PreGE2025 Ila CCM tunachukiwa jamani!

PreGE2025 Ila CCM tunachukiwa jamani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,380
Reaction score
2,236
Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari.

Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
 
Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari. Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Hii mada imekaa kinafiki flani hv, au tayari kuna kitu ume-target tofauti na maana halisi ya hii mada.
Pia hiyo kusema ww n ccm, imekaa kimtego.

Anyway,
Hao watu 10 wa kila ukiongea nao unakutana nao wapi?
 
Hii mada imekaa kinafiki flani hv, au tayari kuna kitu ume-target tofauti na maana halisi ya hii mada.
Pia hiyo kusema ww n ccm, imekaa kimtego.

Anyway,
Hao watu 10 wa kila ukiongea nao unakutana nao wapi?
Kwani wewe unasemaje , mkuu 'Mbaga Jr'.
Si ueleze tu ukweli unaouona wewe kuhusu kupendwa kwa CCM?
Mwenzako kaona kama alivyo simulia, nawe tueleze unavyoona kivyako.
 
Siyo Dodoma na Wana CCM ninao wajua Mleta .afa uliowahoji sio wana CCM
 
Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari. Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Mnauhakika mmesajili wanachama 13m? Ground kukotofauti wakuu
 
Samahani nipo nje ya Mjadala, nautafuta Uzi ulikuwa unasema mama abaki au aachie madaraka?

Mara ya mwisho kuangalia Kura za abaki ziliiuwa 9 na Kura za kuachia madaraka zilikuwa 249.

Ule Uzi sijauona tena au umefutwa?

NB.Hii mada kwenye ule Uzi kuna majibu 100%
 
Kwani wewe unasemaje , mkuu 'Mbaga Jr'.
Si ueleze tu ukweli unaouona wewe kuhusu kupendwa kwa CCM?
Mwenzako kaona kama alivyo simulia, nawe tueleze unavyoona kivyako.
Binafsi sina mzunguko wa watu wanaoongea kuhusu siasa, mm sijui siasa zaidi ya kuisoma mitandaoni na huko inaonyesha watu wahaipendi ccm.
 
Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari. Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Mnara wa Babeli
 
Samahani nipo nje ya Mjadala, nautafuta Uzi ulikuwa unasema mama abaki au aachie madaraka?

Mara ya mwisho kuangalia Kura za abaki ziliiuwa 9 na Kura za kuachia madaraka zilikuwa 249.

Ule Uzi sijauona tena au umefutwa?

NB.Hii mada kwenye ule Uzi kuna majibu 100%
Ah bc mods wameshaulamba 😂 ilikuwa suala la muda tuu
 
Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari. Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Kwa sababu nyie ni wajinga, wauaji, watekaji, wabadhirifu na bado mnatetea kila udhalimu naofanyika nchini bila kujali hisia na hasira za wananchi wenye maisha magumu na wanaoishi kwenye lindi la umaskini huku viongozi wenu na watoto wao wanauza nchi na kujilimbikizia mali

Nyinyi ni mashetani
 
Kiukweli watu wengi wapo ccm kwa sababu ya maslai lakini hawana upendo kwa chama,na hawafurahi kabisa kuona mateso yanayofanywa dhidi ya wananchi na kiongozi mkuu wa nchi yuko kimya,
Hasa watumishi wengi ambao hawanufaiki na chama wanawachukia sana chama lakini hawasemi,nimeongea na wengi sana hawataki ccm na msiwategemee sana watumishi wa umma,
Chama kisitumie ubabe mfano kumfungia Gwajima kanisa sijaona sababu ya Msingi,Gwajima alitakiwa akamatwe na akasaidie serikali kuwatambua wasiojulikana
 
Hii mada imekaa kinafiki flani hv, au tayari kuna kitu ume-target tofauti na maana halisi ya hii mada.
Pia hiyo kusema ww n ccm, imekaa kimtego.

Anyway,
Hao watu 10 wa kila ukiongea nao unakutana nao wapi
Popote pale. mjini na vijijini!
 
Kadri siku zinavyoenda tunazidi kuchukiwa. Mmeona comments za watu kuhusu mwenzetu aliyefariki huko Dodoma. Ni hatari. Yaani kila nikiongea na watu 10 nisiowajua kuhusu siasa, 7-8 kati yao wanatulalamikia CCM na waliobaki basi wanaisema vizuri kinafiki. Juzi nilikuwa na Mwenyekiti wa Wilaya wa CCM wilaya fulani hivi naye anailalamikia CCM yake hasa kwa kutokutenda haki. Siku ya kulipuka hili bomu la chuki dhidi yetu zimekaribia sana. Mwaka huu mpaka kufikia Oktoba mwishoni sijuiiiiii!
Nilikuwa safarini mahali flani, katika hiyo safari alikuwepo ndg aliyefiwa na hao wanaccm nilimuonyesha komenti za jf alisikitika sana, akasema kwasasa kuwa ccm ni hatari kwa kuchukiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom