bwana

This is a list of English language words that come from the Niger-Congo languages.
It excludes placenames except where they have become common words.

View More On Wikipedia.org
  1. Dr Adam Francis

    Ni huruma za bwana kwamba hatuangamii

    [1Yoh1:8]Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu. [Zab51:3]Maana nimejua mimi makosa yangu Na dhambi yangu i mbele yangu daima [Zab51:4]Nimekutenda dhambi Wewe peke yako, Na kufanya maovu mbele za macho yako. Wewe ujulikane kuwa una haki unenapo, Na kuwa safi...
  2. Zanzibar-ASP

    Mahojiano ya Rostam na Tido Mhando ni maigizo kwa 100% (staged interview)

    Nimesikiliza na kutazama kwa makini mahojiano kamili kati ta Rostam Aziz na Tido Mhando ambayo yamerushwa hewani kupitia Azam Tv (UTV) kuanzia mida ya saa tatu usiku mpaka mida ya saa nne na dakika kadhaa usiku huu (tarehe 5/9/2025). Na bila kumumunya maneno, mahojiano yale yalikuwa ni maigizo...
  3. Setfree

    Hatimaye yule aliyekuwa akihubiri kwamba Yesu sio Mungu amenena wazi leo kuwa Yesu ni BWANA!

    Kwa muda mrefu, amekuwa akipaza sauti mtandaoni, akidai eti Yesu sio Mungu, hakufa msalabani, hakufufuka, na hata kudai kuwa kitabu cha Mathayo kimejaa upotoshaji. Amekuwa akijulikana kama mkosoaji wa Ukristo. Lakini leo ameushangaza ulimwengu! Ameandika mada mtandaoni yenye maneno yanayoonesha...
  4. Kimbesa11

    Proved: kumbe ni AI bwana si polepole, chadema kama mnaweza kuamini hata Midori basi viongozi wakuu wa chadema wajitathimini.

    Nashangaa viongozi wa chadema wamekunja ndita wanaamini ni Polepole kumbe ni akili mnemba (AI)🤣 eti wanasema "Tumekusamehe" be serious, tulitegemea kauli ya katazo ya kutofungamana na upotoshaji wa AI Kama ambavyo vyama vingine vya Upinzani makini vimefanya. Inakuwaje chadema inakuwa na...
  5. 1Africa54

    Kuna watanzania bwana eti kataa baiskeli uinusuru tanzania eeeeti

    Nouma sana kataa baiko🤣🤣🤣🤣
  6. Munch wa Annabelle

    Ua kabisa, uwaangamize, asema Bwana, fanya yote kama nilivyokuamuru

    Je Yesu ambae ndo Mungu ni katili kiasi hiki? 1. Kumbukumbu la Torati 20:16-17 “Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, hutawaacha hai mtu ye yote...” 2. 1 Samweli 15:3 “Sasa nenda, ukawapige Amaleki, ukaangamize kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala...
  7. The Supreme Conqueror

    Hadithi ya Bwana Ugoko na Wapangaji Wenzake.

    Wapangaji 6 Wa nyumba moja walichanga changa na kununua bastola kujihami dhidi ya majambazi. Makubaliano kuwa kwa kuwa bwana Ugoko yuko chumba cha karibu na mlango Wa kuingilia awe analala na bastola tayari kumkabili yeyote atakayejaribu kuwavamia Siku bastola ilipowasili toka dukani na kutua...
  8. J

    Sala ya Bwana ni nini

    Sala ya Bwana ni nini Sala ya Bwana Sala ya Bwana ni sala ambayo Yesu Kristo aliwafundisha wanafunzi wake, kabla ya kuondoka kwake. Na kwa kupitia sala ile, hakuwafundisha tu wanafunzi wake bali alitufundisha na sisi pia. Maana yake ni kwamba, nasi pia tunapaswa tuombe kama vile Bwana...
  9. ELI COHEN

    Unamkejeli mdada kugeukia JF kutafuta bwana kisa amevuka 30 eti mtaani hasomeki. Hivi boy anakuwaje na wivu juu ya intentions za kimapenzi za mdada?

    Its either wanaingilia harakati zako humu au basi wewe ni sadist. Kuna wakati mwanaume alichohangaika na mwanamke ni kupata penzi lake pekee ila siku hizi vijana wa kiume nao wanaumia na maamuzi ya kimapenzi ya wadada 🤣🤣 Trash🚮🚮
  10. Komeo Lachuma

    PreGE2025 POTOSHI Rais mstaafu Kikwete anasema uchaguzi uliopita (2020) Ridhiwani Kikwete hakuwa na mpinzani ndani ya CCM

    Ndugu mstaafu kikwete amedanganya umma kuwa hata awali ridhiwani alipita bila kupingwa Si kweli. Ridhiwani alipingwa na ushindani ulikuwa mkubwa tu wa kutosha mwaka huu kubadili matokeo. Na huu hapa ni ushahidi. Si vizuri kwa mtu wa umri wake kusema amedanganya. Mila zetu haziruhusu. Ila mtu...
  11. D

