ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mtemvu: Vijana tumie Mitandao ya Kijamii kwa Maendeleo, Si Maudhui Yasiyo na Tija kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Abasi Mtemvu amewataka Vijana nchini kutumia majukwaa ya mitandao ya kijamii kama nyenzo ya kujenga jamii na kuchochea maendeleo badala ya kujiingiza katika utengenezaji wa maudhui yasiyo na tija katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Kupata...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Sophia Mwakagenda aitema CHADEMA, Ajiunga rasmi na CCM

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Sophia Mwakagenda, ametangaza kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), akisema uamuzi huo unalenga kuendeleza jitihada zake za kuwatumikia wananchi kwa ufanisi zaidi. Akizungumza mbele ya mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja...
  3. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Serikali fanyeni maisha yetu yawe magumu, fanyeni watu wasio kuwa na ajira ,Ila msiguse tu Yanga na Simba

    Ikiuzwa hata nchi nzima ni poa tu, Graduate wakijaa mtaani watajua tu wenyewe, napo ni poa hakuna shida watajua mbele kwa mbele. Maisha yakiwa magumu, huduma za afya zikiwa hazieleweki hasa Hospitali za umma napo ni poa tu,make ni Mungu kapanga. Kikubwa Yanga na Simba zisiguswe kabisa hapo ni...
  4. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Unamshabikia Ibrahim Traore halafu unaipenda CCM. Unajidanganya!

    Wewe ni mwana CCM halafu unajifanya kumshabikia mwana umajumui wa Afrika Rais wa Bukinafaso Ibrahim Traore, wewe ni mzushi! Mwana CCM anayemshabikia Traore ni mzandiki!
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makalla: Atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi

    "Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC)...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kiungwana serikali na CCM na NEC wanapaswa kuwaomba radhi wananchi kwa kuchafua chaguzi za 2019, 2020, 2024. Kwa kuwa shahidi zipo

    Kama serikali yetu ingekuwa na chembe ya uungwana ilitakiwa itoke na kuomba radhi kwa madhila yaliyotokea kwenye zilizoitwa chaguzi katika miaka tajwa hapo juu. Na kwa ushahidi huo ilipaswa CCM Ione aibu ya kujisifia uongo kwamba wanashinda kwa kishindo badala yake walipaswa kufanya juu chini...
  7. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Picha: Wana CCM Uyole wapewa Mo Energy, Mama kafungua nchi

  8. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kwa nini neno HAKI limekuwa Gumu kutamkwa Midomoni mwa wana CCM?

    GT Nimefatilia watawala wetu hasa hawa wa CCM tangu vugu vugu la No reforms no election kutamka neno HAKI imekuwa ni kaa la moto midomoni mwao. Wao kwa sasa wamejificha kwenye kichaka cha.Amani. huku wakijua bayana kabisa kabisa Amani ni tunda la haki. Ili upate maziwa lazima ng'ombe awepo...
  9. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyikiti CCM Katavi awaasa wananchi wasichague mtu anayetoa rushwa

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Katavi Idd Kimanta amewataka wananchi kulinda amani kipindi cha uchaguzi ikiwanipamoja na kuchagua viongozi wanaofaa kuwatumikia kwa miaka mitano ijayo. Kimanta ameyasema hayo wakati akizungumza na wa umini wa dini ya kikristo alipokua akiongoza...
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makalla: CCM na Vyama 18 wapo tayari kwa uchaguzi wale wenzetu hawajasaini hawatoshiriki

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka watanzania kusimama na Rais Samia Suluhu Hassan katika kulinda amani iliyopo nchini kwani Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa mataifa mengine. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla alieleza hayo wakati akizungumza na...
  11. Megalodon

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tumsikilize Nabii Rolinga, Serikali chini ya CCM mjitafakari

