bungeni

Bungeni is a large sprawling rural settlement situated on top of one of the foothills of the Soutpansberg mountain in Louis Trichardt, Limpopo Province, South Africa. The Levubu agricultural plantation, where avocado, bananas, litch, Macadamia nuts, peaches and mangoes are grown in abundance is just 3km away north of Bungeni village. It lies 35 km east of Makhado, with the R578 road (South Africa) passing through it. With more than 30 000 people, Bungeni is the largest Tsonga village in Makhado local municipality. In 1994 and in 2016, administrative control of this western portion of Gazankulu has been sub-divided in half and allocated to two Municipalities, first in 1994 to Makhado Local Municipality and in 2016, to the New Malamulele Municipality in the Vhembe district. As of April 2016, the Western portion, known as 'Bungeni West' by the locals, has remained in Makhado local municipality, while the eastern portion, known as 'Bungeni east', has been allocated to the new Malamulele Municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Watu wafupi nchini 'Wajukuu wa Samia' (Mr Pimbi, Tausi) watua Bungeni, wakaribishwa kwa makofi mazito

  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari awasilisha muswada wa marekebisho ya Sheria Tisa (9) Bungeni, agusa Bandari na Uhujumu Uchumi

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari akiwasilisha maelezo ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2025 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2025) Juni 5, 2025 Bungeni Jijini Dodoma. Aidha mara baada ya kuwasilisha maelezo hayo, Mjumbe wa Kamati ya...
  3. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hawa ndio wabunge ving'ang'a wanaotaka kuzeekea bungeni, kwani Wana hisa pale mjengoni??

    Hawa ndiyo wabunge wenye muda mrefu bungeni, mtu amekaa miaka 30 ila majimbo yao yana shida ya maji, umeme, changamoto za kilimo n.k. Nadhani ni muda sasa wapumzike. William Lukuvi George Huruma Mkuchika Mussa Azzan Zungu George Boniface Simbachawene Job Ndugai Hussein Nassor Amar Jason...
  4. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Prof. Sospeter Muhongo, Leo bungeni Dodoma (Bajeti ya Wizara ya Afya)

    Prof. Sospeter Muhongo, LEO BUNGENI DODOMA (Bajeti ya Wizara ya Afya) Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ametoa mchango wake Bungeni akielezea mengi yakiwemo: Musoma Vijijini wameamua kujenga zahanati moja kila kijiji. Jumla ya vijiji ni 68 Taifa lisomeshe vijana...
  5. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Dr. Josephath Gwajima hakukosea kuingia bungeni!

    Mwaka 2020 niliposikia Dr Gwajima anagombea ubunge, nilifikiri "kapotoka". Ningekuwa jimboni kwake kipindi hicho nisingempa kura yangu! Lakini sasa nimegundua nilikuwa nimekosea! Alikuwa sahihi sana! Kama si Gwajima kuingia bungeni, GWAJIMANIZATION ingetoka wapi? Naomba msamaha kwa...
  6. ngara23

    JamiiForums Tanzania Mbunge wangu hajawahi kuongea wala kutuliza swali lolote Bungeni Kwa miaka yote

    Mbunge wetu kutoka Jimbo la Kyerwa, Innocent Bilakwate,amekuwa bungeni Kwa mihula miwili, Vipindi vyote hajawahi kuchangia hoja au mawazo yoyote bungeni, Mbunge wetu hajawahi kutuliza swali la msingi wala la nyongeza bungeni, Tukimuuliza vipi mbona bungeni hatukusikii na bunge liko live...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Picha ya mbunge bashiru bungeni inaweza kutupa nini kilichopo bungeni

    Hapa ndio ufahamu kuwa CCM imejaza vilaza na propaganda zao. Bungeni unaweza kuona mpita njia anauliza mpita njia kuwa na wewe unapita.
  8. G Sam

    JamiiForums Tanzania Esther Matiko hivi ukiangalia hii video bado una nguvu ya kuongea uliyoongea jana bungeni?

    Askari polisi abakufanyia udhalilishaji hadharani na bado una nguvu ya kuongea uliyoongea jana. Kwa wenzetu hiyo ni kesi kubwa kama mhusika akivalia njuga na anaungwa mkono na mamlaka. Ila wewe sasa. Hii video watakuja kuiona wanao wakiwa watu wazima kisha wataangalia ulizungimza nini!
  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Je, kuongea matusi bungeni kunaruhusiwa ?