    Wanaufufuo na watu wote mnakaribishwa kesho tujumuke kwa ajili ya bwana Mungu wetu

    Ndugu zangu wapendwa huu ndiyo wakati wa kuwa imara zaidi kuliko wakati wowote. Simama na mathayo 10:28 HATISHWI MTU Kumbukeni hili msije kusahau hata siku moja! Mungu yupo pamoja nasi wakati wote, Yeye mwenyewe Alisema DUNIANI MNAYO DHIKI LAKINI JIPENI MOYO, MIMI NIMEUSHINDA ULIMWENGU (Yohana...
  12. BWANA WANGU

    WAPANGAJI TUKUTANE HAPA TUPEANA MACHIMBO MAKALI YA KUISHI.

    Eeeh bana habari za saa hii mkuu, heshima yenu. Nataka nikapange mitaa ya kwa aziziali, tafadhali naombeni A,B,C zenu kuhusiana na kipande icho. Asante sana.
  13. Mikopo Consultant

    Nikiangalia nembo ya Bibi na Bwana na hii ya 'Made in Tanzania', napata hisia kwamba Tanzania has stagnated across many fronts

    Hii inahitaji kuwa basis ya national dialogue; Tanzania haijafika tu kwenye stagnation ya democracy kama wengi wanavyodhani, bali kuna other fronts ambazo ukizimulika deeply utagundua kwamba zinaanguka. Hii tafsiri yake ni kwamba, wakati serikali yetu ikiendelea ku pump uchumi ukue kwa...
  14. feyzal

    Mapenzi bwana ,Man down

    Usimkabidhi mwanamke Moyo wako over
  15. Mikopo Consultant

    Hivi maana halisi ya 'Madhabahu' ni nini? Kwanini Bwana huwapa baraka ya kudumu wanaomjengea 'Madhabahu'?

    Nimejeuka kusoma soma Biblia kwa hii miezi michache, kuna jambo kama limeitekenya akili yangu. Kwanza, kwenye agano la kale, waliopewa uongozi wote waliishia kumjengea Bwana Madhabahu. Nuhu, Abrahamu, Daudi etc etc Na kwenye agano la kale, 'Madhabahu' imetajwa sana. Katika kusoma kwangu, kwenye...
  16. Samia atosha tukutane2030

    Mtu anafika madhabahuni anatoka bila kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake. Hili ndilo tatizo nililoliona madhabahuni kwa Mwamposa jana

    Mtume Paul alipokuwa anachambua karama ya kunena kwa lugha na kuhutubu/ unabii aligusia umuhimu wa kuhutubu (unabii) kwa watu wasioamini wanapokuja mahali kwa walioamini. Katika karama 9 kuu ambazo mtume Paul kazigusia karama ya kunena kwa lugha na Karama ya unabii ndizo kazichambua kwa upana...
  17. L

    Mke kutoka kwa Bwana karibu

    Hodii humu ndani ! Kama kichwa Cha habari hapo juu kinajieleza, ikiwa upo humu na huenda unawaza Kama Mimi unahitaji upate mme Basi karibu Sana. Umri wangu 35 Elimu degree moja, nimejiajiri Hela ya matumizi ya kawaida ipo uwezo was kupanga nyumba nzima upo kusomesha watoto na kumtunza mama yao...
  18. Ryan Holiday

    Huu ndio ujumbe wa Wakili wa Kimataifa bwana Robert Amsterdam kwa Serikali ya CCM

    TANZANIA: DEMOKRASIA INAANGUSHWA KIMYA KIMYA "Huko Tanzania, jukwaa linaandaliwa. Sauti za upinzani zimezimwa, mikutano imepigwa marufuku, viongozi wamefungwa. Kadri uchaguzi wa mwaka 2025 unavyokaribia, kinachoandaliwa si uchaguzi—bali ni maigizo, na ni mwigizaji mmoja tu anayeruhusiwa...
  19. Komeo Lachuma

    Huyu Bwana Mdogo Shababy alitaka amwoe Aisha mke wa Muhamad pindi akifariki

    Tafsiri ya Kiswahili ya Qur'an 33:53: (Surah Al-Ahzab, 33:53)
  20. M

    Bwana yule alikuwa smart sana!

    Kwema 'Directors'? Kitendo cha Bwana yule kumzidi kete bosi wake wa wakati huo na kufanikiwa kupenya na kupeperusha bendera, kinaonesha Bwana yule alivyokuwa mjanja(smart)! Ama kwa hakika, alikuwa jogoo la shamba lililowika mjini. Alikuwa mkulima aliyevimba mbele ya watoto wa mjini na...
Back
Top Bottom