Huko nyumbani Tanzania, danadana za kisheria zikiendelea mahakamani juu ya kesi iliyopewa jina la "Uhaini waTundu Lissu", katika duru na anga za kimataifa nako mambo ni moto, mwamba anapiganiwa vilivyo...
Bunge la Ulaya [EU - Parliament] na Umoja wa vyama vya kidemokrasia Afrika - Democratic...
Moto unazidi kuwaka.
Mr.Michael Gahlev, mratibu wa mambo ya nje katika Bunge la ulaya, amewasilisha mapendekezo kwenye Umoja wa ulaya, kuhusu Hali ya Tanzania.
Mapendekezo hayo ni pamoja na viongozi wanaojihusisha na uminywaji wa demokrasia na Hali za binadamu kuwekewa vikwazo vikali na Umoja...
Sasa ninawaonya CCM na Machawa wenu , Njia mnayoelekea mbeleni ni Giza kubwa.
Warusi na Wachina na Wakorea wasiwadanganye !!.
UKWELI NI KUA, UCHAGUZI 2025 BILA CHADEMA, HAUTATAMBULIWA NA BARA LA ULAYA, WALA MAREKANI !!.
Nadhani Athari ya Jambo Hilo juuu mnaijua vizuri kabisa !!.
Tunaenda na...
"Vita dhidi ya TUNDU LISSU , ni vita dhidi yetu, ni vita dhidi ya Wanademokrasia , ni vita dhidi ya Interests za Ulaya na Dunia ya kidemokrasia ".... Bunge la Ulaya !!.
Kuna wajinga ,wajinga, machawa darasa la Saba, watakuja wawaambie Serikali na Dola ya watu wajinga "Sisi ni Nchi huru...
Ni aibu kubwa kwa taifa bunge zima tangu utekaji umetamalaki wanakaa kimya amejitokeza mmoja wao Askofu Joseph Gwajima akatoa ushauri tena nje ya bunge kuhusu utekaji unaoendelea ameonekana kukosea pakubwa na wengine kufikia kuita wananchi kenge.
Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa...
Mbunge wa Tabora Mjini kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Emmanuel Adamson Mwakasaka, akichangia bajeti la wizara ya maliasili na utali amegusia pia kuhusu wapinzani wao kisiasa, ambao ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kuhusu kukimbilia Bunge la Ulaya.
Ndugu zangu Watanzania,
Nimegundua hawa ndugu zetu wazungu wanafanya mambo au kutoa matamko au kuzungumza jambo au mambo au kitu. Au kutoa taarifa au kujadili jambo au taarifa au kufanya maamuzi kwenye jambo fulani kwa taarifa au habari za kusikia tu au kuambiwa tu au kulishwa na kupotoshwa tu...
Inawezekana kabisa shida ya viongozi wetu walivyo, kwao kukosolewa ni sawa na kunyofolewa ngozi na ama kiungo kimojawapo cha mwili na au kujihisi wanakosa akili pindi wanapokosolewa
Kumbe akili zao zipo palepale na ngozi au viungo vyao vipo pale pale
Lakini kwa nini inawauma hivyo hadi kufikia...
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, ameonyesha kushangazwa na kimya cha Bunge la Tanzania katika kushughulikia masuala nyeti ya kitaifa, akilituhumu kuwa limekimbia majukumu yake ya msingi.
Akizungumza jijini Arusha hii leo Mei 8, 2025 katika mkutano wa TLS...
Wakuu,
Akiwa anazungumza kwenye kipindi cha Goodmorning cha Wasafi, Tulia Ackson amekosoa vikali azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kutaka Serikali ya Tanzania imuachie Tundu Lissu
"Baadhi ya sheria kama Uhaini, mapenzi ya jinsia moja yote yalianzishwa enzi za ukoloni, sasa hivi wamebadilisha...
Ikiwa Bunge la Ulaya wanajiona wanahuruma na wapo tayari kubeba misalaba ya mataifa mengine, basi eem, tujiulize yafuatayo:
1. Ni nani hasa wameizuia CHADEMA kushiriki uchaguzi mkuu wa Tanzania? Je, kuna ushahidi wa kisheria au ni maneno ya kisiasa yasiyo na msingi wa kikatiba?
2. Kwa kutumia...
https://youtu.be/y9z3-27Xmto?si=M-gCdeXeZoxzZogf
Ni kwa Tanzania kukiuka mikataba na matamko ya kimataifa kuhusu haki za binadamu, Uhuru na demokrasia..
Wazitaka nchi wanachama wao kuiwekea vikwazo Tanzania ikiwemo kusitisha misaada ya kimaendeleo ktk sekta mbalimbali kama nishati, afya, ulinzi...
TAMKO LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUHUSU AZIMIO LA BUNGE LA ULAYA
Dar es Salaam, 8 Mei 2025
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea taarifa ya azimio lililopitishwa na Bunge la Ulaya tarehe 8 Mei 2025 kuhusu mwenendo wa mashauri ya kisheria yanayoendelea nchini Tanzania. Wakati...
https://youtu.be/zJJTDTAdmMA?si=2-OHtOWYBhnzGLZk
Anasema;
• Ni aibu sana kwa kesi ya Tundu Lissu kujadiliwa Bunge la EU kwa sababu Bunge la Tanzania ndilo lililopaswa kujadili jambo hili na kuhakikisha linaisimamia serikali kuhakikisha haki, sheria na taratibu za kidemokrasia zinazingatiwa na...
Baada ya Bunge la Ulaya (EU) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu ukiukwaji wa haki za Binadamu Nchini Tanzania ikiwemo mashtaka yanayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na kutoa azimio kuwa aachiwe huru bila masharti
Suala hilo lilijadiwa jana Mei 7, 2025, ambapo Wabunge mbalimbali...
Nimeona mangimeza kutoka ukuryani mlevi mwenzangu wa konyagi na mchezaji maarufu wa litungu mdogo wangu huyu ndugu mwita waitara akijaribu kuchomoa mishipa ya shingo na kuliambia bunge la ulaya eti wawakome !!!
Hao wanaowanyoshea vidole kwamba nyinyi ni madikteta ndiyo wanaoamua mpate Nini na...
Kwa Mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 na Sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge (Sura ya 296)
1. UTANGULIZI
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni chombo cha kikatiba chenye wajibu wa kisheria wa kutunga sheria, kuisimamia Serikali na kuwakilisha wananchi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kuna uwezekano wazungu Wameanza kupoteza uwezo wa kufikiri na kupambanua Mambo, wameanza kudumaa kiakili, wameanza kufikiri wapo bado enzi za ukoloni,wameanza kufikiri labda sisi ni Makoloni yao.
Napenda kuwaambia ya kuwa Tanzania ni Nchi huru na Taifa huru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.