    Kwa kanuni za bungeni , ni ruksa mbunge kutukana matusi .? Ikiwa matusi hayaruhusiwi je inakuaje Mbunge anaongea lugha Kali zenye viashiria Vya matusi na hachukuliwi hatua yoyote?. Kwakuwa sehemu Kama Bungeni ni sehemu ambayo zamani iliaminika inawakutanisha watu Fulani wenye upeo wa juu wa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania WanaCCM tusiwe wajinga. Mambo ya chama yaishie kwenye miambali ya chama, kuyaleta bungeni kujadiliwa ni aibu kubwa

    Kichwa cha mada chajitosheleza. Hii inaleta picha kuwa hatuna cha kujadili juu ya nchi...vikao vya chama kwa sehemu zake ziko kujadili haya. Ifike kipindi hata km tutakuwa wote ni Ccm ndani ya Bunge ni marufuku kuleta mada za chama. Hii inatujengea picha mbaya. Hatuwezi maliza mambo yetu ndani...
  11. Mayor Quimby

    JamiiForums Tanzania Dr Kimei atolewe bungeni akafundishe finance UDSM muda wake uliobaki

    https://www.youtube.com/watch?v=xAkwL-MkyWk Sio sawa mtu mwenye werevu mpana kama wa 'Dr. Kimei' kwenye maswala ya finance kwa mazingira yetu kuondoka bila ya kutoa elimu ya finance kwa viongozi wa baadae. UDSM inatakiwa kuandaa programme ya MBA ya Finance and Banking huku Kimei akiwa kama...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Mbunge Felista Njau atuzwa Pesa Bungeni baada ya kuchangia Bajeti ya Mambo ya Ndani

    Mbunge Felista Deogratius Njau akituzwa pesa leo Jumatatu, Mei 26, 2025, bungeni jijini Dodoma baada ya kuchangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mwaka wa fedha 2025/26.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hoja binafsi iwasilishwe Bungeni ili kulinusuru taifa na balaa la utekwaji

    Kwa sababu imeomekana kuwa ni janga la taifa letu basi Bunge letu kama linavyotakiwa kuisimamia serikali. Basi hoja Binafsi iwakilishwe na ikiwezekana Bunge liazimie.
  14. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania LEO BUNGENI DODOMA - Bajeti ya Wizara ya Kilimo

    LEO BUNGENI DODOMA - Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, ameelezea umuhimu wa uanzishwaji wa Mradi wa Kilimo cha Umwagiliaji ndani ya Bonde la Bugwema la Jimboni mwao. Mbunge huyo ameeleza mengi, yakiwemo yafuatayo: (i) Mhe Rais Dkt Samia...
  15. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Ndaisaba Ruhoro Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo Bungeni Jijini Dodoma

    NDAISABA RUHORO AKICHANGIA HOTUBA YA BAJETI KUU YA SERIKALI YA WIZARA YA KILIMO, BUNGENI JIJINI DODOMA Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro tarehe 21 Mei, 20245 amechangia hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Wizara ya Kilimo ambapo amempongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwita Waitara ageuka Mwalimu wa Kubeti Bungeni, adai masuala ya Kubeti yanasomwa Shuleni, atumia mfano wa Simba na Yanga

    Mbunge wa Tarime vijijini ameibuka na Vijana wanao Beti na kusema somo hilo watu wanasoma kutoka shuleni. Amesema hata yeye amesoma darasani kuhusu mambo ya kubeti huku akitolea mfano na karatasi kubwa bungeni.
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mpina amvaa Waziri Jafo Bungeni: Wizara ifutwe, bidhaa Feki zimejaa, ni huzuni!

    Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, ameibua taharuki bungeni leo Mei 14, 2025, baada ya kumvaa vikali Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, wakati wa mjadala wa bajeti ya wizara hiyo. Mpina amesema wizara hiyo imekuwa ikishindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo, hususan katika...
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Marekani akifanya utoto bungeni.

    Bunge la Marekani limekuwa kama chumba cha maigizo siku za hivi karibuni, watu wanafanya ujinga ujinga tu huko kama wa kwenye shitholes
  19. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ndaisaba Ruhoro Awasilisha Hoja za Maafisa Ugani Bungeni

    MBUNGE NDAISABA RUHORO AWASILISHA HOJA ZA MAAFISA UGANI BUNGENI Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro leo tarehe 09 Mei, 2025 bungeni jijini Dodoma amefikisha mahitaji ya maafisa ugani ili waendelee kuwahudumia wananchi kwa ufanisi zaidi. Katika maswali yake, Ndaisaba Ruhoro...
  20. Trainee

    JamiiForums Tanzania Miongoni mwa wabunge wanaotakiwa kurudi bungeni Oktoba 2025 basi Waziri Mkuu Majaliwa ni wa kwanza!

    Nimeshasema mara kadhaa humu huyu mzee wa watu amefanya maajabu makubwa sana Ruangwa tofauti na waheshimiwa wengine kwenye maeneo yao. Mwenye macho haambiwi tazama WanaRuangwa nawakumbusha tu kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ndiye mtu sahihi ambaye anatakiwa kutuwakilisha tena bungeni kwa...
Back
Top Bottom