Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,990
Hali si nzuri najua wengi hawatanielewa
Yanga ina hali ngumu nakwambia wachezaji wengi awachezi kwa moyo awajalipwa hela zao
Mbaya zaidi majuzi GSM wameomba kulipa malimbikizo ya wachezaji uongozi ukalazimisha hizo hela zipelwkqw kwenye acc yao wao wataamua nn cha kulipia
Ile ilikuwa na saini ya udhaifu Dir na kwa wachezaji ni kama walimwagiwa tindikali za macho
Imagine mtu anadai mpaka milion nne na anajua Yanga kapewa mil 200 wajanja wanazungushia kwemye biashara zao
Ni wazi ni aibu ya kutupa nawaambiaa mtakachokiona tarehe nne mtamkumbuka Zahera na shida zake za dunian
Ushauri
Tusikanyage uwanjan wote tukae majumbani mpaka uongozi utakapoona umuhimu wa kulipa wachezaji
Yanga ina hali ngumu nakwambia wachezaji wengi awachezi kwa moyo awajalipwa hela zao
Mbaya zaidi majuzi GSM wameomba kulipa malimbikizo ya wachezaji uongozi ukalazimisha hizo hela zipelwkqw kwenye acc yao wao wataamua nn cha kulipia
Ile ilikuwa na saini ya udhaifu Dir na kwa wachezaji ni kama walimwagiwa tindikali za macho
Imagine mtu anadai mpaka milion nne na anajua Yanga kapewa mil 200 wajanja wanazungushia kwemye biashara zao
Ni wazi ni aibu ya kutupa nawaambiaa mtakachokiona tarehe nne mtamkumbuka Zahera na shida zake za dunian
Ushauri
Tusikanyage uwanjan wote tukae majumbani mpaka uongozi utakapoona umuhimu wa kulipa wachezaji