snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,215
- 1,656
Habari wanajukwaa natumaini mbuheri wa afya.
Leo naomba nigusie japo kwa kiasi kuhusu hizi apps za mikopo ambazo kwa Sasa zimekuwa nyingi sana na promotion kubwa inafanyika huko YouTube.
Nimeileta hii mada hapa kwenye jukwaa hili kwasababu hii mada sio ya kisiasa Bali kuweka wazi kwa watanzania wote ikiwa hii mada inagusa teknolojia.
Apps za mikopo zimekuwa nyingi na sizungumzii uwingi wa hizi apps Bali nagusia access ya hizi apps ambapo mtumiaji ili apate mkopo anatakiwa kukubali Terms and conditions.
Terms and conditions ambazo mtumiaji anatakiwa kuzikubali ni pamoja na kuruhusu access ya jumbe fupi ambazo anakuwa akitumiwa ikiwemo SMS, Contacts n.k
Kwa wasichokijua wengi hizi apps zinafanya analysis ya miamala ya kutuma/kupokea pesa ambayo ulikuwa unafanya ili kujipa uwezo wa wao kukupa mkopo,
Sasa ikiwa umeruhusu hizi apps ziwe na access ya taarifa zako za miamala Huwa pia Wana uwezo wakuangalia taarifa zisizohusiana na miamala, Je taarifa zisizohusiana na miamala wanazipeleka wapi, na hizi apps zipo audited au la ?
Je inakuaje kwa mtanzania asie elewa chochote kuhusu terms and conditions anazo zikubali ?
Na je inakuaje kama taarifa zinauzwa ili kuwezesha AI zifanye kazi kikamilifu n.k mbali na AI ?
Ombi langu ni kwamba hizi apps ziwe audited mana nimegusia technically Bado psychologically ikiwa watoa mikopo wanadai hata kwa namba zisizo rasmi, wanakupigia na wengine kukutisha.
TCRA naomba muangalie hili swala.
Ahsante snipa
Leo naomba nigusie japo kwa kiasi kuhusu hizi apps za mikopo ambazo kwa Sasa zimekuwa nyingi sana na promotion kubwa inafanyika huko YouTube.
Nimeileta hii mada hapa kwenye jukwaa hili kwasababu hii mada sio ya kisiasa Bali kuweka wazi kwa watanzania wote ikiwa hii mada inagusa teknolojia.
Apps za mikopo zimekuwa nyingi na sizungumzii uwingi wa hizi apps Bali nagusia access ya hizi apps ambapo mtumiaji ili apate mkopo anatakiwa kukubali Terms and conditions.
Terms and conditions ambazo mtumiaji anatakiwa kuzikubali ni pamoja na kuruhusu access ya jumbe fupi ambazo anakuwa akitumiwa ikiwemo SMS, Contacts n.k
Kwa wasichokijua wengi hizi apps zinafanya analysis ya miamala ya kutuma/kupokea pesa ambayo ulikuwa unafanya ili kujipa uwezo wa wao kukupa mkopo,
Sasa ikiwa umeruhusu hizi apps ziwe na access ya taarifa zako za miamala Huwa pia Wana uwezo wakuangalia taarifa zisizohusiana na miamala, Je taarifa zisizohusiana na miamala wanazipeleka wapi, na hizi apps zipo audited au la ?
Je inakuaje kwa mtanzania asie elewa chochote kuhusu terms and conditions anazo zikubali ?
Na je inakuaje kama taarifa zinauzwa ili kuwezesha AI zifanye kazi kikamilifu n.k mbali na AI ?
Ombi langu ni kwamba hizi apps ziwe audited mana nimegusia technically Bado psychologically ikiwa watoa mikopo wanadai hata kwa namba zisizo rasmi, wanakupigia na wengine kukutisha.
TCRA naomba muangalie hili swala.
Ahsante snipa