CCM kama hamtaki kukosolewa vunjeni chama chenu

CCM kama hamtaki kukosolewa vunjeni chama chenu

Kama hamtaki kuwa chama cha siasa ambacho sifa mojawapo ni kupingwa mitizamo na misimamo yake, basi vunjeni chama chenu ili wenye uwezo wa kuvumilia kukosoana wasonge mbele kuijenga nchi yetu kupitia vyama vya siasa.
kwamba hisia zako potofu ndio ziibabaishe CCM, right? :pedroP:
 
Je CCM kiliwahi kuandikishwa kwa Msajili wa vyama vya siasa kama vyama vingine na kupata ithbati?😕
Je wakiambiwa leo waonyeshe cheti cha kusajiliwa kama chama cha siasa chini ya vyama vingi tangu 1990 utaratibu huo ulipoanzishwa, Kitapatikana na kuuonyesha umma?🤔
 
Kama hamtaki kuwa chama cha siasa ambacho sifa mojawapo ni kupingwa mitizamo na misimamo yake, basi vunjeni chama chenu ili wenye uwezo wa kuvumilia kukosoana wasonge mbele kuijenga nchi yetu kupitia vyama vya siasa.
Humphrey Polepole.....
 
Kama hamtaki kuwa chama cha siasa ambacho sifa mojawapo ni kupingwa mitizamo na misimamo yake, basi vunjeni chama chenu ili wenye uwezo wa kuvumilia kukosoana wasonge mbele kuijenga nchi yetu kupitia vyama vya siasa.
ccm imejaa zero brains!
Kwa sasa imeungana pamoja na polisi kutengeneza vikundi haramu vinavyofanya ushushushu wa nani anasema nini akiwa wapi dhidi ya ccm na serikali.
1. Wanateka
2. Wanatesa
3. Wanabaka
4. Wanafira
5. Wanaua
6. Wanavuna viungo vya miili
7. Wanabambika kesi
8. Wanasitisha huduma za msingi (maji, umeme n k)
 
Back
Top Bottom