belarus

Belarus, officially the Republic of Belarus, is a landlocked country in Eastern Europe. It is bordered by Russia to the east and northeast, Ukraine to the south, Poland to the west, and Lithuania and Latvia to the northwest. Covering an area of 207,600 square kilometres (80,200 sq mi) and with a population of 9.4 million, Belarus is the thirteenth-largest and the twentieth-most populous country in Europe. The country is administratively divided into seven regions. Minsk is the capital and largest city.
Until the 20th century, different states at various times controlled the lands of modern-day Belarus, including Kievan Rus', the Principality of Polotsk, the Grand Duchy of Lithuania, the Polish–Lithuanian Commonwealth, and the Russian Empire. In the aftermath of the Russian Revolution in 1917, different states arose competing for legitimacy amidst the Civil War, ultimately ending in the rise of the Byelorussian SSR, which became a founding constituent republic of the Soviet Union in 1922. After the Polish-Soviet War, Belarus lost almost half of its territory to Poland. Much of the borders of Belarus took their modern shape in 1939, when some lands of the Second Polish Republic were reintegrated into it after the Soviet invasion of Poland, and were finalized after World War II. During World War II, military operations devastated Belarus, which lost about a quarter of its population and half of its economic resources. The republic was redeveloped in the post-war years. In 1945, the Byelorussian SSR became a founding member of the United Nations, along with the Soviet Union.
The parliament of the republic proclaimed the sovereignty of Belarus on 27 July 1990, and during the dissolution of the Soviet Union, Belarus declared independence on 25 August 1991. Following the adoption of a new constitution in 1994, Alexander Lukashenko was elected Belarus's first president in the country's first and only free election post-independence, serving as president ever since. Lukashenko's government is widely considered to be authoritarian and human rights groups consider human rights in the country to be poor. Belarus is the only country in Europe officially using the death penalty. Lukashenko continued a number of Soviet-era policies, such as state ownership of large sections of the economy. In 2000, Belarus and Russia signed a treaty for greater cooperation, forming the Union State.
Belarus is a developing country ranking very high in the Human Development Index. It has been a member of the United Nations since its founding and a member of the CIS, the CSTO, the EAEU, and the Non-Aligned Movement. It has shown no aspirations for joining the European Union but nevertheless maintains a bilateral relationship with the Union, and likewise participates in two EU projects: the Eastern Partnership and the Baku Initiative.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    Mkataba wa Kiluwa wa Trilioni 17 wa kujenga viwanda Pwani ni zaidi ya Utajiri wa Mo Dewji (Tajiri Namba Moja Afrika Mashariki)

    Mfanyabiashara wa Tanzania Kiluwa amesaini mkataba wa ubia wa uwekezaji wenye thamani ya Dola za Kimarekani Billion 7 ambazo ni zaidi ya Trillion 17 na billion 800 za Tanzania kwa lengo la kuanzisha na kuendeleza viwanda vikubwa nchini Tanzania katika Mkoa wa Pwani. Hivi Kiluwa sindiyo yule...
  2. O

    KUMBUKIZI (2019): Magufuli alipompokonya Ardhi ya Ekari 1,000 Mohamed Kiluwa hadharani kwa udanganyifu

    Tarehe 7 Juni 2019 aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayatui Magufuli alikutana na wafanyabiashara kutoka Kila Mkoa Ikulu ya jijini Dar es Salaam. Ref: Ikulu, Dar: Rais Magufuli akutana na Wafanyabiashara Wakubwa kutoka kila Wilaya nchini. Ataja changamoto za...
  3. OLS

    GE2025 Uchaguzi wa Belarus 2020 unataka kuwa na ufanano na uchaguzi wa Tanzania 2025

    Rais wa Belarus, Alexander Lukashenko amekuwa madarakani tangu 1994. Katika Uchaguzi wa 2020 aliona kabisa angeweza kuondolewa madarakani kutokana na kukubalika kwa mpinzani wake Syarhei Tsikhanouski. Syarhei Tsikhanouski alikamatwa na kufungwa siku mbili baada ya kutangaza nia yake ya kugombea...
  4. Roving Journalist

