busy

In theoretical computer science, the busy beaver game aims at finding a terminating program of a given size that produces the most output possible. Since an endlessly looping program producing infinite output is easily conceived, such programs are excluded from the game.
More precisely, the busy beaver game consists of designing a halting, binary-alphabet Turing machine which writes the most 1s on the tape, using only a given set of states. The rules for the 2-state game are as follows:

the machine must have two states in addition to the halting state, and
the tape initially contains 0s only.A player should conceive a transition table aiming for the longest output of 1s on the tape while making sure the machine will halt eventually.
An nth busy beaver, BB-n or simply "busy beaver" is a Turing machine that wins the n-state Busy Beaver Game. That is, it attains the largest number of 1s among all other possible n-state competing Turing Machines. The BB-2 Turing machine, for instance, achieves four 1s in six steps.
Determining whether an arbitrary Turing machine is a busy beaver is undecidable. This has implications in computability theory, the halting problem, and complexity theory. The concept was first introduced by Tibor Radó in his 1962 paper, "On Non-Computable Functions".

View More On Wikipedia.org
  1. Logikos

    Johann Carl Friedrich Gauss - Mtoto wa miaka 7 aliyetengeneza equation baada ya mwalimu kutoa Kazi ya kuwa-keep Busy Wanafunzi

    Wanasema wengi waliona Tofaa linaanguka ila mmoja (wachache ndio waliuliza kwanini) - Ingawa hizi story huwa zina chumvi nyingi na uongo wa hapa na pale lakini hii ya Gauss inafurahisha Katika miaka ya 1780 mwalimu wa shule huko Ujerumani ili wanafunzi wake wakae kimya kwa muda wa kama nusu saa...
  2. R

    Strange, niko busy na kuteua

    Kweli hatuwalilii waliokufa? As if nothing happened on 29.10! Mungu tusaidie.
  3. PLOII

    TUMEPOTEZA TROPHY YA CHAN2024 SABABU VIONGOZI WAPO BUSY NA UCHAGUZI; kipindi tunaomba Watanzania kujitokeza kuna watu wamejifungia sehem wanachaguana.

    Kwenye Mada kwa ufupi, Ushahidi wa hili , siku kama ya jana ilitakiwa Taifa lote concentration iwe Kwa Mkapa maana mambo ya Maendeleo tutawapa Waarabu na Wachina kama PPP lakini cha kushangaza kuna watu walijifungia sehem kutafuta kupitishwa nafasi ya Ubunge badala ya kuhamasisha Watanzania na...
  4. Azoge Ze Blind Baga

    Yupo busy mno kuchat na msela nafikiria kumtimua

    Kama title inavyojieleza Maskani naishi na binti wa 2005 yapata miezi 7 sasa ni ile sogea tukae Mwanzo tulikua vizuri furaha na upendo ulitawala, nilimpa huduma zote mtoto kanawiri Mwezi wa 6 nikaona binti yupo busy sana na simu kuchat hadi ufanisi wa baadhi ya mambo ulikua mbaya...
  5. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC mlio busy sasa Kusajili hivi mmegundua kuwa tatizo lingine ndani ya Simba SC ambalo linafichwa sana na linatumaliza ni hili?

    Mtasema yote au tutasema yote sijui mara Mangungu mara try again mara tajiri kibyongo Mo Dewji mara rafiki yangu na mtani wangu wa Kiha Kocha Matola mara sijui Mtani wangu mwingine wa Kihaya Meneja Rweymamu mara Wajumbe Poti wangu kutoka Kwetu kwa Wanaume wa Shoka Mkoani Mara (Musoma) Magori...
  6. S

    Jambo nina uhakika nalo ni kwamba kuna team imeundwa iko busy kutafuta namna ya kumchafua Polepole, usishangae ukisikia kaiba fedha za ubalozi Cuba!

    Hawa CCM na serikali yao siku hizi wamekuwa predictable sana. Baada ya hii barua ya Polepole ya kujiuzulu na kuukosoa uongozi wa Raisi Samia hadharani, utakuta kuna team maalum imewekwa kutafuta namna ya kumchafua. Sasa hivi utaona statements zikianza kutolewa kuhusu maovu aliyofanya...
  7. Moto wa volcano

    U busy na simu unafanya wamama wanaolea wasiweke umakini kumtazama mtoto

    WTF ! Wanawake siku hizi pasua unakuta mdada analea mtoto muda wote busy na simu ku chart online hana muda wakuweka umakini kwa mtoto matoke yake mtoto anapata madhara kwa uzembe wa mama kuendekeza mitandao zaidi
  8. GENTAMYCINE

    Ali Mayai nakuheshimu mno, ila Kitendo cha Kufiwa na Baba yako na bado ukawa 'busy' na Urais wa TFF kumetufanya tuanze kukuona Mswahili Mswahili nawe

    Na nina uhakika hata huko Msibani na Mazishini ulikokuwa Tabora Akili zako zote zilikuwa ni Karume Ilala na Urais wa TFF.
  9. Madwari Madwari

    Tafuta hela Rais anashinda na mtoto wako ,wewe ukiwa busy na mambo yako ya kazini

  10. GENTAMYCINE

    Je, haya Mahudhurio hafifu ya Poti wangu Marehemu Profesa Sarungi Karimjee Hall ni kuwa tuko busy au tumemsusa au Chuki yetu kwa Bintiye ni chanzo?

    Sikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.
  11. Mindyou

    Tems jana kashinda tuzo ya Grammy, Zuchu yuko busy kumpikia Diamond kababu na vileja. Hawa wasanii wanakwama wapi?

    Wakuu, Hivi tutaendelea kuongozwa na Wanigeria hadi lini? Tems jana ameshinda tuzo ya Grammy kipengele cha Best African Music Performance. Mwaka jana alishinda Tayla kipengele hicho hicho. Meanwhile wasanii wa kibongo wako kimya tu kama hawaoni tuzo hizi au haziwahusu. Ni aibu kubwa sana...
  12. W

    Pasu kwa Pasu: Shilingi bilioni 318 za Pep Guardiola kugawanywa baada ya mke kudai talaka, Mke ataja sababu ni Pep kuwa busy sana

    Ukose Hela akukatae haupo bize, utafute ela akukatae uko bize Kocha mkuu wa Manchester City ya Uingereza Pep Guardiola ameachana rasmi na mke wake Cristina Serra baada ya kudumu kwenye ndoa miaka 30. Katika talaka waliyopeana mahakamani mke huyo wa Guardiola atatwaa nusu ya utajiri wa Guardiola...
  13. Poor Brain

    Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

    Usiku una mambo mengi mno Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu. Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa...
  14. Nandagala One

    Vichekesho ,CCM haina Makamu Mwenyekiti, wapo busy Kushupalia Lissu ashindwe.

    Heshima kwenu, CCM no sawa na mtu aliyeshindwa kulea na kuhudumia watoto wake, lakini anaomba kujitolea kumtunza Yatima IL Hali watoto wake wamemshinda. Angalia, Kipara kipya, Magonjwa Mtambuka,lakini na wana CCM kiujumla wanavyoshupalia kumponda Lissu,na kutamani Mbowe agombee na aendelee kuwa...
  15. sergio 5

    Wadada mnaotamba na amapiano tunawakumbusha mtapita tu shangazi zenu walikuwa busy na viduku

    Ukienda club mdada anajua kucheza piano anaringa kama mwenye degree ya MD Ukimuongelesha mashangazi nawakumbusha Kuna walikuwa wanaringa na style za VIDUKU
  16. X

    Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

    Red flags ziko nyingi ila kuna hii: Mwanamke aliye active kupost post kwenye mitandao ya kijamii kama IG, Snapchat, TikTok n.k Ukweli ni kwamba mabinti au wanawake wengi wanatumia mitandao ya kijamii kutafuta attention za wanaume. Na ndio maana wengi wao wakifuatwa DM huwa wanajibu wako single...
  17. sergio 5

    Uliye kuwa unatoka na Ex- wangu please mjali kuwa nae busy basi

    Master ulie mdanganya uyo mdada mbona penzi lenu limefifia mapema ivyo nyodo zote alizokuwa nazo mbona hana kisa nini nilivyo amua kumpuuza au? Inasikitisha Sana mpenzi wa mtu unampigia ex wako unamwambia "moyo wangu Leo unaniuma Sana uko salama uko ulipo". Hivi hana watu wengine wa kumufanya...
  18. comte

    CHADEMA wanakiri udhaifu wao kwa vitendo; Mbowe yuko busy anawajazia fomu wagombea wa CHADEMA uchaguzi wa serikali za mitaa

    mwaka 2019 wagombea wengi wa CHADEMA walienguliwa kwa sababu ya mapungufu makubwa kwenye ujazaji wa fomu za uteuzi. Mwaka 2024 CHADEMA wamejifunza somo sasa viongozi wote wanawasaidia kujaza fomu ili lisiwapte la 2019. Ni jambo jema kukiri makosa kwa vitendo FRV. Gaspar E. Temba...
  19. B

    Chaguzi si uadui tujifunze kwa wenzetu waliko busy kugawa upendo. Trump apika na kugawa chipsi mgahawani!

    Chaguzi hushindwa kwa kuwavutia wapiga kura: Chaguzi hazishidwi kwa shinikizo au wizi: Kuna ya kujifunza hapa kama tuna macho lau masikio!
  20. C

    UPO BUSY? NIONE NIKUSAIDIE KAZI

    Habari! Pamoja na kazi yangu ya ulinzi, napenda kuwajulisha kuwa naweza kukusaidia kwenye mambo mengine kwa gharama nafuu. Hapa chini ni huduma zangu: Mafunzo ya Kitaaluma: Unahitaji msaada katika masomo? Niko tayari kukuandaa au mwanafunzi wako katika masomo ya Kiingereza, Hesabu, Sayansi kwa...
Back
Top Bottom