belarus

Belarus, officially the Republic of Belarus, is a landlocked country in Eastern Europe. It is bordered by Russia to the east and northeast, Ukraine to the south, Poland to the west, and Lithuania and Latvia to the northwest. Covering an area of 207,600 square kilometres (80,200 sq mi) and with a population of 9.4 million, Belarus is the thirteenth-largest and the twentieth-most populous country in Europe. The country is administratively divided into seven regions. Minsk is the capital and largest city.
Until the 20th century, different states at various times controlled the lands of modern-day Belarus, including Kievan Rus', the Principality of Polotsk, the Grand Duchy of Lithuania, the Polish–Lithuanian Commonwealth, and the Russian Empire. In the aftermath of the Russian Revolution in 1917, different states arose competing for legitimacy amidst the Civil War, ultimately ending in the rise of the Byelorussian SSR, which became a founding constituent republic of the Soviet Union in 1922. After the Polish-Soviet War, Belarus lost almost half of its territory to Poland. Much of the borders of Belarus took their modern shape in 1939, when some lands of the Second Polish Republic were reintegrated into it after the Soviet invasion of Poland, and were finalized after World War II. During World War II, military operations devastated Belarus, which lost about a quarter of its population and half of its economic resources. The republic was redeveloped in the post-war years. In 1945, the Byelorussian SSR became a founding member of the United Nations, along with the Soviet Union.
The parliament of the republic proclaimed the sovereignty of Belarus on 27 July 1990, and during the dissolution of the Soviet Union, Belarus declared independence on 25 August 1991. Following the adoption of a new constitution in 1994, Alexander Lukashenko was elected Belarus's first president in the country's first and only free election post-independence, serving as president ever since. Lukashenko's government is widely considered to be authoritarian and human rights groups consider human rights in the country to be poor. Belarus is the only country in Europe officially using the death penalty. Lukashenko continued a number of Soviet-era policies, such as state ownership of large sections of the economy. In 2000, Belarus and Russia signed a treaty for greater cooperation, forming the Union State.
Belarus is a developing country ranking very high in the Human Development Index. It has been a member of the United Nations since its founding and a member of the CIS, the CSTO, the EAEU, and the Non-Aligned Movement. It has shown no aspirations for joining the European Union but nevertheless maintains a bilateral relationship with the Union, and likewise participates in two EU projects: the Eastern Partnership and the Baku Initiative.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Urusi kupeleka mfumo unaofyatua makombora ya nyuklia Belarus

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kuisaidia Belarus kwa kuwapelekea mifumo ya Iskander-M inayoweza kufyatua makombora ya nyuklia Putin ameweka msimamo huo baada ya kukutana na Rais wa Belarus ambaye amekuwepo madarakani kwa miaka 27, Alexander Lukashenko Jijini Saint Petersburg. Aidha...
  2. MK254

    Urusi yaanza janja janja za kuvuta Belarus kwenye vita

    Hali imekua ngumu, Ukraine waligeuza kibao na kuanza kuwasukuma Warusi, hao Warusi walijaribu kubembeleza Belarus waingie kwenye vita ikashindikana, sasa wameanza janja za kupiga mabomu ndani ya Belarus ili ionekane kana kwamba Ukraine wameshambulia. Ndege ya Urusi ilipaa kutokea Belarus kisha...
  3. MK254

    Waasi wa Belarus wajiunga kwenye mapambano dhidi ya Urusi

    Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na...
  4. S

    North Korea yasema imefanya jaribio la kutengeneza mfumo wa setilaiti ya udukuzi wa kivita (millitary reconnaissance satellite)

    North Korea imesema ilicheki ufanisi wa mifumo ya kamera na mifumo mingine ktk jaribio lake muhimu zaidi la kutengeneza setilaiti ya udukuzi wa kivita. Hayo yanajiri baada ya nchi hiyo kulaumiwa jana kwa kurusha kombora la balistiki. Setiliti hizi hutumika ktk oparesheni za kijeshi na...
  5. S

    Belarus yaamua kuachana na sera yake ya kutokuwa na silaha za nyuklia, itarejesha tena silaha zake za nyuklia kwenye ardhi yake

    Nchi ya Belarus kupitia kura iliyopigwa Jumatatu, imeamua kuachana na sera yake ya kutokuwa na silaha za nyuklia na hivyo ipo tayari kurejesha silaha zake za nyuklia iliyozikabidha kwa Putin pasi na masharti yoyote. Pia imeamua kuyaweka majeshi ya Russia kwa kudumu katika ardhi yake. Hatua...
  6. 5523

