ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. JamiiForums Tanzania Mwenzenu Idu nipo kijiwe fulani Igunga nagonga balimi baridiiiii. Huku nikifuatilia CHADEMA namna wanavyoibagaza CCM .

    Haya sio mashambulizi bali ni nia thabiti ya Chadema kuchukua dola. Mungu si Athumani. Maana Mungu hana ubaguzi wala choyo. Watanzania wamepata uelewa mkubwa sana. Hawaitaki CCM kwa namna yoyote ile. Leo hii Chadema wanaibagaza CCM kam vile wanakaanga samaki. Kuanzia ngazi ya mtaa hadi taifa...
  2. JamiiForums Tanzania Kwa Nini Tundu Lissu Anapendwa Sana? Hata Wenye CCM Yao Pia Wanampenda?

    https://youtu.be/fQ599jLDuzs?si=IjRry0Ag8mFp7rd- Nimejiuliza Sana swaali hili na kukosa majibu, kwa nini? Nisemapo wenye CCM yao nadhani nimeeleweka, maana hii Yakina Samia, Kikwete na wapiga dili kadhaa sio wenye CCM asilia kabisa wenyewe ni wale wanaofuata zile ahadi na kanuni za CCM...
  3. JamiiForums Tanzania CCM Ni utamaduni, ukilelewa kwenye vyama vya upinzani hutapaweza!

    Kama kunaeneo methali ya "samaki mkunje angali mbichi" inaishi, basi eneo hilo ni eneo la siasa. Juzi tumemsikia Alli Happy, katibu wa jumuia ya wazazi CCM, kufuatia kurudi kwa Msigwa CHADEMA, akisema kwa jinsi alivyomfahamu Msigwa alijua hawezi kukaa CCM. Jambo hili ni dhahiri sio kwa Msigwa...
  4. JamiiForums Tanzania Nikisema wabunge wa CCM hawajielewi, nitakuwa nawatukana?

    Fikiria huyu alikuwa Waziri
  5. JamiiForums Tanzania Wananchi kitaani wanataka Rais kama Magufuli CCM wanaogopa kuleta mtu kama Magufuli maana CCM wengi ni wezi wa mali za Umma

    Mimi ukinikuta mtaani ni kada wa chama kweli kweli huwa najitahidi kukusanya maoni ya wananchi wengi vijiweni kwa mabodaboda kwa mama ntilie machinga wafanya biashara maana Wakandarasi wanangu sana walimu kiasi kwamba Mimi wa mtaani akikutana na mimi JF watapigana sana...
  6. JamiiForums Tanzania Kuna watu mpaka leo hawajui kwanini wanaohudhuria mikutano ya CCM huenda na mabegi mgongoni

    Niwasanue au niwaache tu. Dunia ina siri ila hii ya kwao tushaisanukia😁 yaani wanatoka na begi la nguo za kijani wakifika wanabadilisha mkutano ukiisha wanazivua na kuficha kwa mabegi.
  7. T

    JamiiForums Tanzania CCM imetengeneza serikali ya majizi na mifumo ya majizi na sasa kumeletwa machawa kuimarisha mifumo ya wizi!. Soma ushahidi hapa

    Hii nchi imeharibiwa sana na kutengenezwa kuwa pori kubwa sana yaani (the jungle of thieves,). Na walioshika mpini hawana mpango kabisa wa kutatua hii changamoto kwa sababu nyingi tofauti tofauti. Ushahidi wa haya mambo uko wazi na dhahiri sana, ikiwa ni pamoja na hiki kinachoitwa ziara za...
  8. JamiiForums Tanzania Baada ya CCM kumkana tamko lake la "Yuda", Simai lazima avuliwe uanachama

    Mambo yanaenda kasi sana. Waswahili wanasema mdomo ulikiponza kichwa. Madsi ya mwanasiasa asiyejulikana na wengi kutoka Zanxibar sitwaye Simai Mohammed, umeleta mtafaruku wa kisiasa ndani ya CCM, na hata Bungeni. Madai yake mazito ati kuna Yuda msaliti ndani ya serikali, si tu yamekosea...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hadi sasa, Dkt Nchimbi viatu vya Urais 2030 vinamtosha

    Yepi maoni yako?
  10. JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Mikutano ya CCM na CHADEMA kwa sasa

    Mikutano ya Chadema imejaaa watu wa rika zote, vijana akina mama na wazeee wenye bashasha na wanaotaka madiliko. Mikutano ya CCM imejaza akina mama wazee. WanaChadema wanatoa hoja za msingi wakipinga ufusadi, utekaji na upendeleo wa kisiasa wanaouoata wanaCCM wachache na familia zao. WanaCCM...
  11. JamiiForums Tanzania WanaChadema wenzangu mpo? Poleni kwa yaliyowakuta Oktoba 29. Tuendeleze mapambano kibaraka wa CCM Mbowe yupo kando

