Kila la heri Chifu.Kama kuna mtu anahitaji mtu wa kufanya kazi yoyote ya halal nipo hapa napatikana mkoa wa Arusha kwa yeyote mwenye connection ata dar es salaam naweza kuja kama kuna mwenye kazi tafadhali
Jiajiri. Ingia maabara tengeneza bidhaa. Kama una uwezo wa kufundisha wanafunzi hayo masomo basi una ujuzi mkubwa. Angalia namna utakavyoifanya mirungi iwe kwenye form ya vidonge, iwe rahisi kuhifadhiliwa, kusafirishwa na kudumu bila kuharibika.Kama kuna mtu anahitaji mtu wa kufanya kazi yoyote ya halal nipo hapa napatikana mkoa wa Arusha kwa yeyote mwenye connection ata dar es salaam naweza kuja kama kuna mwenye kazi tafadhali
Jiajiri. Ingia maabara tengeneza bidhaa. Kama una uwezo wa kufundisha wanafunzi hayo masomo basi una ujuzi mkubwa. Angalia namna utakavyoifanya mirungi iwe kwenye form ya vidonge, iwe rahisi kuhifadhiliwa, kusafirishwa na kudumu bila kuharibika.
Kila la heri Chifu.
Wazee wa kunanga walimu mpitwe mbali na hayo mapepo ili Ndugu yetu apate kibali chema cha kazi. Amina.
Sawa sawakwanza elewa kuwa kazi ya ajira rasmi utapata. lakini itakuja kwa wakati sahihi. kwa sasa fanya namna upate mtaji ufanye biashara au fikiria hata kuanzisha kituo cha tuition.
mahusiano kimapenzi kaa nayo mbali.