azam

  1. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini mechi ya Simba vs Azam ilichezwa Taifa?

    Habarini wanajamvi, Hivi kwanini mechi kati ya Simba na Azam ilihamishiwa Uwanja wa Taifa ilihali mechi za Simba zilikuwa zikichezwa Uhuru? Je, kuanzia sasa mechi zote za Simba zitachezwa Taifa? Naomba kufahamishwa.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania!

    Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania! Leo wanaume wanacheza ...wengine make pembeni muone burudani murua! .... atakaye fanya kosa ndiye atakaye lia!
Back
Top Bottom