    Ukraine agrees to hold talks with Russia at Belarus border

    Kyiv to send delegation of officials for talks with Russian counterparts on the Ukraine-Belarus border, Zelensky says Aljazeera Ni wazi Putini amesarenda, hali si ya kawaida sana Russia wamekumbana na joto kali sana miji ya Kiev., Russia ndio walitaka haya mazungumzo awali nadhan vikwazo...
  7. Suley2019

    Urusi yaanza mazoezi ya kijeshi ya siku kumi na Belarus

    Urusi na Belarus zinaanza siku 10 za mazoezi ya pamoja ya kijeshi huku kukiwa na hofu inayoendelea ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Belarus ni mshirika wa karibu wa Urusi na ina mpaka mrefu wa kusini na Ukraine. Marekani imetaja mazoezi hayo - ambayo yanaaminika kuwa ndiyo makubwa zaidi ya...
  8. beth

    Belarus: Kiongozi wa Upinzani ahukumiwa kifungo cha miaka 18 gerezani

    Sergei Tikhanovsky ambaye aliongoza maandamano makubwa dhidi ya Rais Alexander Lukashenko amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela kwa hatia ya kuandaa machafuko na kuchochea chuki Tikhanovsky alipanga kugombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 dhidi ya Rais Lukashenko lakini alikamatwa Lukashenko...
  9. beth

    Belarus: Serikali yaainisha chaneli maarufu za Upinzani kama Mashirika yenye itikadi kali

    Serikali imeainisha chaneli tatu maarufu za Upinzani Mitandaoni kama Mashirika yenye itikadi kali, ikimaanisha watu wanaweza kufungwa jela kwa hadi miaka saba kwa kujisajili. Chaneli katika Mitandao ya Kijamii zilitumika kwa wingi katika kuandaa maandamano makubwa dhidi ya Rais Alexander...
  10. Miss Zomboko

    Belarus: Kiongozi Mkuu wa Maandamano ahukumiwa miaka 11 jela na mwenzake miaka 10

    Kiongozi wa upinzani Belarus, Maria Kolesnikova amehukumiwa kifungo cha miaka 11 jela. Vyombo vya habari vya Belarus vinaripoti kuwa hii ni baada ya kuhusika katika maandamano ya mwaka jana kufuatia uchaguzi uliokumbwa na utata nchini humo. Mshirika wa Kolesnikova ambaye pia ni wakili Maxim...
  11. beth

    TANZIA Mwanaharakati wa Belarus akutwa amefariki dunia nchini Ukraine

    Vitaly Shishov ambaye ni Kiongozi wa Kundi linalosaidia watu waliokimbia Belarus amekutwa akiwa amefariki dunia karibu na nyumbani kwake Nchini Ukraine, ikiwa ni siku moja baada ya kuripotiwa hajulikani halipo. Polisi wamesema wanachunguza kama Shishov aliuawa na mazingira kutengenezwa ili...
  12. beth

    Belarus: Mpinzani wa Rais ahukumiwa kifungo cha miaka 14

    Mpinzani wa zamani wa Urais wa Taifa hilo, Viktor Babaryko, amehukumiwa kifungo cha miaka 14 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye mashtaka ya kupokea rushwa na utakatishaji fedha. Babaryko ni miongoni wa Wapinzani wakuu wa Rais Alexander Lukashenko ambayo wamefungwa au kulazimika kukimbia Nchi...
  13. beth

    Marekani yapiga marufuku mauzo ya tiketi za Belarus

    Marekani imepiga marufuku mauzo ya tiketi za ndege kutoka na kuelekea Belarus, ikiwa ni mwezi mmoja tangu Ndege ya Ryanair ilipolazimishwa kutua na Mwandishi wa Habari kukamatwa Hatua hiyo ni mwendelezo wa maamuzi yaliyochukuliwa dhidi ya Rais Alexander Lukashenko ambaye anatuhumiwa kufanya...
  14. beth

    Belarus yawekewa vikwazo baada ya kulazimisha ndege itue na kumkamata Mwandishi wa Habari

    Viongozi wa Umoja wa Ulaya (EU) wamekubaliana kuwekwa vikwazo dhidi ya Belarus kufuatia tukio la Ndege kulazimishwa kutua ili kumkamata Mwandishi wa Habari mwenye aliye na mrengo wa Upinzani. Roman Protasevich alikuwa kwenye ndege kutokea Ugiriki kwenda Lithuania ambayo ililazimika kutua Mji...
Back
Top Bottom