Tuliza nyege mamaAzam kaumizwa na offside tatu zote hewa ili muhanga wa UD Songo ashinde.
Subirini kipyenga cha mwisho mje mpate ukweli. Bingwa keshaandaliwa kitambo
Azam kaumizwa na offside tatu zote hewa ili muhanga wa UD Songo ashinde.
Subirini kipyenga cha mwisho mje mpate ukweli. Bingwa keshaandaliwa kitambo
Yule kibendera kama wapo serious kweli lazima asimamishwe,yaani yule siyo kahongwa ila hujui kabisaAzam kaumizwa na offside tatu zote hewa ili muhanga wa UD Songo ashinde.
Subirini kipyenga cha mwisho mje mpate ukweli. Bingwa keshaandaliwa kitambo
Hakuna penalties yoyote kati ya hao labda kama ulisahau kuvaa miwani yako wakati wa kuangalia mpira,Mzamiru kadrive mpira baada ya kuchoka kaanguka,ya ajibu haihitaji hata kujua penati inatokajeZile penalties mbili refa ameng'ata filimbi hujaona?
Mzamiru na ajibu
Angalau hujazikataa offside hewaZile penalties mbili refa ameng'ata filimbi hujaona?
Mzamiru na ajibu
Ingekuwa upande wao kesho Haji angetoka na TV yake kuonyesha zile offside hewa.Yule kibendera kama wapo serious kweli lazima asimamishwe,yaani yule siyo kahongwa ila hujui kabisa
Leo zimecheza timu zilizo ondolewa round ya Kwanza kwenye mashindano ya Caf , a.k.a vibonde, wamchangani.Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania!
Leo wanaume wanacheza ...wengine make pembeni muone burudani murua!
.... atakaye fanya kosa ndiye atakaye lia!
Yule tunamsamehe tu maana "kipaKatoka"Ingekuwa upande wao kesho Haji angetoka na TV yake kuonyesha zile offside hewa.