Siasa bwana ni kama mchezo wa rede!
Leo wako wanaolia: "No reform, no election!"
Wengine wanawabwatukia: "Acheni kelele, hamna lolote!"
Lakini subiri tu, serikali ikisema: "Tumeamua kuanzisha mazungumzo,"
hao waliokuwa wanacheka, wanabadilika. Uttwasikia, siri kali sikivu, kiongozi, mpenda...