17. technically

    JamiiForums Tanzania Polisi Tanzania tubuni mnaangamia kwa kokosa maarifa

    Police wanaotumika kuiba kula uwa ni wale duni, waliochoka wenye njaa Kwa walimu pia Lakini wanaonufaika ni watu wakubwa wanasiasa mafisadi Imagine unatumwa unaua unazika alafu aliyekutuma anakupa pesho ya laki moja Unanuka damu yeye aliyekutuma Wala hajawai kuua Polisi jitambueni sisi...
  18. I

    JamiiForums Tanzania Hii imevunja rekodi ya dunia kwa polisi kuwakamata "wahalifu" na kuwatupa porini

    Hii ni aibu! Hii ni fedheha kwa jeshi letu la polisi! Hii imevunja rekodi ya dunia kwa polisi kuwakamata "wahalifu" na kuwatupa porini badala ya kuwaweka mahabusu! Eti polisi wa Tanzania wanatupa raia wao pori la Mabwepande waliwe au waumizwe na wanyama wakali! Hii ni aibu kwa Rais Samia...
  19. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Zamani ukiwa na mzazi kada wa CCM, ilikuwa fahari, kwasasa unaogopwa

    Wapo Wana CCM wachache wanaoamini katika Utu na kushindana Kwa Hoja Yakinifu zama hizi, Walio wengi wamejaa hila, uchu wa Madaraka, wizi na mipango ya kufiisha watu wanao tofautiana Kwa Hoja. Zamani Mzazi wako akiwa kada wa Chama anazijua sera na pia anajua kushawishi! Hawa vilaza wa Sasa...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Shuhudia janja ya CCM, nimewavulia kofia!

    Hii ndiyo CCM, wahni wakubwa, Siku za nyuma, Walitoa tangazo la kuwataka vijana/watu watume maombi ya kusimamia/kuandikisha wapiga kura. Hawakuita hata moja walichofanya sasa, vijana waliojiandikisha kuomba kijikazi hicho wapate ka posho, kazi hiyo, wameambulia kupewa kadi/vitambulisho vya CCM!
Back
Top Bottom