Chadema Yapandisha Bendera Kituo cha Polisi

Chadema Yapandisha Bendera Kituo cha Polisi

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
395
Reaction score
400
IMG-20260517-WA0114.jpg

Baada ya Chadema Kuchoma Kituo cha Polisi Nyankumbu mkoani Geita, leo CHADEMA wameamua kupandisha bendera yao mbele ya kituo hiko cha polisi katika mlingoti unaopandishwa bendera ya Jeshi la Polisi.

Hii ni Ishara kuwa Chadema wamedharau jeshi la Polisi na sasa wamedhamiria kuteka, kulipua na kuchoma vituo vyote vya polisi nchini ili waweze kupandisha bendera zao.

TUWE MACHO
 
View attachment 3589862
Baada ya Chadema Kuchoma Kituo cha Polisi Nyankumbu mkoani Geita, leo CHADEMA wameamua kupandisha bendera yao mbele ya kituo hiko cha polisi katika mlingoti unaopandishwa bendera ya Jeshi la Polisi.

Hii ni Ishara kuwa Chadema wamedharau jeshi la Polisi na sasa wamedhamiria kuteka, kulipua na kuchoma vituo vyote vya polisi nchini ili waweze kupandisha bendera zao.

TUWE MACHO
Taarifa nzuri, ila maelezo yanaonesha unamatatizo akili na mwili.
 
View attachment 3589862
Baada ya Chadema Kuchoma Kituo cha Polisi Nyankumbu mkoani Geita, leo CHADEMA wameamua kupandisha bendera yao mbele ya kituo hiko cha polisi katika mlingoti unaopandishwa bendera ya Jeshi la Polisi.

Hii ni Ishara kuwa Chadema wamedharau jeshi la Polisi na sasa wamedhamiria kuteka, kulipua na kuchoma vituo vyote vya polisi nchini ili waweze kupandisha bendera zao.

TUWE MACHO
Samahani mleta taarifa/habari hii. Je kitu gani kinaweza kutuhakikishia kwamba hao wanaopandisha bendera ya chadema kuwa ni chadema?
Tafadhari uongezee nyama kidogo kwenye hii habari.
 
Back
Top Bottom