Kocha wa Young Africans alia mchezo na Azam FC

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,291
24,171
January 18, 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Azam 1 - Young Africans 0

Kocha wa mkuu wa Yanga mbelgiji Luc Eymail atokwa povu na kulia kufuatia vipigo ktk mechi mfululizo. Na matokeo ya leo Kocha Luc Eymail baada ya mechi ametoa tuhuma nyingi zikiwemo kupewa kadi ya njano, yeye kocha kufanyiwa ubaguzi wa rangi kwa refa kukataa kumpa mkono , maamuzi mabovu ya marefa .

Inaonekano kocha huyu kwa pressure iliyoko ktk klabu, utamaduni wa vilabu vikongwe Tanzania, wanachama na wapenzi wa klabu hiyo kongwe anaweza akatupiwa virago ndani ya siku chache.
 
Yani unapewa kadi ya njano unatoa mkono wa kumpongeza mwamuzi hyo si kejel kwa mwamuzi.Ningekua mm refa ningemalizia nyekundu kabisa.
Kiufup Yanga wameingia chaka,huyu mpiga deal tu.
Anakimbilia ubaguz wakati hakuna aliyembagua.Anajibagua mwenyewe halafu anasingizia kabaguliwa.Foolish.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
January 18, 2020

Full highlights ya mechi ya leo

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC wamechezea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Azam FC, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Bao pekee la Azam limepatikana baada ya beki wa Yanga Ally Mtoni ‘Sonso’ kujifunga dakika ya 25. Yanga pia walipata pigo kwa beki huyohuyo kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 79 baada ya kumkanyaga kwa makusudi beki wa Azam FC Nico Wadada.



Source: Azam TV
 
Yanga mbovu
IMG_20200118_230027.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hovyo kabisa,hakuna kocha apo

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unapewa kadi ya njano unatoa mkono wa kumpongeza mwamuzi hyo si kejel kwa mwamuzi.Ningekua mm refa ningemalizia nyekundu kabisa.
Kiufup Yanga wameingia chaka,huyu mpiga deal tu.
Anakimbilia ubaguz wakati hakuna aliyembagua.Anajibagua mwenyewe halafu anasingizia kabaguliwa.Foolish.

Sent using Jamii Forums mobile app
Embu ifikie wakati mashabiki muongee kiufundi, kocha kosa lake ni lipi kwa matokeo yaliopatikana sio kusema tu kocha ni mpiga dili mara hamna kocha, ukiachana na swala binafsi la wachezaji kutokuwa na nidhamu, ni lipi kosa la huyu kocha mpya?

Kabla ya ujio wa huyu kocha mashabiki mlikuwa mnalalamika kuwa yanga wanabutua butua tu, kaja kocha mpya hata wiki mbili hajamaliza lakini unaona yanga inavyocheza soka la kuvutia na magoli takribani yote kwanzia mechi ya kagera ni makosa binafsi ya wchezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu ifikie wakati mashabiki muongee kiufundi, kocha kosa lake ni lipi kwa matokeo yaliopatikana sio kusema tu kocha ni mpiga dili mara hamna kocha, ukiachana na swala binafsi la wachezaji kutokuwa na nidhamu, ni lipi kosa la huyu kocha mpya?

Kabla ya ujio wa huyu kocha mashabiki mlikuwa mnalalamika kuwa yanga wanabutua butua tu, kaja kocha mpya hata wiki mbili hajamaliza lakini unaona yanga inavyocheza soka la kuvutia na magoli takribani yote kwanzia mechi ya kagera ni makosa binafsi ya wchezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakubaliana na kocha anacholalamikia?unakubali anavyosema refa alimbagua kwa rangi yake? Unakubali alikua fair kutaka kumpa refa mkono baada ya kupewa kad ya njano?

Halafu kwa kuongezea unajua huyu kocha ndan ya miez sita had saba kafundisha timu nne tofauti,kuna tatizo apo au ww hulioni bado?Ndio maana nakwambia kocha nae ni tatizo,km hautanielewa apo bas nahitaj ubao na chaki.Na wapiga deal Yanga wamejaa kibao tu,we angalia aina ya usajili uliofanywa na Yanga ndan ya muda mchache ndio utagundua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
January 18, 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Azam 1 - Young Africans 0

Kocha wa mkuu wa Yanga mbelgiji Luc Eymail atokwa povu na kulia kufuatia vipigo ktk mechi mfululizo. Na matokeo ya leo Kocha Luc Eymail baada ya mechi ametoa tuhuma nyingi zikiwemo kupewa kadi ya njano, yeye kocha kufanyiwa ubaguzi wa rangi kwa refa kukataa kumpa mkono , maamuzi mabovu ya marefa .

