Barrick Gold Corporation is the largest gold mining company in the world, with its headquarters in Toronto, Ontario, Canada. The company has mining operations in Argentina, Australia, Canada, Chile, the Dominican Republic, Papua New Guinea, Peru, Saudi Arabia, Tanzania, the United States and Zambia. More than 75% of Barrick's gold production comes from the Americas region. In 2018, it produced 4.527 million ounces of gold at all-in sustaining costs of US$806/ounce and 383 million pounds of copper at all-in sustaining costs of $2.82/pound. As of December 31, 2018, the company had 62.3 million ounces of proven and probable gold reserves.
Mratibu wa mafunzo (Supervisor Learning And Development) wa Barrick Tanzania, Elly Shimbi akiongea na Wanafunzi wa Vyuo vikuu wakati wa kongamano la kuwajengea uwezo wa kuhimili ushindani wa ajira na kujiajiri lililoandaliwa na taasisi ya kuchipua na kuendeleza vipaji vya uongozi kwa vijana...
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba (kushoto) akimkabidhi leseni ya kuongezewa muda wa uchimbaji wa mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido katika hafla hiyo , wanaoshuhudia nyuma (kushoto) ni Waziri wa Madini, Mh.Antony Mavunde na Mkuu wa...
Waziri wa Madini, Mhe. Antony Mavunde, ameipongeza Kampuni ya Dhahabu ya Barrick ambayo inaendesha shughuli zake nchini kwa ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga Minerals, kwa kufanya uwekezaji unaoendelea kuchangia kukuza uchumi na kufanikisha miradi ya kijamii ambayo inaendelea koboresha...
Afisa Mawasiliano wa Barrick, Neema Ndossi (kulia) akikabidhi msaada wa mashine ya Patient Monitor, kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala,Dkt. Zavery Benella.Wengine pichani ni Wafanyakazi wa Barrick alioongozana nao.
---
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku...
Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido (katikati) akitoa ufafanuzi katika kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ilipotembelea mgodi wa Barrick North Mara ,(kushoto) ni Meneja wa mgodi wa North Mara, Apolinary Lyambiko,(kulia) ni Meneja wa Mahusiano ya Jamii wa mgodi...
Position: Superintendent – OHS Operations
Category: Health & Safety
Job Schedule: Full time
Location: Tarime, Tarime, P.O. Box 422, TZ
Responsibilities
Develop competency and capability to ensure a skilled workforce is developed for Operations roles. Identify training requirements, develop...
Na Martin Maranja Masese
“FEDHEHA MAKUBALIANO BARRICK NA SERIKALI”
Julai 2019 Barrick Gold corporation ilinunua kampuni ya ACACIA Mining Plc kwa $428M. Hii ni baada ya mjadala wa muda mrefu kati ya BARRICK na ACACIA takribani miezi 5 ya mazungumzo BARRICK na ACACIA wakakubaliana thamani ya...
Position: Auto Electrician
Category: Underground Maintenance
Job Schedule: Full time
Location: Tarime, P.O. Box 422, TZ
Responsibilities
Ensure safe work practices, i.e. attending compulsory safety courses and meetings, use of required PPE, incident/accident reporting and ensuring total...
Position: Maintenance Supervisor
Category: Underground Maintenance
Job Schedule: Full time
Locations: Tarime, P.O. Box 422, TZ
Responsibilities
Ensure safety of all employees and contractors working in operating unit or department by driving continuous improvement towards a true safety culture...
Position: Underground Mechanical Fitter
Category: Underground Maintenance
Job identification: 226414
Job Schedule: Full time
Location: Tarime, P.O. Box 422, TZ
Responsibilities:
Ensure a healthy and safe working environment for all employees.
Maintaining, repairing mechanical issues...
SERIKALI imesema imeshapokea Dola za Marekani milioni 140 (zaidi ya Sh. bilioni 340) kutoka kwa kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Barrick ikiwa ni makubaliano waliyoingia na serikali.
Katika makubaliano ya mapitio ya mkataba wa kampuni hivo na serikali, Barrick watatoa Dola bilioni 300 na fedha...
Wakuu Leo nilikua nachezea chezea simu yangu kidogo nikakumbuka zile medali za Yanga kuwa za Shaba hapo moja kwa moja nikawaza dhahabu tulizojaaliwa NCHINI lakini ndo hivyo tena bila kombe dhahabu hauvai hata ukachovye kwa sonara lakini bado inabaki vile vile.
Hali hiyo ilinifanya nizame chimbo...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akikabidhi tuzo ya OSHA mshindi wa jumla wa maonesho hayo Mkufunzi wa Usalama mahali pa kazi wa Barrick Bulyanhulu, Azaely Kitenge (katikati) ni Mwenyekiti wa Bodi ya OSHA, Dkt. Adelhelm Meru...
HD Mechanic
Shinyanga, Tanzania, United Republic of
TRENDING
JOB DESCRIPTION
JOB ADVERT - HD MECHANICS (01 VACANCY)
Bulyanhulu Gold Mine is seeking to recruit HD Mechanics to join our team. The successful candidate for this position is expected to align with the Barrick DNA and drive a change...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya, Geofrey Sarakikya, amesema mfanyakazi wa mgodi wa Barrick North Mara Emmanuel Chacha, aliyefariki dunia Machi 11, mwaka huu hakupigwa risasi.
Aliyasema hayomkoani Mara, wakati akitoa ufafanuzi kuhusu kifo cha Chacha, ambapo alisema alifariki...
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.
Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick...
Position Description
The Bulyanhulu Team is seeking to recruit a Construction Operator to join and grow their team.
You will be expected to align to the Barrick DNA and to operate within our mining assets with our best people teams. You will contribute on a practical note to ensure activities...
Position Description
The Bulyanhulu Team is seeking to recruit a Grader Operator to join and grow their team.
You will be expected to align to the Barrick DNA and to operate within our mining assets with our best people teams. You will contribute on a practical note to ensure activities in the...
Position Description
The Bulyanhulu Team is seeking to recruit a Long Hole Driller to join and grow their team.
You will be expected to align to the Barrick DNA and to operate within our mining assets with our best people teams. You will contribute on a practical note to ensure activities in...
Position Description
The Bulyanhulu Team is seeking to recruit a Mobile Equipment Operator II – Truck to join and grow their team.
You will be expected to align to the Barrick DNA and to operate within our mining assets with our best people teams. You will contribute on a practical note to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.