Bamia (Arabic: بامية, cooked okra; Greek: μπάμια; Turkish: bamya), or bamia bi-lahm (Arabic: البامية باللحم أو شوربة البامية okra with meat), is a Middle Eastern, Anatolian and Greek stew prepared using lamb, okra and tomatoes as primary ingredients. Additional ingredients used include tomato sauce, onion, garlic, cilantro (coriander), vegetable oil, cardamom, salt and pepper. The word "bamia" itself simply means "okra" and it is etymologically an Arabic word.Bamia is very popular during fasting seasons such as Easter in Greece and Cyprus.
Bamia ni mboga yenye umuhimu mkubwa katika lishe yetu na maji yake yana faida nyingi kwa afya. Mbali na kutumiwa kama sehemu ya mboga kwenye mchuzi au rosti ya mboga, maji ya bamia yana umuhimu wake ambao mara nyingi huenda usifahamike sana.
Virutubisho muhimu zinavopatika ndani ya maji ya...
Sure am telling you (kaingilishi kidogo).....nimejaribu kufululiza kutumia Kwa siku 3 tu ya nne nikapigwa pipu....aisee Yaan ni full utelezi Kwa papuchi 24 hours...uwe na hisia usiwe nazo nyapu inakuwa rojo muda wote mpaka unaanza kujitamani.
Wadada, bamia bamia kazaneni kula bamia...
Amani iwe kwako mwanaJF unayesoma uzi huu.
Mahitaji
1. Bamia mbichi 2 (zisizokomaa)
2. Bilauri ya maji (nusu lita)
Maelekezo
Safisha bamia kwa maji safi, kisha zikatekate vipande. Unaweza kuzichana katikati mara nne ili ukizikatakata zionekane kama vibanzi vya chips.
Tumbukiza vipande vya...
Duuhh wakuu Kila kukicha Kungwi wa Wanawake ana lake jambo !!.
Unaambiwa siku hizi ,wakitaka kukutembelea.
Bamia zinatengenezwaa, Kisha inachujwa ivi , unapatikana ule utelezi wa Bamia.
Baaaasi bwanaa, huo utelezi bidada anaweza kuuweka kwenye kikopo ivi akaja nao kuonana Nawewe au ...
🥕1. Awali ya yote, ukichukua majani ya bamia ukayachoma kwenye moto na ukachukua yale majivu ukayapaka kwenye ngozi au kidonda ni tiba ya vipele na allergy kwenye ngozi.
🥕2. Halikadhalika ukichukua bamia mbichi ukawa unatafuna pamoja na mdimu kila siku asubuhi kama ulikuwa na kinyama kwenye...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU KILIMO HIKI:
Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo:
1) Mbegu bora zinapatikana wapi?
2) Zinachukua muda gani kukomaa?
3) Masoko yake yako wapi?
4) Bei ya kuuza inakwendaje?
Asanteni.
===
---
---
===
UFAFANUZI WA JUMLA WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.