Hii ndiyo CCM, wahni wakubwa,
Siku za nyuma, Walitoa tangazo la kuwataka vijana/watu watume maombi ya kusimamia/kuandikisha wapiga kura. Hawakuita hata moja walichofanya sasa, vijana waliojiandikisha kuomba kijikazi hicho wapate ka posho, kazi hiyo, wameambulia kupewa kadi/vitambulisho vya CCM!