    Nimekuwa kimya muda mrefu baada ya fitina na majungu ya watu wasiowema kutaka niwe kimya. Mapambano yaendelee. Chama kwa sasa hakina vibaraka. Na mziki wa Chadema CCM wanauona hata pamoja kukaa madarakani kupitia uchafuzi
  12. M

    JamiiForums Tanzania CCM na vita ya Upepo Teknolojia imekuwa kasi kuliko ukandamizaji, Kwenye video hii umemtambua nani?

    Niliwahi kupost kuwa kukamata mtu kwa sababu ya anachopost mtandaoni ni kufukuza upepo, Tazama namna AI imekuwa
  13. JamiiForums Tanzania Anguko la CCM ni dhahiri sasa

    Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi. Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
  14. JamiiForums Tanzania Serikali ya wizi CCM kuna vyeo mpaka sasa vimekosa heshima.Na kutajwa kwao mpaka usikie upinzani ukijadili ya October 29

    1.Mstaafu raisi Jakaya. Huyu uzee 2.Spika wa bunge.Hapa kama bunge hakuna ndio maana hakuna nguvu ya kuwa na kumbu kumbu. 3.Mkuu wa majeshi Mkunda.Huyu naona hata jeshi heshima imeshuka siku akistaafu hata kumbuka kama ya Kigwangara au yule wa uganada IGP. 4 .Usalama wa taifa kuanzia idara...
  15. JamiiForums Tanzania Napendekeza mbunge wa CCM mwenye utovu wa nidhamu wavuliwe uanachama haraka iwezekanavyo

    Hakuna sababu hata moja ya kuvumilia wanachama wa CCM hususani wabunge wasio na adabu kwa mamlaka za nchi, na kuendelea kuachwa tu akidunda kama mwana ccm, hali ya kua amezua taharuki, amefanya uchochezi na kutoa kashfa nzito za uzushi dhidi ya viongozi wetu wa kitaifa. Hili halikubaliki hata...
  16. JamiiForums Tanzania CCM kuna Yuda au ni homa ya urais

    Naombeni majibu Uzi tayri.
  17. JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa: Sikujua kama Watu walikuwa wamekasirishwa sana, mimi kuhama kutoka CHADEMA kwenda CCM

    Mchungaji Msigwa aliyekuwa mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema kwa miaka 10 (2010/20), alijiunga na CCM Juni 30, 2024 kabla ya kutangaza kurejea rasmi Chadema Mei 23, 2026 amesema; "Mimi sikujua kwamba watu walikuwa wamekasirishwa sana na kitendo cha mimi kuhama kutoka Chadema kwenda CCM...
  18. V

    JamiiForums Tanzania Kada CCM: Hatuwezi kukubali Makamu wa Rais Kukashifiwa na Kuvunjiwa Heshima. Simai futa kauli zako

    Kama heading inavyojieleza makada waanza kujitokeza kumjibu simai aliyoyaongea kuhusu YUDA ndani panawaka moto yetu macho wachatuone mwisho wao. ===== "Waziri wa utalii kule Zanzibar na hoja zake za kutatanisha kwamba kwanini alijiuzulu uwaziri kule anakuja kumkashifu na kumvunjia heshima...
  19. JamiiForums Tanzania Kuingiza siasa kwenye timu za Mpira ni kuhujumu Michezo. Sio Kila mchezaji ni CCM

    Hamjambo! Mpira ni mchezo na burudani kwa Watazamaji na mashabiki. Lakini kwa Kocha na wachezaji na benchi la ufundi kwao ni KAZI. Unapoleta siasa kwenye kazi za watu unaleta hatari za kuhujumu kazi husika. Ndio maana watumishi wa umma na wanataaluma hawaruhusiwi kujihusisha na siasa. Fikiria...
  20. JamiiForums Tanzania Yapo mambo yanaendelea kwa sasa si mazuri kwa afya ya chama chetu (CCM)

    Tumeshindwa kabisa kukaa vikao vya kichama na kuyamaliza?, tuliolelewa ndani ya chama tunarekodi nzuri juu chama chetu na mifano lukuki juu ya ccm yetu,ambayo inapotokea misuguano basi sisi wana ccm wote kwa pamoja huchutama chini na kukaa pamoja na kuondosha zimwi linalotaka kujitokeza na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…