    Nilimuuliza moja ya Shabiki wa CCM, kama njia inayotumika kwa sasa na Chadema kudai reform na haki inaitwa ni njia ya kuvuruga amani, je ni njia gani nyingine Chadema iitumie kudai reform na haki ili jeshi la polisi lisiingililie, na wala isionekane lengo ni kuvuruga amani ? Sikuwahi kupata...
  12. S

    JamiiForums Tanzania CCM ni MAKUPE walioiganda Serikali ya Tanzania

    Angalia ikiwa wewe au watoto wako mna kupe katika ukoo wenu, CCM na serikali yake yote vikiwemo vyombo vyake havina tofauti na mdudu Kupe. CCM sio chawa ni kupe.
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Kibamba: Ndani ya uhai wangu CCM haiwezi kutoka madarakani, labda nisiwe hai

    “Ndani ya uhai wangu CCM haiwezi kutoka madarakani, labda nisiwe hai” Issa Mtemvu - Mbunge wa Kibamba
  14. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania CCM: No Cap, Time’s Up – Tunawajua Sasa

    kwa miaka kibao CCM wamekuwa wakituzuga na promises za kitoto kama vile hatujui. Walituletea story nyingi kwenye zile ilani zao fake — all sweet on paper but dead in real life. No kizzy, wamekalia kutoa hope za bandia kila baada ya miaka mitano eti “maendeleo,” lakini kumbe ni kujaza vichwa vya...
  15. MABATI YA SUNBAK TANZANIA

    JamiiForums Tanzania Jesca Magufuli ni mtu ambaye analazimisha Mfumo umbembe wakati hana uwezo wa kiuongozi, CCM stay alert!

    To be honest Jesca Magufuli, she is not smart and visionary. Hakuna kitu kibaya Kama hawa watoto wa viongozi kuamini kuwa they deserves kuwa viongozi wao tu. Wananchi wa Chato mpigeni chini huyo Jesca Magufuli. Mirrad ayo unatumika vibaya.
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CCM msipotoshe umma. No reform no election sio kuharibu amani ya taifa hili. Katiba ya JMT ni mali ya Watanzania

    Kwanza natanguliza kusema kuwa Tundu Lissu yupo sahihi kwa manufaa ya umma. Pili katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni mali ya Watanzania wote na sio mali ya wanaCCM. Tatu tutapokuwa na sheria mama ambayo itawezesha Tanzania kuwa na uchaguzi huru na wenye haki. Maana yake viongozi...
  17. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Mpango akutana na Dkt. Nchimbi

    MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CCM DAR Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango, amekutana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ACT yasema imepokea Wanachama 25 kutoka CCM, Jimbo la Kojani, Wilaya ya Wete Pemba

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman amepokea Wanachama wapya 25 waliojiunga na Chama hicho kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Kojani, Wilaya ya Wete Pemba. Vijana hao wamejiunga leo 28 Aprili 2025 katika mkutano wa hadhara unaoendelea muda huu katika...
  19. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Nyie watu Tumechoka na Ujinga wenu CCM - Tanzania siyo Backyard ya Familia zenu!

    Leo siandika kama mtu mstaarabu... naandika kama raia aliyekasirishwa Nchi hii imegeuzwa ya familia chache huku viongozi wetu wanafanya maamuzi ya kijinga Unajua kinacho umiza zaidi? bado wanapewa madaraka juu juu na CCM eti waendelee kuihujumu Tanzania. We serious? Unampa mtu aliyeshindwa...
  20. T

    JamiiForums Tanzania Msimamizi wa uchaguzi s/mitaa: wagombea wote wa ccm walikosea kujaza form tulilazimishwa tukawajazia.

    Nimekutana na aliyekuwa msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji wa mwaka 2024 ambaye ni mkuu wa shule mojawapo katika mkoa wa tabora, kwa masikitiko makubwa ameeleza namna viongozi wa serikali walivyowalazimisha kujaza form za wagombea wote wa ccm ambazo zote zilikosewa kujazwa...
Back
Top Bottom