    Waziri Mkuu Majaliwa amaliza ziara Belarus, anadi fursa za uwekezaji

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa ametumia ziara yake nchini Belarus kunadi fursa za uwekezaji katika maeneo manne ya kipaumbele ya Serikali ya awamu ya sita ambayo ni kilimo, afya, madini na ulinzi & usalama. Waziri Mkuu katika siku mbili za ziara yake...
  5. JanguKamaJangu

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atembelea Chuo Kikuu cha Kilimo Belarus

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea Chuo Kikuu cha Kilimo cha Belarus (Belarusian State Agrarian Technical University - BSATU) na kufanya mazungumzo na viongozi wa chuo hicho wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Romaniuk Nikolai. Mazungumzo hayo yamefanyika leo (Jumatano, Julai 23, 2025) kwenye...
  6. Roving Journalist

    Kassim Majaliwa na Waziri Mkuu wa Belarus, Turchin washuhudia utiaji saini Hati Tatu za makubaliano na mkataba mmoja

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameweka Shada la Maua katika Mnara wa Kumbukumbu ya Mashujaa wa Jamhuri ya Belarus. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Belarus, Alexander Turchin na kujadiliana naye masuala ya uwekezaji, biashara, nishati, madini, elimu, afya, teknolojia na...
  7. Roving Journalist

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atembelea Kiwanda cha Dawa na Zana za Kilimo Nchini Belarus

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa, leo tarehe 22 Julai 2025, ameendelea na ziara yake rasmi nchini Belarus kwa kutembelea maeneo muhimu ya uzalishaji na ushirikiano wa kimkakati. Akiwa katika mji wa Minsk, Majaliwa alitembelea kiwanda cha Belmedpreparaty, ambacho ni maarufu kwa utengenezaji wa dawa...
  8. Roving Journalist

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awasili Nchini Belarus kwa ziara ya Kikazi

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) amewasili jijini Minsk, Belarus kwa ziara ya kikazi ya siku nne kuanzia tarehe 21 hadi 24 Julai 2024. Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa nchi hiyo, Mhe. Waziri Mkuu alipokewa na Naibu Waziri Mkuu wa Belarus...
  9. Yoda

    Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

    Hakika hizi ni zama mpya, Marekani imeungana na mataifa kadhaa ya hovyo kupinga azimio la baraza la usalama la Umoja wa mataif(UN) lililowasilishwa na Umoja wa Ulaya kulaani uvamizi wa Russia nchini Ukraine na kuitaka iondoe majeshi yake Ukraine. Hata hivyo azimio hilo limepita kwa wingi ws...
  10. DeepPond

    Belarus: Akamatwa kwa kushangilia ugaidi wa Crocus HALL mitandaoni

    Mamlaka za usalama nchini BELARUS zimekamata kijana alieshangilia vifo vya raia wa kiberalus na kirusi waliouwawa na kujeruhiwak ktk tukio la kigaidi jijini Moscow kwenye ukumbi wa crocus city hall.
  11. S

    NATO walalamika kuwa Prigozhin kuhamishiwa Belarus kunahatarisha zaidi usalama wa nchi za NATO za ukanda huo

    Baada ya Prigozhin kuwasili rasmi nchini Belarus jana jumanne, NATO wameanza kulialia na kulalamika kuwa kuhamishwa kwa kiongozi wa Wagner, Prigozhin, na askari wake nchini Belarus kunahatarisha zaidi usalama wa nchi za NATO zilizo karibu na Belarus. Malalamiko hayo yamezungimzwa na marais wa...
  12. Webabu

    Kiongozi wa Wagner, Prigozhin mbona hajafika Belarus

    Kukiwa kumebaki kilomita 200 tu msafara wa vifaru vya uasi wa Wagner mara ulisitishwa na kutolewa tangazo kuwa kiongozi wa uasi huo, Prigozhin amesitisha uasi huo na kuwataka askari wake warudi makambini mwao. Pamoja na hivyo ikatangazwa kuwa kaika makubaliono ya Urusi na kiongozi huyo...
  13. MK254