Inaonekano kocha huyu kwa pressure iliyoko ktk klabu, utamaduni wa vilabu vikongwe Tanzania, wanachama na wapenzi wa klabu hiyo kongwe anaweza akatupiwa virago ndani ya siku chache.

Ukiona mzungu analalamika basi kuna shida sehemu, wazungu hawana tabia yakulalamika hovyohovyo, huyu atakuwa mzungu feki, morinyo alikuwa na tabia ya kulalamika saivi kaamua aanze kupiga chabo kujua wenzie wanafanyaje
 
Embu ifikie wakati mashabiki muongee kiufundi, kocha kosa lake ni lipi kwa matokeo yaliopatikana sio kusema tu kocha ni mpiga dili mara hamna kocha, ukiachana na swala binafsi la wachezaji kutokuwa na nidhamu, ni lipi kosa la huyu kocha mpya?

Kabla ya ujio wa huyu kocha mashabiki mlikuwa mnalalamika kuwa yanga wanabutua butua tu, kaja kocha mpya hata wiki mbili hajamaliza lakini unaona yanga inavyocheza soka la kuvutia na magoli takribani yote kwanzia mechi ya kagera ni makosa binafsi ya wchezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, bongo kila mgeni mpiga dili ,hiyo nchi INA wapumbavy sana. Ujuaji mwingi mbele kiza

MTC | 101|
 
TFF na wizard chukueni hatua kwa huyu kocha kuendekeza ubaguzi,na kuchochea mashabiki kuleta vurugu
 
Huyu Jamaa bwege sana. Linaongea kama taahira. Eti ubaguzi.pumbavu kabisa hili....linaonekana kabisa ni taahira halina akili. GSM chukueni Bozo lenu.
 
Unakubaliana na kocha anacholalamikia?unakubali anavyosema refa alimbagua kwa rangi yake? Unakubali alikua fair kutaka kumpa refa mkono baada ya kupewa kad ya njano?

Halafu kwa kuongezea unajua huyu kocha ndan ya miez sita had saba kafundisha timu nne tofauti,kuna tatizo apo au ww hulioni bado?Ndio maana nakwambia kocha nae ni tatizo,km hautanielewa apo bas nahitaj ubao na chaki.Na wapiga deal Yanga wamejaa kibao tu,we angalia aina ya usajili uliofanywa na Yanga ndan ya muda mchache ndio utagundua.

Sent using Jamii Forums mobile app

1) Kama ukiangalia vizuri tukio. wakati Ali sonso yupo chini alichezewa faulo hapo ndipo kocha wa yanga alipeleka macho yake kwa refarii kumlalamika. Wakati macho ya kocha wa yanga akielekezwa kwa refa ndio wakati huo huo Sonso kafanyia tukio baya zaidi kwa kurudishia na wakati huo huo refa alikuwa kaishaelekeza macho yake kwenye tukio la Sonso.
Hivyo kocha kulalamika ni kwavile tu kapishana na tukio la Sonso kurudisha rafu mbaya kwa mchezaji wa azam hivyo alihisi kuonewa kwavile yeye alifanikiwa kushuhidia tukio la mwanzoni ambapo sonso alichezewa rafu.

2) kusema kuwa refarii alimbagua rangi hilo siwezi msemea akilini mwake alifikiria nini.

3) hilo la miezi sita au saba kufundisha timu tofauti nne sina uhakika nalo labda unipe data juu ya hilo ila nachofahamu mimi huyu kocha hajawahi kukaa na timu kwa zaidi ya msimu mmoja na hilo nalo sio tatizo endapo ndani ya kipindi anachochukua timu, timu ina achieve kitu. Ukiangalia profile yake pamoja na kukaa na timu kwa muda mfupi lakini mwisho wa siku timu inapata mafanikio.

Mimi siwezi kuzungumzia swala la upigaji dili kwa wachezaji au kwa viongozi kwasababu hilo linajulikana katika simba na yanga. Nataka uniambie madhaifu ya kocha kimbinu, kiufundi ni yapi. Matatizo ya wachezaji binafsi asipelekewe kocha kana kwamba labda yeye ndio kawaleta hao wachezaji.

Mashabiki mjifunze kuwa wavumilivu, na kuwa wajuaji. Timu haijengwi kama nyumba kwavile una ela basi hata siku moja unamaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom