Nilimpata mwanadada kwa baa .kabla nikae naye niliongea na bawabu anijulishe kama huyu dada ataweka dawa kwa kinywaji changu nikiondoka.
Nilimwita mwanadada huyo nikamnunulia bia pia mimi nikachukua bia tulizungumza mda mfupi ,alafu nikaondoka nikajifanya niko msalani.nikamuuliza bawabu...