    Swahiba wa Putin, Rais wa Belarus, Alexander Lukashenko alazwa baada ya kuumwa ghafla

    Nguvu nyingi ilikuwa inatumika kuficha hali ya afya ya huyu jamaa, wakawa wanakana na kusema yupo mzima anachapa kazi, maradhi yamemuumbua. Hivi Putin yuko wapi maana naye anaishi kama nguchiro tangu ile siku alikoswa koswa pale Klemrin ambapo drones zilimfikishia salamu. ==== Belarus...
  14. MK254

    Rais wa Belarus ahaha, aomba Urusi imlinde dhidi ya kichapo

    Urusi imekua ikitumia ardhi yake, ameomba hakikisho kwa Urusi kwamba itamlinda dhidi ya kichapo, mambo yanavyokwenda ni dhahiri Urusi imeshindwa, usupapawa umewaisha, wamekwama kwenye kamji ka Bakhmut na juzi kuna mikakati ya Ukraine imevujishwa namna wanajiandaa kurejesha vilivyoporwa...
  15. HERY HERNHO

    Putin akubaliana na Lukashenko kupeleka silaha za nyuklia za kimkakati nchini Belarus

    Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema amekubaliana na Rais wa Belarus Alexander Lukashenko kupelekea silaha za nyuklia za kimkakati nchini Belarus. Katika mahojiano na chombo cha habari cha Urusi yaliyotolewa jana Jumamosi, Putin alisema Lukashenko kwa muda mrefu aliibua suala la kuweka silaha za...
  16. JanguKamaJangu

    Kiongozi wa upinzani wa Belarus apewa kifungo cha miaka 15 jela kwa tuhuma za kupanga mapinduzi

    Kiongozi wa upinzani wa Belarus Sviatlana Tsikhanouskaya, aliyeko uhamishoni, Jumatatu amepewa kifungo cha miaka 15 jela, licha ya kutokuwepo nchini, baada ya kupatikana na hatia ya jaribio la mapinduzi. Uamuzi huo yeye ameutaja kuwa adhabu ya kujaribu kukuza demokrasia ya Belarus...
  17. Mrengwa wa kulia

    Belarus kujaribu kuokoa jahazi la Urusi, yatoa msaada

    Wafuatiliaji wa shughuli za kijeshi wamesema kwamba rais wa Belarus Alexander Lukashenko anatoa msaada wa kijeshi na silaha kwa Russia katika vita vinavyoendelea Ukraine. Belarus imeruhusu karibu wanajeshi wa Russia waliosajiliwa hivi karibuni kupokea mafunzo nchini humo, huku ikitoa karibu...
  18. Shujaa Mwendazake

    Tanzia: Waziri wa mambo ya nje wa Belarus afariki ghafla

    Vladimir Makey mwenye umri wa miaka 64 alishikilia wadhifa huo tangu 2012 Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus Vladimir Makey, alifariki ghafla siku ya Jumamosi, shirika la habari la Belta limeripoti, likimnukuu msemaji wa wizara hiyo, Anatoly Glaz. Alikuwa ameshikilia nafasi yake kwa muongo...
  19. M

    Belarus utadhani Bahi Dodoma kumbe Ulaya

    Mzuka wanajamvi! Mara ya kwanza kuona hii picha nilidhani Bahi, Kongwa huko kumbe ni Belarus Ulaya ya Lukashenko mshirka wa Putin. Yani hapana tofauti na Bukombe na Nyarugusu kwa kina mwamba. imhotep
  20. MK254

    Baada ya Crimea, matukio ya milipuko mingine yaibuka kambi za jeshi Urusi na Belarus

    Nahisi kuna ujumbe unatumwa kwa Putin kwamba popote kambi na kinaweza kikanuka hata sebuleni kwake kiaina bila kombora kutumwa kutoka Ukraina.....kwamba humo humo jeshini kwake wenyewe kwa wenyewe wanaweza kuliamsha.... Military bases in Russia and Belarus were rocked by an outbreak in fires...
Back
Top Bottom